Poleni sana ndugu zetu wasafiri hasa wendugu unaenda kwenye ViNONO njombe umenikumbusha mbali kiongozi "miguhu,misaula,ing'owo,inyatwanga,amasebele,ing'ande nk Vahungila mbevali kwilinga na vamwibata, vamwamdeke,vamwangimba,vamwalumato,vamwakalinga,vamwamuyinga, na vasegito mbevali!!!
Nye usemilwe ugimbi usope nzuki, fibagia pa Ifunda, ndiwona udobwike sana
Hakuna kinachooendelea, hivi hata hapa tunahitaji FFU kweli? au kutishiana tu??
Nye usemilwe ugimbi usope nzuki, fibagia pa Ifunda, ndiwona udobwike sana
Ndio waandishi wa habari wamefika sasa ivi, Kova yupo na FFU wake ila sijajua kazi yao hadi sasa! Haya mdau mwingine atusaidie kutujuza kitakachokua kinaendelea
msijisahau, mtandao wa watu huu. Nyie mnazungumza lugha yetu wakati wengine hawaelewi. Mtapigwa "ban" kama ya Mchungaji Father.
Nye usemilwe ugimbi usope nzuki, fibagia pa Ifunda, ndiwona udobwike sana