Rev Fr KABOKA mchizi
Member
- Feb 20, 2012
- 93
- 11
Mwalimu mmoja alikua anafundisha bahati mbaya akajamba akiwa anasisitiza point.
Kwa aibu alitoka darasan bila kuaga, akakaa wiki mbili bila kuingia clas. Wiki ya 3 akaingia darasan na mazungumzo yalikua hv:
Mwl: Last session 2liishia wap?
Wanafunz: Pale ulipojamba!
Kwa aibu alitoka darasan bila kuaga, akakaa wiki mbili bila kuingia clas. Wiki ya 3 akaingia darasan na mazungumzo yalikua hv:
Mwl: Last session 2liishia wap?
Wanafunz: Pale ulipojamba!