Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,342
- 6,467
Nimekuwa naendesha gari kwa muda sasa, jambo ambalo silitaki kabisa ni kugonga binadamu na kuua kwani yule atakayekufa anaweza kuwa ni bread winner hivyo kuacha msiba mkubwa kwa dependants wake. Pili, mimi mwenyewe naweza kuishia jela na kuwaacha dependants wangu pabaya.
Ninachosema ni kwamba USI-OVERTAKE GARI LA MBELE YAKO HASA LILILOSIMAMA KWENYE ZEBRA CROSSING kwani huyo dereva atakuwa amesimama kupisha watembea kwa miguu kuvuka barabara (watu wazima, wazee, watoto, wagonjwa, wanafunzi). Kama uki-overtake, ujue unatembeza MASSACRE!! Kwa kifupi kitendo hiki ni ujinga na upumbavu!!!
Ninachosema ni kwamba USI-OVERTAKE GARI LA MBELE YAKO HASA LILILOSIMAMA KWENYE ZEBRA CROSSING kwani huyo dereva atakuwa amesimama kupisha watembea kwa miguu kuvuka barabara (watu wazima, wazee, watoto, wagonjwa, wanafunzi). Kama uki-overtake, ujue unatembeza MASSACRE!! Kwa kifupi kitendo hiki ni ujinga na upumbavu!!!