maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,241
- 5,346
dah hii thread imenifurahisha sana,lakini nadhani hawa wa kina akasha hawakujua wadeal na watu wa aina gani,walifanya nao biashara na wakaanza kuwatishia...kweny kitabu cha 48 Rule of power,rule no 16 inasema,Knows who you dealing with...RIP Akasha family,lakini kinachonishangaza,Mafia huwa hawaui member wa familia ambae hashiriki kwenye biashara ya familia,au mwanamke,iweje watoto na mke na ndugu wauawe? eqylpz,any idea?