Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Naomba unielewe mama watotowangu,nimetoka kwenye mihangaiko ya kutafuta riziki siunajua naamka asubuh na mapema wakati mwingie nawaacha watoto bado wawelala?.... madameB nifungulie basi mbu wa dar wananiuma.......
Sasa wee junior .Cux unafurahi nini mke wangu kunifungia nje?.....honey usisikilize majungu nifungulie tuyamalize wawili
Sasa wee junior .Cux unafurahi nini mke wangu kunifungia nje?.....honey usisikilize majungu nifungulie tuyamalize wawili
Last edited by a moderator: