Mademu wengi wanateseka juu yangu...

Tatizo wanawake wa siku hizi wamekuwa ving'ang'anizi sana,mpaka tunaogopa hata kuwatongoza.Ukimpata mnakubaliana kwamba wewe ni rafiki yangu tu ila nina mchumba wangu mkisha do baadaye anataka akuharibie ili usije kumwoa huyo mchumba wako.Kila saa sms haziishi,iwe usiku,mchana ili mradi vurugu tupu.Ukimkatia mawasiliano anaanza vitisho eti ntaona kama utamwoa huyo mchumba wako.Jamani kina dada badilikeni unapompata mtu akikueleza ukweli ana mchumba wake usinogewe kiasi kwamba unataka ufanye na mapinduzi amwache wake wa zamani akuchukue wewe.

haaa urafiki gani wa kudo kabisa yani huyo rafiki anakua kama kipoozeo haipendezi huo ni usaliti
 
haaa urafiki gani wa kudo kabisa yani huyo rafiki anakua kama kipoozeo haipendezi huo ni usaliti
Hakuna cha usaliti ila ni katika makubaliano yenu wawili.Inaweza kuwa huko makazini, kwenye mikutano nk na katika kuzoeana wawili mkatamaniana ikafikia mahali mkaombana mchezo na mka do na si kwa ajili ya kuoana.
 
boflo usidhani wanakufuatilia eti kwa kuwa wanakupenda wewe lllaaaaa hashaaa wanachokipenda hapo ni hizo huduma ulizozitaja (kama afterall unazimudu kweli!) otherwise wanawake hatunaga mapenzi ya kufa na kuzikana kamuulize hata bibi yako atakwambia alichompendea babu yako na utagundua ukweli
 
Boflo,nilichogundua ni kwamba wadada wanataka ku-prove kama wewe ni Boflo a.k.a mkate je utalainika ktk supu au wewe ni jiwe utatengeneza supu ya mawe?sasa unapoishia njiani watasema kumbe kweli unafanana na jina lako!

btw kwanini huwatafuni?huna meno au?
 
Boflo,nilichogundua ni kwamba wadada wanataka ku-prove kama wewe ni Boflo a.k.a mkate je utalainika ktk supu au wewe ni jiwe utatengeneza supu ya mawe?sasa unapoishia njiani watasema kumbe kweli unafanana na jina lako!

btw kwanini huwatafuni?huna meno au?

Ww Mc wa maharusini??? au
 
kumbe wasipokuchokoza una busara hivi.

mama yangu mzazi Mamndeny yaani mie ni mtu w busara sana ila tu ni mkali sana tena kwa mambo ambayo yana udhalilishaji hasa wa utu wa mtu. angalia sehem zote ninazo kuwa mkali ni kwenye wale wanaodhalilisha utu wa mtu.
 
Last edited by a moderator:
Nimekusoma my baby.
kazi zinakwendaje lakini.
mama yangu mzazi Mamndeny yaani mie ni mtu w busara sana ila tu ni mkali sana tena kwa mambo ambayo yana udhalilishaji hasa wa utu wa mtu. angalia sehem zote ninazo kuwa mkali ni kwenye wale wanaodhalilisha utu wa mtu.
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom