Kuna tetesi kuwa madawa yaliyokwisha muda wake yanaendelea kusambazwa katika mikoa ya Tanzania na yameanzia Morogoro, lengo ni kuendelea kuziuza ili kuongeza pato la taifa linaloonekana kuyumba kutokana na serikali kuelemewa na mzigo wa madeni na fidia za kifisadi ikiwemo dowans.