Madam Rita Paulsen na Benchmark Productions kwa hili mmetia aibu

MKATA KIU

JF-Expert Member
Nov 22, 2010
2,851
6,201
Heshima kwenu wadau..

Rita Paulsen anamiliki Benchmark productions ambayo ni kampuni ya kutengeneza music videos, matangazo na engineyo..

Kuonyesha kwamba productions zake ni magumashi na hata yeye hajiamini na kampuni yake Tangazo la bongo star search Kitoto chaanza tambaa ameshindwa kulifanya mwenyewe na kampuni yake au hata kampuni zingine za bongo na kuwasafirisha msanii, master jay, salama na crew nzima mpaka Mumbai india kwa ajili ya kufanyiwa tangazo na proffessional companies as bongo hakuna kampuni itayoweza kufanya tangazo quality

for more details cheki making of the advert in Mumbai, India uone waindi walivyojiachia kwenye tangazo la BSS,,

BEHIND THE SCENES OF THE EPIQ BONGO STAR SEACH COMMERICIAL (ENGLISH) - YouTube
 
Bss hakuna lolote la maana pale nadhani pesa ya udhamini wanakula toka shindano lianze hakuna hata product moja iliyopo kwenye chati
 
Dah kumbe walienda india duh haya bana

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kwani Tatizo Lipo Wapi ??? Mfano AUDI AG ndio wanatengeza Lamboghini ..President wake anatumia AUDI,BMW,Fiat na Lamboghini ..

Don't hate this is Business they have to impress Sponsors

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Nafikiri si madam Ritta bali kampuni ya Zantel ndo ilidhamini hilo tangazo na kugharimia kila kitu...
Tusipende kujamp kwenye conlusion..
 
kwahiyo kitu cha (zantel......mambo ni motooooo!) in madam rita voice,kimepikwa india? mbona kawaida sana, kwan nikichek tangazo naliona haliko kimbele kihivyo, ila zantel waendelee tu kuimprove huduma ya internet , biashara ya vocha imewashinda kucapture soko
 
Mkuu naomba nikueleweshe katika productions issues hayo masuala ni ya kawaida sana utakuta kampuni fulani inawapa tenda kampuni fulani kazi fulani hata movies nyingi za ulaya unakuta kampuni kubwa kama paramount pictures, 20 century Fox na Warner Bros wanatoa tenda kwa studio zingine ndogo ndogo katika kutengeneza movie ile then wao wanabaki na rights ya ku distribute na kuimiliki that movie ni nyingi sana nikianza kuzitaja hapa nitamaliza kesho kutwa mfano transformer ni movie ya paramount ila shooting imefanywa na di bonaventure picture

Pirates of the carribean ni movie ya walt disney ila imetengenezwa na Jerry Bruckheimer Films



Watanzania tunataka tufike level za juu za production ila watu wakianza kufanya kazi na makampuni ya nje mazuri its a Good start watu mnaponda na sielewi kwa nn mnaponda wakati tangazo ni zuri kuanzia quality mpaka concept

Pili watanzania tuna UMIMI LISM sana kila kitu tunataka kufanya sisi hata kama mwenzangu anaweza fanya kama mm tena kwa ubora ninaoutaka ila sisi watanzania tunasema yanini tunaponda ponda kwa mtaji huu hatutaendelea na tutamuona mwenzetu anazidi kupaa kila siku Bss inakua badala na sisi tufanye kazi tunasema kuwa eti amejiabisha....

Mfano mwingine ni kuwa mbona Apple zote design inafanywa CA ila kutengenezwa zinatengezwa China??
Kwani marekani hawana makampuni ya kutengeneza handset??

Ngoja niendelee kunywa kahawa yangu inapoa...
 
ili mtu kutia aibu ni kwamba afanye jambo ktk ofisi ya tuone ipo substandard ndipo ataonekana kutia aibu,who knows benchmarks na zantel wamekubaliana nin,sidhan kama madam rita angeona jambo linawezekana kufanyika kwake akaliacha coz she is always looking for oportunities to make money,kama angeona ametosheka kutafuta pesa nadhan asingetafuta mdhamini mwingne,kuna mambo ni confidential si lazima kila ajue is upon the two parties of the contract.Tuache majungu wakuu,si tunatakiwa kucomement kwny ile product ya wasanii wanaokuzwa na e-bss kama wanamit matarajio yetu au la.
 
