Tatizo la masikio: Fahamu kuhusu sehemu za sikio, magonjwa, ushauri na tiba

wa UDOM

Member
Apr 10, 2011
34
2
1588352654113.png


MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU TATIZO LA SIKIO
Mwanangu ana umri wa miaka 2 na nusu.

Ameanza kuugua ugonjwa wa sikio kuuma na ku_discharge mara kwa mara na doctors wamekuwa wakimpa atibiotics ambazo nimeona hazimsaidii.

Mara hii anaumwa ni awamu ya 3 ugonjwa kumrudia, nifanye nini jamani?
---
Kwanza natanguliza shukrani kwa JF wote na hasa madokta wa JF kwa moyo wao wa kujituma.

Mimi nina tatizo la sikio langu la kulia kutoa usaha, na hili tatizo limeshakuwa la muda mrefu,nimeshajaribu kutumia dawa za kienyeji mpaka za hospitalini lakini ninachoambulia ni kustop kwa mda and then tatizo unirudia tena.

Naombeni msaada tafadhali.
---
Wadau naomba mnisaidie,

Nina mwanamke wangu, yeye si mwanaJF ila ana matatizo ya masikio. Anadai kwamba yanamuuma sana kwa ndani na hayatoi usaha. Tatizo lilimuanza mwaka jana na analo kwa mwaka mzima sasa. Kwa anayejua dawa hasa ya mitishamba au ya kienyeji naomba anisaidie ili my wife to be apate nafuu.

Anateseka sana.
---
Wakuu!

Mwenzenu nasumbuliwa na tatizo(ugonjwa) wa masikio kutoa usaha, tangu nikiwa mtoto mdogo kabla hata sijapata ufahamu sikio langu moja hutoa usaha.

Tatizo hili nimeishi nalo kwa kwa muda mrefu mpaka hivi sasa nina 20's bado tu linanisumbua...... nimetumia dawa kibao za hospitali na mitishamba lakini wapi mpaka hivi sasa nimechoka kiasi kwamba wakati mwingine nawaza aliyeniloga ashakufa hatua niliyofikia naona kawaida tu na nishakata tamaa ya kupona .....kwa ujumla huwa linanikosesha uhuru sana kwani muda wote popote nilipo lazima niwe kimachalemachale na pamba zangu na vijiti ili kudhibiti huo uchafu......

MWENYE KUIFAHAMU TIBA YAKE YA UHAKIKA TAFADHALI!
CC. MziziMkavu
---
Habari wakuu...
Naamini Mungu bado anatupenda na kutupa uzima ndo maana tunakutana hapa

Samahan naomba kuuliza hii hali ya kusikia kelele nyingi masikioni( kama mashine ya kusaga mahindi) n hali ambayo natakiwa kuikubali na kuishi nayo?

Hali hii ilianza mwaka juzi(2016) na nmetumia dawa nyingi lakin sion mafanikio
Kuna wakat nashindwa hata kufanya kazi kwa sababu ya usikivu kuwa mdogo kwa sababu ya kelele hizi
Hivi naandika uzi huu ikiwa ni siku chache tangu niache kibarua changu kwa sababu ya shida Hii

Najaribu kufikir kama swala hili n halipon( kama wengi wasemavyo) bas nitaishi maisha ya namna gan
Najikuta nakata hata tamaa ya kuishi

Naomben mtazamo wenu ndugu zangu kama kuna mtu anaijua hii shida au alishawahi kukutana nayo na aliipona vipi

Ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app
---
Nimekua nikisumbuliwa na hili tatizo kwa zaidi ya mwaka wa 10 nikilichukulia poa tu. masikio yangu sigusishi maji kabisa, ikitokea kwa bahati mbaya hasa kwenye wakati wa kuoga maji ya kugusagusa kwa ndani basi kinachofata hapo ni maumivu kwa siku nzima japo kua hua simakubwa. Je hili nikawaida au ni tatizo? Kwa kifupi naishi mbali na maji karibu na sikio.

Na pia sewezi eka headset and headphone kwenye sikio langu kwani dakika moja tu itanitosheleza kuleta maumivu ya masikio kwa masaa na muda mwengine yakiambatana na maumivu ya kichwa. Ila kila nikitizama wenzangu wanajifanyia vizuri tu. Hata simu nikizungumza kwa muda mrefu kiodogo tu au simu ikiawa na sauti kubwa basi matokezeo ndio hayo hayo.

Je hii ni hali ya kawaida au ni ugonjwa? na kama ugonjwa naomba msaada wakuu.
---
Habari wakuu,

Naamini Mungu bado anatupenda na kutupa uzima ndo maana tunakutana hapa

Samahan naomba kuuliza hii hali ya kusikia kelele nyingi masikioni( kama mashine ya kusaga mahindi) n hali ambayo natakiwa kuikubali na kuishi nayo?

Hali hii ilianza mwaka juzi(2016) na nmetumia dawa nyingi lakin sion mafanikio. Kuna wakat nashindwa hata kufanya kazi kwa sababu ya usikivu kuwa mdogo kwa sababu ya kelele hizi. Hivi naandika uzi huu ikiwa ni siku chache tangu niache kibarua changu kwa sababu ya shida Hii

Najaribu kufikir kama swala hili n halipon (kama wengi wasemavyo) bas nitaishi maisha ya namna gan
Najikuta nakata hata tamaa ya kuishi

Naomben mtazamo wenu ndugu zangu kama kuna mtu anaijua hii shida au alishawahi kukutana nayo na aliipona vipi

Ahsante

Sent using Jamii Forums mobile app


1584077243963.png


Sikio ni sehemu ya mwili inayowezesha kusikia sauti. Wanadamu na wanyama mamalia wana masikio mawili kichwani. Wanyama wengine husikia sauti kupitia viungo vingine kama vile buibui kupitia nywele za miguu au samaki kupitia neva ndefu iliyopo chini ya ngozi kando ya mwili.

Sikio la binadamu huwa na sehemu ya nje inayoonekana na sehemu isiyoonekana iliyopo ndani ya fuvu. Usikivu wenyewe hutokea kwenye sehemu ya ndani.

Sehemu ya nje yenye kazi ya kupokea na kukusanya mawimbi ya sauti na kuyaelekeza ndani ya njia ya sikio inayoishia kwenye kiwambo cha sikio ambacho ni ngozi inayotikiswa na sauti.

Kucheza kwa kiwambo kunatikisa mifupa sikivu ambayo ni mifupa mitatu midogo inayoungwa nacho na mwendo wa mifupa sikivu unapokelewa na mishipa ya fahamu ya sikio la ndani ukibadilishwa kwa mishtuko ya umeme inayopita kwenye neva hadi ubongo. Chumba cha sikio la kati kimeunganishwa na koromeo kwa njia ya neli ya koromeo.

Sehemu ya kiwambo cha sikio pamoja na chumba nyuma yake penye mifupa sikivu huitwa sikio la kati. Nyuma yake kuna sehemu ya sikio la ndani. Kiungo cha mwili kinachobadilisha mwendo wa mishipa sikivu kuwa alama za neva huitwa komboli.

Kazi nyingine za masikio

Pamoja na kupokea sauti, sikio la ndani pia lina kazi ya kutunza uwiano wa mwili likiweza kutofautisha kati ya juu, chini, kulia na kushoto.

Wanyama mbalimbali hutumia masikio pia kwa kupoza mwili. Hivyo tembo anatumia masikio yake kama feni.

Matatizo na magonjwa ya sikio

Sehemu zote tatu za sikio zinaweza kuathiriwa na magonjwa na maumivu.
  • Sikio la nje huwa na ngozi laini ambayo inaweza kuumizwa na vidonda na kuambukizwa. Njia ya sauti inaumizwa kama watu wanajikuna ndani yake kwa kidole kichafu au kwa kutumia vijiti. Mara nyingi inajazwa hasa na nta ya mwilini inayokusanyika hapa na kuzuia sauti kupita vema. Daktari anaweza kusaidia kwa kuondoa nta au uchafu mwingine uliokusanyika akitumia mpira mdogo na maji ya vuguvugu.
  • Sikio la kati linapata matatizo yafuatayo: kiwambo cha sikio kinaweza kuumizwa, kwa mfano kwa kuingiza kitu ndani ya sikio, kutokana na mlio mkubwa mno kama mtu yuko karibu na mlipuko na pia kutokana na magonjwa. Magonjwa inayotokea mara yingi ni mchonyoto wa chumba cha mifupa sikivu kwa sababu bakteria zinaweza kupitia neli ya koromeo na kuingia ndani; wakati wa magonjwa ya shingoni neli hii inaweza kuvimba na kufunga bakteria ndani ya sikio la kati ambako zinasababisha mchonyoto. Mchonyoto katika sehemu hii inaleta maumivu makali. Isipotibiwa ambukizo linaweza kuathiri hata kuharibu mifupa sikivu.
  • Sikio la ndani huumia kama makelele yanazidi. Kuzidi kwa makelele au pia kupokea mlio mkubwa wa mlipuko wa karibu unaweza kuharibu neva ndogo zinazobadilisha mwendo wa mishipa fahamu kuwa alama za neva. Sehemu hii inaweza kushambuliwa pia na maambukizi ya virusi mbalimbali.
Kuna pia matatizo ambayo hayajaeleweka vema na wataalamu kama tinnitus ambako mtu anasikia sauti ya kudumu ndani ya sikio hata kama wengine hawawezi kusikia kitu. Tatizo lingine ni upotevu wa usikivu upande mmoja unaotokea hasa kwa watu wanaobanwa na matatizo na shughuli nyingi. Matatizo haya yana upande wa nafsi na majaribio ya tiba huenda sambamba na kumpatia mgonjwa kipindi cha raha na mapumziko pamoja na athari nyingine za kutuliza moyo.

Pia watumiaji wa earphones ni rahisi kuumia sikio ukitumia sauti kubwa.

MAONI NA USHAURI ULIOTOLEWA NA WADAU KUHUSU TATIZO HILI
Pole man .... Ingawa sijamuona mwanao thats sounds like typical chronic otitis media a.k.a middle ear infection ipo hivi katika ear canal kabla hujafikia ngoma kuna lil bastards "bacteria" wamefanya inflammation .. nime suspect hii bcz huwa ni common kwa watoto .. nakama hiyo pus inayotoka ni ya njano thn i might be right . nenda kwambie doc. wake .. jaribu ku suggest tu ask him "doc could be otitis media?" do not make conclusion maana ma doc wengine visirani. soma zaidi hapa Otitis Media (Middle

N;B- jitahidi anapokoga ama anapoogeshwa maji yasiingie sikioni..

wakati unatafuta tiba fanya hivi .. msafishe sikio "kwa pamba sio maji epuka maji ndani ya sikio", then weke dawa fulani inaitwa mupirocin ointment cheki picha hapa ni anti bacterial atumie asubuhi na jioni wakati unaiweka unatumia zile pamba za kutoa nta masikioni . kamulia dawa katika ile pamba ya mbele ipake kwa style ambayo inakaa katika kuta za middle ear sababu infection ipo katika kuta zamiddle ear sio ndani kwenye ngoma, baada ya nusu saa muweke ear drops. ofloxin ear drops cheki image hapa

kwa masaada zaidi fanya haraka nenda kwa dactari... suggest to him about otitis media
----
KUTOKWA NA USAHA SIKIONI: Ikiwa utaweka kitu kama ujiti wa kiberiti au mfano wake sikioni, unaweza kusababisha jeraha kwenye sikio na damu kuanza kutoka. Baadae usaha unaweza kutungwa sehemu ya jeraha na kutoka kidogokidogo. Lakini pia mashambulizi ya bacteria sikioni yanaweza kusababisha kutokwa na usaha.

TIBA ZA MAUMIVU YA MASIKIO NA KUTOKWA NA USAHA:
Kanuni ya kwanza: Chukua maji masafi ujazo wa kijiko kimoja cha chai halafu uchukue chumvi kidogo kiasi cha vidole viwili uchanganye ndani ya maji hayo kisha hayo maji uchanganye na asali kijiko kimoja kidogo cha chai. Weka tone moja ya dawa hii ndani ya sikio
lenye kuuma au kutokwa na usaha kutwa mara tatu.

Kanuni ya pili: Dondoshea tone moja ya mafuta ya kitunguu saumu ndani ya sikio ambalo linauma au kutokwa na usaha kutwa mara tatu.. Kanuni ya tatu: Chukua mafuta ya habat soda na ufanye kama kanuni ya pili. Kanuni ya nne: Ikiwa maradhi ya sikio ni kwa ajili ya bacteria, kunywa antibayotiki asilia kama vile juisi ya Aloe vera, kitunguu saumu, n.k. E.


Na pia nenda hospital kitengo cha ENT hapo Muhimbili kawatafute Ma-Daktari mabingwa hawa mmoja wapo Dr Edwin, Dr Kimario au Prof. Mushi Wataweza kukusaidia hayo Matatizo yako Pole sana.@mpalu

----
Sikio (Ear) limegawika katika sehemu tatu kuu. Sehemu ya nje ya sikio, sehemu ya kati ya sikio na sehemu ya ndani ya sikio.

Kuna aina mbili ya matatizo ya masikio nayo ni:

Otitis media : ambayo hutokea katika sehemu ya kati ya sikio na mara nyingi huwatokea watoto wachanga

na watoto wadogo.

Otitis externa: ambayo hutokea katika sehemu ya ndani ya sikio na mara nyingi huwatokea waogeleaji, na

hutokea zaidi wakati wa baridi.

Ishara za Matatizo ya masikio kwa Otitis media:

Kuumwa na kuchomwa kwa sikio

Kutokwa na uchafu ndani ya sikio

Kutosikia kwa ghafla

Homa

Sababu za Otitis media:

Sababu kubwa ya maradhi hayo ni kuziba kwa bomba la sikio(Eustachiantube)

kutokana na baridi, allergy pamoja na kuingia takataka. Hii inababisha maji maji ya sikio kujaa maji hayo

nayo husababisha uvimbaji wa (ear drum) sikio.

Sababu za Otitis externa:

Hii husababishwa na baketeria au fungi, maji maji yanayoingia ndani ya sikio ndio sababu kuu ya kufanya

bakteria na fungi kuzaana pia Skin allegies husababisha maradhi hayo.

Na sababu nyengine ni ulaji mbovu wa chakula pamoja na upungufu wa usafi wa mwili.

DAWA ZA KUJITIBU MARADHI YA MASIKIO:

Nyunyiza juisi ya Kitunguu saumu katika sikio linalouma

Nenda Hospitali ukapigwe bomba ili maji na uchafu upate kutoka

Pasha moto mafuta ya Zaituni (Olive oil) na yasubiri yapowe

na ujitie drops mbili hadi 3

Na usafishe masikio yako kila baada ya kutoka kukoga.


KUTOKWA NA USAHA SIKIONI: Ikiwa utaweka kitu kama ujiti wa kiberiti au mfano wake sikioni, unaweza kusababisha jeraha kwenye sikio na damu kuanza kutoka. Baadae usaha unaweza kutungwa sehemu ya jeraha na kutoka kidogokidogo. Lakini pia mashambulizi ya bacteria sikioni yanaweza kusababisha kutokwa na usaha.

TIBA ZA MAUMIVU YA MASIKIO NA KUTOKWA NA USAHA:Kanuni ya kwanza: Chukua maji masafi ujazo wa kijiko kimoja cha chai halafu uchukue chumvi kidogo kiasi cha vidole viwili uchanganye ndani ya maji hayo kisha hayo maji uchanganye na asali kijiko kimoja kidogo cha chai. Weka tone moja ya dawa hii ndani ya sikio

lenye kuuma au kutokwa na usaha kutwa mara tatu. Kanuni ya pili: Dondoshea tone moja ya mafuta ya kitunguu saumu ndani ya sikio ambalo linauma au kutokwa na usaha kutwa mara tatu.. Kanuni ya tatu: Chukua mafuta ya habat soda na ufanye kama kanuni ya pili.

Kanuni ya nne: Ikiwa maradhi ya sikio ni kwa ajili ya bacteria, kunywa antibayotiki asilia kama vile juisi ya Aloe vera, kitunguu saumu, n.k. E.
---
Sikio (Ear) limegawika katika sehemu tatu kuu. Sehemu ya nje ya sikio, sehemu ya kati ya sikio na sehemu ya ndani ya sikio.

Kuna aina mbili ya matatizo ya masikio nayo ni:

Otitis media : ambayo hutokea katika sehemu ya kati ya sikio na mara nyingi huwatokea watoto wachanga

na watoto wadogo.

Otitis externa: ambayo hutokea katika sehemu ya ndani ya sikio na mara nyingi huwatokea waogeleaji, na

hutokea zaidi wakati wa baridi.

Ishara za Matatizo ya masikio kwa Otitis media:

Kuumwa na kuchomwa kwa sikio

Kutokwa na uchafu ndani ya sikio

Kutosikia kwa ghafla

Homa

Sababu za Otitis media:

Sababu kubwa ya maradhi hayo ni kuziba kwa bomba la sikio(Eustachiantube)

kutokana na baridi, allergy pamoja na kuingia takataka. Hii inababisha maji maji ya sikio kujaa maji hayo

nayo husababisha uvimbaji wa (ear drum) sikio.

Sababu za Otitis externa:

Hii husababishwa na baketeria au fungi, maji maji yanayoingia ndani ya sikio ndio sababu kuu ya kufanya

bakteria na fungi kuzaana pia Skin allegies husababisha maradhi hayo.

Na sababu nyengine ni ulaji mbovu wa chakula pamoja na upungufu wa usafi wa mwili.

DAWA ZA KUJITIBU MARADHI YA MASIKIO:

Nyunyiza juisi ya Kitunguu saumu katika sikio linalouma

Nenda Hospitali ukapigwe bomba ili maji na uchafu upate kutoka

Pasha moto mafuta ya Zaituni (Olive oil) na yasubiri yapowe

na ujitie drops mbili hadi 3

Na usafishe masikio yako kila baada ya kutoka kukoga.

KUTOKWA NA USAHA SIKIONI: Ikiwa utaweka kitu kama ujiti wa kiberiti au mfano wake sikioni, unaweza kusababisha jeraha kwenye sikio na damu kuanza kutoka. Baadae usaha unaweza kutungwa sehemu ya jeraha na kutoka kidogokidogo. Lakini pia mashambulizi ya bacteria sikioni yanaweza kusababisha kutokwa na usaha.

TIBA ZA MAUMIVU YA MASIKIO NA KUTOKWA NA USAHA:Kanuni ya kwanza: Chukua maji masafi ujazo wa kijiko kimoja cha chai halafu uchukue chumvi kidogo kiasi cha vidole viwili uchanganye ndani ya maji hayo kisha hayo maji uchanganye na asali kijiko kimoja kidogo cha chai. Weka tone moja ya dawa hii ndani ya sikio

lenye kuuma au kutokwa na usaha kutwa mara tatu. Kanuni ya pili: Dondoshea tone moja ya mafuta ya kitunguu saumu ndani ya sikio ambalo linauma au kutokwa na usaha kutwa mara tatu.. Kanuni ya tatu: Chukua mafuta ya habat soda na ufanye kama kanuni ya pili.

Kanuni ya nne: Ikiwa maradhi ya sikio ni kwa ajili ya bacteria, kunywa antibayotiki asilia kama vile juisi ya Aloe vera, kitunguu saumu, n.k. E.
---
TIBA MBADALA YA MAGONJWA YA MASIKIO



Sikio (Ear) limegawika katika sehemu tatu kuu. Sehemu ya nje ya sikio, sehemu ya kati ya sikio na sehemu ya ndani ya sikio.

Kuna aina mbili ya matatizo ya masikio nayo ni:

i.Otitis media : ambayo hutokea katika sehemu ya kati ya sikio na mara nyingi huwatokea watoto wachanga na watoto wadogo.

i.Otitis externa: ambayo hutokea katika sehemu ya ndani ya sikio na mara nyingi huwatokea waogeleaji, na hutokea zaidi wakati wa baridi.

Ishara za Matatizo ya masikio kwa Otitis media
i.Kuumwa na kuchomwa kwa sikio

ii.Kutokwa na uchafu ndani ya sikio

iii.Kutosikia kwa ghafla

iv. Homa

Sababu za Otitis media:
·
Sababu kubwa ya maradhi hayo ni kuziba kwa bomba la sikio(Eustachiantube), kutokana na baridi, allergy pamoja na kuingia takataka. Hii inababisha maji maji ya sikio kujaa maji hayo nayo husababisha uvimbaji wa (ear drum) sikio.

Sababu za Otitis externa
·
Hii husababishwa na baketeria au fungi, maji maji yanayoingia ndani ya sikio ndio sababu kuu ya kufanya bakteria na fungi kuzaana pia Skin allegies husababisha maradhi hayo.

Na sababu nyengine ni ulaji mbovu wa chakula pamoja na upungufu wa usafi wa mwili.

DAWA ZA KUJITIBU MARADHI YA MASIKIO:

i.
Nyunyiza juisi ya Kitunguu saumu katika sikio linalouma

ii.Nenda Hospitali ukapigwe bomba ili maji na uchafu upate kutoka

iii.Pasha moto mafuta ya Zaituni (Olive oil) na yasubiri yapowe na ujitie drops mbili hadi 3

iv.Na usafishe masikio yako kila baada ya kutoka kukoga.

KUTOKWA NA USAHA SIKIONI:
Ikiwa utaweka kitu kama ujiti wa kiberiti au mfano wake sikioni, unaweza kusababisha jeraha kwenye sikio na damu kuanza kutoka. Baadae usaha unaweza kutungwa sehemu ya jeraha na kutoka kidogokidogo. Lakini pia mashambulizi ya bacteria sikioni yanaweza kusababisha kutokwa na usaha.

TIBA ZA MAUMIVU YA MASIKIO NA KUTOKWA NA USAHA:


Chukua maji masafi ujazo wa kijiko kimoja cha chai halafu uchukue chumvi kidogo kiasi cha vidole viwili uchanganye ndani ya maji hayo kisha hayo maji uchanganye na asali kijiko kimoja kidogo cha chai. Weka tone moja ya dawa hii ndani ya sikio lenye kuuma au kutokwa na usaha kutwa mara tatu
 
Hiyo ni very serious aiee.

Nenda ENT muhimbili na uhakikishe anatapa huduma muhimu... madhara ya sikio ni makubwa sana ndugu yangu

Kuna Dr. wanamwita Kimario ni mzuri sana na ana priavte clinic yake... kama uko dar mtafute through 0784 883190
 
Mh! Bangi??? Hata km ni dawa simshauri, sikio ni kitu kngne, ukikosea kidogo ndo ushamtia mtoto uziwi. Nenda kwa wataalam wa ENT, achana na bangi imekaa kienyeji sana!
Chemsha bangi, chuja, maji yake mtie sikio lenye matatizo, tone moja asubuhi, mchana, na usiku. Siku tatu, kama hajapata nafuu muone "specialist" wa ENT.
 
mh! Bangi? Hata km ni dawa cmshauri, sikio ni k2 kngne, ukikosea kdgo ndo ushamtia mtoto uziwi. Nenda kwa wataalam wa ENT,achana na bangi imekaa kienyeji sana!

Hapo wala sijafanya mchezo wala utani, anaeongelewa ni mtoto mdogo na ninathamini sana afya na furaha ya watoto, mimi nna vijukuu tayari.

Kuhusu bangi, naomba ufahamu kuwa ni dawa kubwa sana na imetumika kwa miaka mingi sana kama tiba ya mambo mengi tu, na mojawapo ni hiyo ya kutibu masikio.

Nakuomba google kidogo "marijuana cures" upate kuona bangi inavyo-tibu, ina-tibu mpaka baadhi ya cancer.
 
Zamani tulitumia majani ya bangi mabichi. Unatwanga kisha unakamulia tone kwenye sikio. Pia tulitumia mafuta ya kuku! Kizazi cha sasa so delicate kuhimili tiba za aina hii! Achana na hosp. za kitaa nenda Hospital kaone wataalamu.

Kama uko Moshi nenda KCMC. Kwa sasa utapata huduma nzuri maana hakuna wagonjwa wengi sana wote wametimkia kule!
 
Sijasema haitibu, ila kumbuka sikio la mtoto limemwuma kwa muda mrefu na ame2mia aina tofaut za dawa bla mafanikio, sa kuendlea kumjazlisha madawa huoni ni hatari? Unaonaje km ataenda kwa hao specialst wa ENT?

Hata mimi nafaham bangi ni dawa ila hii imeshakuwa serious case!
Hapo wala sijafanya mchezo wala utani, anaeongelewa ni mtoto mdogo na nnathamini sana afya na furaha ya watoto, mimi nna vijukuu tayari.

Kuhusu bangi, naomba ufahamu kuwa ni dawa kubwa sana na imetumika kwa miaka mingi sana kama tiba ya mambo mengi tu, na mojawapo ni hiyo ya kutibu masikio.

Nakuomba google kidogo "marijuana cures" upate kuona bangi inavyo-tibu, ina-tibu mpaka baadhi ya cancer.
 
Cjasema haitibu, ila kumbuka sikio la mtoto limemwuma kwa muda mrefu na ame2mia aina tofaut za dawa bla mafanikio, sa kuendlea kumjazlisha madawa huoni ni hatari? Unaonaje km ataenda kwa hao specialst wa ENT? Hata mimi nafaham bangi ni dawa ila hii imeshakuwa serious case!

Hilo sipingani nalo kabisa na ndio maana kama utasoma vizuri "post" yangu, mimesema atumie siku tatu, kama haimsaidii aende akawaone ma "specialist" wa ENT.

