Huwezi hata siku moja utatumia mtu mmoja kama sample ili kuelezea mazuri au mabaya ya watu wote watabora au hata sehemu yeyote ila na mbaya zaidi ni hapa unapotaka kubariki uovu wako na huyu mwenza wako.Acheni mambo ya kuiga yatawapeleka pabaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.