Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,946
- 32,164
Mpendwa Kipenzi changu cha Moyoni.
Ni siku moja tu tangu umenitoka,hakika siamini kama kifo kimetutenganisha.
Nakumbuka Mengi tuliyofanya tukiwa pamoja,
Nilikuogesha,Nilikupikia hata kukulisha huku nikikufanyia kila kitu ili usihadaike na watu wengine.
Japo muda mwingine ulinitia hasira kwa kuharibu Sofa zangu,Mashuka na hata vyakula vilivyopo ndani.
Nilivumilia yote kwa kuwa nilikuwa nakuhitaji mno.
Nilikupenda sana lakini Mungu alikupenda zaidi.
Namlaani sana jirani yangu kwa kukulisha sumu,akidai wewe ulimuibia,Lakini mbona hukuwahi kuiba nyumbani kwangu?
Nina uchungu,nina majonzi na masikitiko yasiyokoma,
Ila naamini ipo siku tutaonana na utanifuta machozi.
Tambua nakupenda sana Mbwa wangu Kipisi umeondoka wakati nakuhitaji.
Najua Panya watashangilia sana.
Ila.....(kilio na kwikwi... ndo hvo tena.
Utakumbukwa na wana JF Member's wenzangu wooote...!!!
Mashostito,Ma-brother man na Wakongwe woote wa JF CHITCHAT.
Na tuungane Kumuombea Kipisi wangu.
Mmiliki wako,
Madame B.
Ni siku moja tu tangu umenitoka,hakika siamini kama kifo kimetutenganisha.
Nakumbuka Mengi tuliyofanya tukiwa pamoja,
Nilikuogesha,Nilikupikia hata kukulisha huku nikikufanyia kila kitu ili usihadaike na watu wengine.
Japo muda mwingine ulinitia hasira kwa kuharibu Sofa zangu,Mashuka na hata vyakula vilivyopo ndani.
Nilivumilia yote kwa kuwa nilikuwa nakuhitaji mno.
Nilikupenda sana lakini Mungu alikupenda zaidi.
Namlaani sana jirani yangu kwa kukulisha sumu,akidai wewe ulimuibia,Lakini mbona hukuwahi kuiba nyumbani kwangu?
Nina uchungu,nina majonzi na masikitiko yasiyokoma,
Ila naamini ipo siku tutaonana na utanifuta machozi.
Tambua nakupenda sana Mbwa wangu Kipisi umeondoka wakati nakuhitaji.
Najua Panya watashangilia sana.
Ila.....(kilio na kwikwi... ndo hvo tena.
Utakumbukwa na wana JF Member's wenzangu wooote...!!!
Mashostito,Ma-brother man na Wakongwe woote wa JF CHITCHAT.
Na tuungane Kumuombea Kipisi wangu.
Mmiliki wako,
Madame B.