spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GrEatThinkers,
Nimetafakari sana nimeona kwa kuwa Inafaa yale madampo ya Uchafu tuyape majina ya viongozi wezi,wahuni, wavunja sheria nk.
Hii itaturahishia kuwakumbuka milele, kizazi baada ya kizazi. Majina yao yatabaki kuwa ni kinyaa machoni mwa watanzania.
1: Dampo la Pugu-Liitwe Mackamba Dampo
2ampo la Kurasini-Liitwe RostArm Dampo
3:................................
4:................................
Orodhesha Dampo lako halafu pendekeza Jina.eep:
Nimetafakari sana nimeona kwa kuwa Inafaa yale madampo ya Uchafu tuyape majina ya viongozi wezi,wahuni, wavunja sheria nk.
Hii itaturahishia kuwakumbuka milele, kizazi baada ya kizazi. Majina yao yatabaki kuwa ni kinyaa machoni mwa watanzania.
1: Dampo la Pugu-Liitwe Mackamba Dampo
2ampo la Kurasini-Liitwe RostArm Dampo
3:................................
4:................................
Orodhesha Dampo lako halafu pendekeza Jina.eep: