Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 442
Eti wajameni kwanyi neno PEDESHEE/PAPAA lina maana ganyi maana kitaani madem na wanawake(wake za watu) hupendanga kuniitanga Pedeshee Mkarewenyu ila nashindwanga kuwaelewanga wana maana ganyi.
wamekupenda
Eti wajameni kwanyi neno PEDESHEE/PAPAA lina maana ganyi maana kitaani madem na wanawake(wake za watu) hupendanga kuniitanga Pedeshee Mkarewenyu ila nashindwanga kuwaelewanga wana maana ganyi.
Wamekutunuku! Neno la ki-congo hilo waulize wenyewe wanalijua vyema.
wanataka kukuchuna vihera vyao na wewe utakuwa unajipendekeza kwao
Ha ha ha ha ha ha haaaa......
We mkareee....
Utakuwa "unawanyunyulia" manyanya,na mandangaa.. Ndiyo maanaga wanakupendanga...
Usiongope..hiyo!
Kwani we hapana Mariooo...? Baadaye batakutongoza,na batakupa mahela benyewe!
bozo au kubwa ji.nga.
kamanda kwani wewe mgonjwa au waonekana dhaifu? wana maana una dalili zote za HIV/AIDS
maana yake ni mbaya sana...waambie waache mara moja!..
unahonga sana?
Eti wajameni kwanyi neno PEDESHEE/PAPAA lina maana ganyi maana kitaani madem na wanawake(wake za watu) hupendanga kuniitanga Pedeshee Mkarewenyu ila nashindwanga kuwaelewanga wana maana ganyi.
cjawah kuhonga wala kuhongwa
Mmh, -ganyi, -wenyu; wewe utakuwa pedeshee feki wa Kichaga.