Tunamuombea Mungu huyu mtoto apone kwa haraka. Sikio linauma vibaya sana. Na yote tuyasemayo hapo ni ya kujaribu kumtakia afya yake irudi na awe salama.
 
Mungu akubariki ndugu yangu!
Hilo sipingani nalo kabisa na ndio maana kama utasoma vizuri "post" yangu, mimesema atumie siku tatu, kama haimsaidii aende akawaona ma "specialist" wa ENT.

Tunamuombea Mungu huyu mtoto apone kwa haraka. Sikio linauma vibaya sana. Na yote tuyasemayo hapa ni ya kujaribu kumtakia afya yake irudi na awe salama.
 
Nawashukuru sana ndugu zangu. Michango yenu ninaithamini sana na ninaanza kuifanyia kazi mara moja.
 
Hilo tatizo je ulikuwa wakati anatumia antibiotic unamsafisha hilo sikio kwa kutumia zile pamba za masikio inasaidia sana huku anatumia dawa na wewe unamfanyia usafi asubuhi mchana na jioni na hicho kipamba unatubukiza kwenye maji ya vuguvugu kabla hujamsafisha nacho.
 
Pole sana ! Naamini mtu wa karibu anapooumwa familia nzima inakuwa na mfadhaiko. Umefanya vema kuuliza kwa wana-jf, Mungu alitupa mimea na wanyama kama dawa zetu na chakula, ndiyo maana hata mchungaji wa Loliondo amefunguliwa hayo.

Bangi na mafuta ya kuku ni tiba kwa maradhi ya sikio. Miye, niliwahi kushuhudia tiba hiyo kama walivyoeleza wana -jf !. Kama hutafanikiwa nenda kawaone wataalamu, usisahahau kumfanyia usafi mara kwa mara, hiyo ndiyo dawa ya kwanza. Mungu akutie uvumilivu na nguvu.
 
nawashukuru sana ndugu zangu.
michango yenu ninaithamini sana na ninaanza kuifanyia kazi mara moja.

Niliwahi kuelezwa kuwa mafuta ya kenge pia ni dawa nzuri. Binafsi sijawahi kujaribu ila Usukumani inatumika sana na wanaisifia.
 
MWONE dR. eDWIN WA MUHIMBILI 0715 283569 make appointement with him! is a gud ENT specialist
 
Pole sana utakapopata matibabu na tibu naomba uje utuambie as maisha haya uwezi jua lini itakuwa kwako
 
Nenda Magomeni karibu na kwa Shehe Yahaya kuna hospitali ya mmasai mmoja ni madocta wa koo, masikio na pua. Mwanangu alikuwa na tatizo hilo akiwa na miezi kama nane hivi. I attended a clinic there for sometime (almost six months once a week).

It took him two weeks to recover but we kept going there to as recommended by doctors. na sasa hivi anakaribia miaka minne tatizo halijajirudia tena. Walinambia ni fangus (walimpima) na walikuwa wanamsafisha kwa dawa kila nikienda na wanampaka dawa. I strongly recommend that clinic. Ni madokta wa Muhimbili. Si unajua kwenda muhimbili ni issue.
 
Pole sana maana mtoto mdogo hivyo akiumwa hata wewe mambo yako yanasimama.
 
Kuna doctor wa Muhimbili anaitwa Ekenywa, ila ana hospitali yake magomeni mwembechai, Mimi mwenyewe nilishaumwa sikio sana kama ambavyo mwanao ameumwa lakin nilipomuona ilinichukua wiki moja tu kupona. kufika kwenye hospitali yake fuata barabara ya lami iliyopo kwenye petrol station ya mwembechai, ukifuata hiyo barabara unatokezea magomeni Mikumi.

Ukiwa hapo sheli jaribu tu kuuliza kwa doctor Ekenywa utaoneshwa. Kwa bahati mbaya namba yake nimeiacha hom, by now cko tz. Lakini nakupa ukweli usiache kumpeleka kwani matibabu yake ni ya uhakika.
 
wa UDOM,
Omba rufaa mpeleke MUHIMBILI na nakupa namba za Madaktari bingwa Dr. ENICA 0754307717 na Dr. KIMARO 0784883190. Angalizo usikubali mtoto atibiwe PRIVATE.Atibiwe hapo hapo Muhi2.Yaani sina cha kuwalipa hao wataalam kwa jinsi walivyo toa tiba sahihi kwa mwanangu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom