msaragambo
Senior Member
- Aug 6, 2008
- 127
- 17
Kuna mgomo baridi wa Madereva wa magari makubwa ya Mizigo yanayokwenda nje ya nchi t siku ya Nne sasa na Hakuna taarifa zozote Rasmi kutoka Vyombo husika
Mgomo huu unatokana na madai ya Madereva ya muda mrefu dhidi ya Wamiliki wa Magari,TRA,unyanyasaji wa Askari barabarani na Tanroad kwa upande wa mizani
Madera waliandika Barua Ofisi ya Waziri Mkuu kupeleka Malalamiko yao Juu ya Kero zao na kueleza dhamira yao ya Kugoma ndani ya siku 40 kama madai yao hayatasikilizwa, mpaka mgomo unaanza tarehe 17july 2011 hakuna Majibu yeyeto yaliyotoka juu ya Madai yao
Kulifanyika Mkutano jana Kati ya Mkuu wa Mkoa,Mkuu wa Wilaya,wawakilishi wa Police,TRA katika kujaribu kutafuta suluhu ya Madai ya Madereva lakini walishindwa kupata muafaka mara baada ya Mkuu wa Mkoa Mh Mwakipesile kutaka kutumia Nguvu Na Ubabe badala ya kuyatafutia Ufumbuzi Madai ya Madereva
Mkuu wa Mkoa aliwaambia Madereva anayetaka kuendesha Gari aendeshe na asiyetaka aache,Kauli hiyo iliwakasirisha madereva waliokua wanamsikiliza na kusababisha Mkutano Kuvunjika
Source Mimi mwenyewe
Mgomo huu unatokana na madai ya Madereva ya muda mrefu dhidi ya Wamiliki wa Magari,TRA,unyanyasaji wa Askari barabarani na Tanroad kwa upande wa mizani
Madera waliandika Barua Ofisi ya Waziri Mkuu kupeleka Malalamiko yao Juu ya Kero zao na kueleza dhamira yao ya Kugoma ndani ya siku 40 kama madai yao hayatasikilizwa, mpaka mgomo unaanza tarehe 17july 2011 hakuna Majibu yeyeto yaliyotoka juu ya Madai yao
Kulifanyika Mkutano jana Kati ya Mkuu wa Mkoa,Mkuu wa Wilaya,wawakilishi wa Police,TRA katika kujaribu kutafuta suluhu ya Madai ya Madereva lakini walishindwa kupata muafaka mara baada ya Mkuu wa Mkoa Mh Mwakipesile kutaka kutumia Nguvu Na Ubabe badala ya kuyatafutia Ufumbuzi Madai ya Madereva
Mkuu wa Mkoa aliwaambia Madereva anayetaka kuendesha Gari aendeshe na asiyetaka aache,Kauli hiyo iliwakasirisha madereva waliokua wanamsikiliza na kusababisha Mkutano Kuvunjika
Source Mimi mwenyewe