MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,851
- 6,201
Heshima kwenu wadau..
Rita Paulsen anamiliki Benchmark productions ambayo ni kampuni ya kutengeneza music videos, matangazo na engineyo..
Kuonyesha kwamba productions zake ni magumashi na hata yeye hajiamini na kampuni yake Tangazo la bongo star search Kitoto chaanza tambaa ameshindwa kulifanya mwenyewe na kampuni yake au hata kampuni zingine za bongo na kuwasafirisha msanii, master jay, salama na crew nzima mpaka Mumbai india kwa ajili ya kufanyiwa tangazo na proffessional companies as bongo hakuna kampuni itayoweza kufanya tangazo quality
for more details cheki making of the advert in Mumbai, India uone waindi walivyojiachia kwenye tangazo la BSS,,
BEHIND THE SCENES OF THE EPIQ BONGO STAR SEACH COMMERICIAL (ENGLISH) - YouTube
Rita Paulsen anamiliki Benchmark productions ambayo ni kampuni ya kutengeneza music videos, matangazo na engineyo..
Kuonyesha kwamba productions zake ni magumashi na hata yeye hajiamini na kampuni yake Tangazo la bongo star search Kitoto chaanza tambaa ameshindwa kulifanya mwenyewe na kampuni yake au hata kampuni zingine za bongo na kuwasafirisha msanii, master jay, salama na crew nzima mpaka Mumbai india kwa ajili ya kufanyiwa tangazo na proffessional companies as bongo hakuna kampuni itayoweza kufanya tangazo quality
for more details cheki making of the advert in Mumbai, India uone waindi walivyojiachia kwenye tangazo la BSS,,
BEHIND THE SCENES OF THE EPIQ BONGO STAR SEACH COMMERICIAL (ENGLISH) - YouTube