Madawa ya kulevya ni tatizo kubwa sana nchin na hata duniani kwa ujumla na waathirika wakubwa ni vijana ndo wamekuwa watumiaji wakubwa wa madawa ya kulevya na kushindwa kuwa productive tena ktk maisha yao na mifano mingi ipo nchini hapa special kwa wasanii ndo wamekuwa wahanga wakuu sana wa madawa hayo ingawa tumeona wachache wao waliojitekeza hadharini na kuadmit wanatumia na kuahidi kuacha na pia kuanza harakati za kuamasisha vijana wengine na wasanii wenzao kuacha kutumia madawa hayo. Yote haya ni kwasababu ya mtandao mkubwa wa madawa hayo na pia nguvu ya hao wakubwa wanao fanya hiyo biashara maana hongo zimekuwa zikitumika kuwalaghai maofisi wa polisi ili mzigo kupita katika inlets and outlets tofauti nchini na hata katika mataifa mengine.
But mkereketwa mkubwa anakuja serikalini na tunaimani kubwa kwake kuwa atadeal na hili jamga la taifa la adawa ya kulevya ili kuwanusuru vijana wa taifa letu. ViVa JPM
View attachment 292101
Watu wengine wanapita airport, wanakuweka muda mrefu mpaka mizigo ichunguzwe sana, nilikwenda Singapore wiki 2 zilizopita ni tabu tupu, nawauliza customs officer, Mimi naishi Japan madawa ya kulevya nayatoa wapi? Wakanijibu kuna watu wanafanya connection route, let's say mtu anatoka Tanzania anakuja Japan, akifika hapa anashusha mzigo, mwenyeji anapokea anapeleka destination nyingine!
Nilichoka kabisa.
Madawa ya kulevya ni tatizo kubwa sana nchin na hata duniani kwa ujumla na waathirika wakubwa ni vijana ndo wamekuwa watumiaji wakubwa wa madawa ya kulevya na kushindwa kuwa productive tena ktk maisha yao na mifano mingi ipo nchini hapa special kwa wasanii ndo wamekuwa wahanga wakuu sana wa madawa hayo ingawa tumeona wachache wao waliojitekeza hadharini na kuadmit wanatumia na kuahidi kuacha na pia kuanza harakati za kuamasisha vijana wengine na wasanii wenzao kuacha kutumia madawa hayo. Yote haya ni kwasababu ya mtandao mkubwa wa madawa hayo na pia nguvu ya hao wakubwa wanao fanya hiyo biashara maana hongo zimekuwa zikitumika kuwalaghai maofisi wa polisi ili mzigo kupita katika inlets and outlets tofauti nchini na hata katika mataifa mengine.
But mkereketwa mkubwa anakuja serikalini na tunaimani kubwa kwake kuwa atadeal na hili jamga la taifa la adawa ya kulevya ili kuwanusuru vijana wa taifa letu. ViVa JPM
View attachment 292101
China watanzania wanasachiwa balaa hawaamminiki Nchi nyingi sasa
Nasikitika kuwa vita dhidi ya Biashara. Ya madawa ya kulevya siyo kipaumbele muhimu katika hawamu hii! Hajataja hata sehemu moja suala hili.