binti ashura
Senior Member
- Jan 14, 2011
- 118
- 19
Madenti wachangishana 2,000 kukodi walimu!
Wakati tukiwa tunaaambiwa serikali ya JK inafanya kila jitihada ilimradi kuongeza idadi ya walimu mashuleni, hali ni tete ktk shule ya sekondari ya King'ong'o ya jijini Dsm....ambapo baada ya kukosekana kwa walimu....madenti wa skonga hilo wamefikia hatua ya kupiga doneee (kujichangisha) kiasi cha shilingi 2,000 kwa kila denti kwa mwezi ili waweze kukodi walimu wa kuwapa nondo (kuwafundisha).
Akizungumzia walimu hao wa kukodi,Diwani wa Kata ya Saranga, Ephraim Kinyafu,alisema wanawakodi walimu ambao wamemaliza kidato cha sita na wengine kutoka shule binafsi.
Hata hivyo, amesema hadi sasa walimu hao waliomaliza kidato cha sita tayari wameshaenda vyuoni na hivyo kuiweka shule hiyo kuendelea kuwasaka wengine kujaribu kutatua tatizo hilo.
Nimelichukulia tatizo hili kama janga na ndiyo maana nimewaomba madenti kushiriki kutatua tatizo hili ambapo nimeona afadhali tuchangishane sh. 2,000 kwa kila denti kwa kila mwezi ili tuzitumie kuwakodi walimu kwa ajili ya kunusuru tatizo hili, amesema Kinyafu.
source: Madenti wachangishana 2,000 kukodi walimu!
kwangu naona wanafunzi hao wamechukua uamuzi wa msingi ila najiuliza je kule kijijini itakuwaje?
Wakati tukiwa tunaaambiwa serikali ya JK inafanya kila jitihada ilimradi kuongeza idadi ya walimu mashuleni, hali ni tete ktk shule ya sekondari ya King'ong'o ya jijini Dsm....ambapo baada ya kukosekana kwa walimu....madenti wa skonga hilo wamefikia hatua ya kupiga doneee (kujichangisha) kiasi cha shilingi 2,000 kwa kila denti kwa mwezi ili waweze kukodi walimu wa kuwapa nondo (kuwafundisha).
Akizungumzia walimu hao wa kukodi,Diwani wa Kata ya Saranga, Ephraim Kinyafu,alisema wanawakodi walimu ambao wamemaliza kidato cha sita na wengine kutoka shule binafsi.
Hata hivyo, amesema hadi sasa walimu hao waliomaliza kidato cha sita tayari wameshaenda vyuoni na hivyo kuiweka shule hiyo kuendelea kuwasaka wengine kujaribu kutatua tatizo hilo.
Nimelichukulia tatizo hili kama janga na ndiyo maana nimewaomba madenti kushiriki kutatua tatizo hili ambapo nimeona afadhali tuchangishane sh. 2,000 kwa kila denti kwa kila mwezi ili tuzitumie kuwakodi walimu kwa ajili ya kunusuru tatizo hili, amesema Kinyafu.
source: Madenti wachangishana 2,000 kukodi walimu!
kwangu naona wanafunzi hao wamechukua uamuzi wa msingi ila najiuliza je kule kijijini itakuwaje?