ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,649
Kwa mara nyingine tena bila kujua nipo ofisi ya pili wale mademu wa ile 'thread ya ana manii nyingin yuleee' wakaanzisha stori yao nyinge ya kungonoka. Safari hii walielekeza mashambulizi kwa Dr Ndodi na mafunzo yake ya mambo ya sita kwa sita. This time niliwakataza na kuwachimba mkwara wa nguvu.
M/ke wa kwanza: ...........(akataja jina la mwenzake) ulimsikia Dr Ndodi Startv eti anadai kulamba koni (yeye alitaja kabisa jina halisi la kitendea kazi) ni dhambi. Mimi nimemshangaa. wakati jamaa yangu nikimfanyiaga hivyo yaani huwa nammaliza kabisa.
M/ke wa pili: Mwenzangu sio kulamba (akataja jina lenyewe), hata kwenda chumvini anadai pia ni dhambi. Kwani nnayemfanyia si mume wangu ye anachokerwa nini? Mwenzangu hizo style mbili zina raha yake yaani ukifa..............(ikabidi niingilie kati).
Nikawaambia mwanzo na mwisho ujinga wao kuja kuuongelea ofisini kwetu, vinginevyo ntawaripoi. Nikawaambia pia kuwa na ile stori waliyomuongelea (nikawatajia jina) ntaenda kumueleza mhusika. Walivyoomba samahani hadi nikawaonea huruma. Ila niliwapa sharti moja nikisikia tena ushenzi wao nawapiga ripoti kwa Mkurugenzi wa Utawala. Wakaondoka limewashuka, na mimi nikarudi ofisini huku nikijichekea moyoni.
Jamani maofisini kuna uchafu mwingi unaendelea.........sio wa maneno tu hata vitendo, loooooooh! Mungu tuepushe mbali na hili janga ukimwi!
M/ke wa kwanza: ...........(akataja jina la mwenzake) ulimsikia Dr Ndodi Startv eti anadai kulamba koni (yeye alitaja kabisa jina halisi la kitendea kazi) ni dhambi. Mimi nimemshangaa. wakati jamaa yangu nikimfanyiaga hivyo yaani huwa nammaliza kabisa.
M/ke wa pili: Mwenzangu sio kulamba (akataja jina lenyewe), hata kwenda chumvini anadai pia ni dhambi. Kwani nnayemfanyia si mume wangu ye anachokerwa nini? Mwenzangu hizo style mbili zina raha yake yaani ukifa..............(ikabidi niingilie kati).
Nikawaambia mwanzo na mwisho ujinga wao kuja kuuongelea ofisini kwetu, vinginevyo ntawaripoi. Nikawaambia pia kuwa na ile stori waliyomuongelea (nikawatajia jina) ntaenda kumueleza mhusika. Walivyoomba samahani hadi nikawaonea huruma. Ila niliwapa sharti moja nikisikia tena ushenzi wao nawapiga ripoti kwa Mkurugenzi wa Utawala. Wakaondoka limewashuka, na mimi nikarudi ofisini huku nikijichekea moyoni.
Jamani maofisini kuna uchafu mwingi unaendelea.........sio wa maneno tu hata vitendo, loooooooh! Mungu tuepushe mbali na hili janga ukimwi!