Mkuu naomba nikueleweshe katika productions issues hayo masuala ni ya kawaida sana utakuta kampuni fulani inawapa tenda kampuni fulani kazi fulani hata movies nyingi za ulaya unakuta kampuni kubwa kama paramount pictures, 20 century Fox na Warner Bros wanatoa tenda kwa studio zingine ndogo ndogo katika kutengeneza movie ile then wao wanabaki na rights ya ku distribute na kuimiliki that movie ni nyingi sana nikianza kuzitaja hapa nitamaliza kesho kutwa mfano transformer ni movie ya paramount ila shooting imefanywa na di bonaventure picture

Pirates of the carribean ni movie ya walt disney ila imetengenezwa na Jerry Bruckheimer Films



Watanzania tunataka tufike level za juu za production ila watu wakianza kufanya kazi na makampuni ya nje mazuri its a Good start watu mnaponda na sielewi kwa nn mnaponda wakati tangazo ni zuri kuanzia quality mpaka concept

Pili watanzania tuna UMIMI LISM sana kila kitu tunataka kufanya sisi hata kama mwenzangu anaweza fanya kama mm tena kwa ubora ninaoutaka ila sisi watanzania tunasema yanini tunaponda ponda kwa mtaji huu hatutaendelea na tutamuona mwenzetu anazidi kupaa kila siku Bss inakua badala na sisi tufanye kazi tunasema kuwa eti amejiabisha....

Mfano mwingine ni kuwa mbona Apple zote design inafanywa CA ila kutengenezwa zinatengezwa China??
Kwani marekani hawana makampuni ya kutengeneza handset??

Ngoja niendelee kunywa kahawa yangu inapoa...

Kaka naona unachanganya madesa, nina wasi wasi na upeo wako, apple zinakuwa assembled china sabab ya cost of productions, china kuna manpower kubwa kwa gharama nafuu compared to america, na sio apple tu hata sony, dell etc... So sijaongelea kufanywa kipande india bali limefanywa lote kuanzia script, locations, storyline na kila kitu refer hiyo video attached.

Tangazo la BSS lote limefanywa india na sio world class advert lenye complications za kutosha..

Na pia tunataka tuone kazi za benchmark productions na kiwango chake kabla hatujapeleka tenda za video hapo benchmark..

Naomba unitajie video au tangazo lililofanywa benchmark miaka ya karibuni ili tujue ufanisi wa hiyo kampuni... Naomba ututajie ili tujue kama kweli kazi wanaweza au la?

Nimetembea siajabu kuliko wewe na najua dunia inavyokwenda na nchi unazozitaja kote nimeshafika ukiondoa china so hunidanganyi kitu!

Naomba ujibu kwa hoja na relevant examples kama mimi nilivyo ambatanisha making of the video ya hilo tangazo naomba na wewe utoe mifano halisi kuhusu kazi za benchmark productions miaka ya karibuni.. Maana toka enzi za zali la mentali ya profesa jay benchmark kazi ufanisi hakuna na kazi hazionekani
 
Kaka naona unachanganya madesa, nina wasi wasi na upeo wako, apple zinakuwa assembled china sabab ya cost of productions, china kuna manpower kubwa kwa gharama nafuu compared to america, na sio apple tu hata sony, dell etc... So sijaongelea kufanywa kipande india bali limefanywa lote kuanzia script, locations, storyline na kila kitu refer hiyo video attached.

Tangazo la BSS lote limefanywa india na sio world class advert lenye complications za kutosha..

Na pia tunataka tuone kazi za benchmark productions na kiwango chake kabla hatujapeleka tenda za video hapo benchmark..

Naomba unitajie video au tangazo lililofanywa benchmark miaka ya karibuni ili tujue ufanisi wa hiyo kampuni... Naomba ututajie ili tujue kama kweli kazi wanaweza au la?

Nimetembea siajabu kuliko wewe na najua dunia inavyokwenda na nchi unazozitaja kote nimeshafika ukiondoa china so hunidanganyi kitu!


Naomba ujibu kwa hoja na relevant examples kama mimi nilivyo ambatanisha making of the video ya hilo tangazo naomba na wewe utoe mifano halisi kuhusu kazi za benchmark productions miaka ya karibuni.. Maana toka enzi za zali la mentali ya profesa jay benchmark kazi ufanisi hakuna na kazi hazionekani

I hope its gonna be long day...
Kwa msaada wa website yao
http://www.benchmarkproduction.co.tz/aboutus.html

Huko utakuta list ya Clients wao mimi siwezi jua Benchmarck wamefanya kazi gani so far kwani sina muda wa kuwafuatilia benchmarck but mimi nilikuwa najibu hoja yako kuwa eti wamejiabisha kwa kuwa wamewapa tenda india kwa kila kitu na mimi nikakujibu kuwa katika Today's world hiyo kitu ni cha kawaida sana kwamba kampuni ya Production wanaweza wapa kampuni nyingine uandaaji wa production kila kitu ndio mfano mdogo nikakupa pirates of the carribean vs disney vs jerry bukhleimer

Hizo nchi wewe kufika sio inshu wala sio tatizo ila kumbuka tu kila mtu akianza kuelezea sehemu alizofika kutakuwa hakukaliki...
Point yangu ni kuwa wewe kulalamika na kuwalaumu kwanini wametoa tenda kwa kampuni ya nje that was my point na kama unataka kupeleka video yako benchmark peleka kama hutaki nenda india na kama wewe kwakuwa wasema umetembea sana wapelekee tangazo lako Omnicom Group Inc. Pale NY ila angalia tu usiuze nyumba yako (nothing personal)
 
wivu wa kijinga tu,walikuomba uwasaidie pesa za tangazo,acheni wivu,watanzania kila mnalalamika,mbona mnaagiza makocha kutoka nje wakat ndani wapo,mbona mnaagiza furniture nje wakat VETA wapo,achen wivu,zantel ndio wanaogaramia na kuamua siyo mama rita
 
wivu wa kijinga tu,walikuomba uwasaidie pesa za tangazo,acheni wivu,watanzania kila mnalalamika,mbona mnaagiza makocha kutoka nje wakat ndani wapo,mbona mnaagiza furniture nje wakat VETA wapo,achen wivu,zantel ndio wanaogaramia na kuamua siyo mama rita
Mkuu pokea like mtu
Unakuta ni mwanaume halafu anaanza kupiga majungu
 
Heshima kwenu wadau..

Rita Paulsen anamiliki Benchmark productions ambayo ni kampuni ya kutengeneza music videos, matangazo na engineyo..

Kuonyesha kwamba productions zake ni magumashi na hata yeye hajiamini na kampuni yake Tangazo la bongo star search Kitoto chaanza tambaa ameshindwa kulifanya mwenyewe na kampuni yake au hata kampuni zingine za bongo na kuwasafirisha msanii, master jay, salama na crew nzima mpaka Mumbai india kwa ajili ya kufanyiwa tangazo na proffessional companies as bongo hakuna kampuni itayoweza kufanya tangazo quality

for more details cheki making of the advert in Mumbai, India uone waindi walivyojiachia kwenye tangazo la BSS,,

BEHIND THE SCENES OF THE EPIQ BONGO STAR SEACH COMMERICIAL (ENGLISH) - YouTube

Kiukweli umeibua changamoto nzuri inayoweza kujibiwa na Rita pekee!!
 
Nafikiri si madam Ritta bali kampuni ya Zantel ndo ilidhamini hilo tangazo na kugharimia kila kitu...
Tusipende kujamp kwenye conlusion..
Kaka hapo umeongea point kubwa sana hebu wajaribu kulisikiliza tena hii making of video(behind the scene) au lugha pia ni tatizo Zantel ndyo aliyedhamini kila kitu na c madam ritha!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom