Safi sana iyo!. Upo wapi vile zanzibar au?Huko Bongo wamezoea kuomba omba (matonya style) sijui ni utamaduni wao! huku niliko ukitoa ofa na yeye anatoa basi ni Beijin kama kazi.
Safi sana iyo!. Upo wapi vile zanzibar au?Huko Bongo wamezoea kuomba omba (matonya style) sijui ni utamaduni wao! huku niliko ukitoa ofa na yeye anatoa basi ni Beijin kama kazi.
.............Tutabanana hapa hapa...........hahahahah lol
Jibu unalo my dear ..
.............Tutabanana hapa hapa...........
Yes i diduliniombea??
Mi jamani hii inanikera sana hadi sasa hivi nimejikuta sipendi kuchakachua tena! Kwani demu anakupigia simu na kubeep mara kibao nimekumiss, nimekumiss afu ukikutana nae anaanza kukuomba hela na hata kuonyesha kutoridhika
ninachotaka kujua kweli huwa wamekumiss au amemiss hela yako?
Atakwambia hana!!hahahahahaha! Na wewe uwe unamwomba siku 1, 1 ili ajue kero unayoipata.
you are so so weakkkkkkkk!!!!!!!!!!!!!!!Mi jamani hii inanikera sana hadi sasa hivi nimejikuta sipendi kuchakachua tena! Kwani demu anakupigia simu na kubeep mara kibao nimekumiss, nimekumiss afu ukikutana nae anaanza kukuomba hela na hata kuonyesha kutoridhika
ninachotaka kujua kweli huwa wamekumiss au amemiss hela yako?
kwanini?you are so so weakkkkkkkk!!!!!!!!!!!!!!!