KATIZAJI
Member
- Oct 11, 2007
- 58
- 5
Hivi mbwa wa Polisi hawaruhusiwi kunusa mizigo ya waheshimiwa wanapoingia/wanaporudi nchini kutoka ziarani nchi za nje, maana kuna mjumbe wa Baraza la Wawakilishi kasema viongozi ndio wanaingiza madawa ya kulevya!
Ni kwa nini hawa wanaotuharibia vijana (Nguvu ya Taifa) wanaendelea na uchafu wao na serikali inajua (JK aliwaambia Maaskofu), halafu mwisho wa siku hakuna kinachofanyika! Tufanye nini kulinusuru Taifa?
Ni kwa nini hawa wanaotuharibia vijana (Nguvu ya Taifa) wanaendelea na uchafu wao na serikali inajua (JK aliwaambia Maaskofu), halafu mwisho wa siku hakuna kinachofanyika! Tufanye nini kulinusuru Taifa?