Madam rita & master jay mnajichora

Hon.MP

Senior Member
Jul 15, 2012
153
86
Hebu kuweni fair, yaani Vincent anarudishwa nyumbani na Salma (mpiga-gita)anabaki hata bila kuingizwa danger zone huku mama Rita anasema hakuna kama huyo na master J anakenua meno tu wakati taaluma inanyewa hivi hivi?

Sipendi kuamini kuwa kuna watu wameandalia ushindi siku nyingi lakini mkiendelea na upuuzi huu sisi wapiga kura tutaanza kuwapigia ninyi kura za kukosa imani nanyi. Angalia mlivyombeba yule Salma (mhindi) amewashinda kubeba mgongoni mwishoe mmeamua kumbwaga kwa uchungu sana. Huyo hakustahili hata kuingia BSS 21 bora, ni dada anaye temea mate tu kwenye kipanza sauti na sauti ya kuua ngoma za masikio ya watu.

As for Salama Jabir huwa hatumchukulii serious maana inategemea kaamkaje na nani kampa kaneno ka kumzuzua perfomer. Lakini kwa Master J (mtaalam wa muziki) na Madam Rita (Chief Judge) angalieni sana mnahatarisha biashara yenu, maana siku za usoni hakuna atakayetoa udhamini kwa kuwa na upendeleo wa wazi namna hii.

Sikilizeni, mimi simfahamu yeyote katika washiriki lakini nawashauri kuwa hivi nyote watatu kaeni mahala m-playback episode ya Jumapili 07/10 mumsimilize Vincent as compared to the others Wavulana kwa wasichana (mtaona Kijana ana sauti ya mvuto, kaimba vizuri, good choice of song with a lot of feelings, anatawala steji, anaimba mistari ya kutosha sio kama wengine wanaimba kidogo tu halafu kudance na kuchombeza viungo yaaa!! yeeee!! n.k. Yaani hata ingawa Wababa namkubali lakini kwa episode ya Jumapili alifunikwa na Vincent maana alikuwa na wimbo wa kubore na hakuna cha maana cha kumsifia kwa siku hiyo na ndivyo ilivyokuwa kwa wengine wachache ambao hakika walikuwa off tune na wamewekwa tu danger zote.

Msibweteke na jina la mtu au alifanya vipi mwanzoni, toeni comments za ukweli kufuatana na performance ya siku hiyo! dada mpiga gitaa anaweza kuwa musician kwa kuweza kuchalaza nyuzi lakini kwa sauti na hata kutamka maneno hawezi anaumauma maneno na anaimba sauti isiyo na mvuto tena yenye pitch ya chini sana kila siku na kujificha chini ya kivuli cha usanii. Naye mumsikilize yeye toka episode ya mwanzo mtaliona hili waziwazi na mtaona aibu kwa kumsimamia na kumsalute wakati ni mweupe.

The more you stand for professionalism, truth & fairness, the more we shall support this Epiq BSS-programme & Benchmark production Ltd.:A S embarassed:
 
Ni kweli kabisa mkuu mimi toka walipomtoa rossemerry mpangala nikaona hapo kwenye ujaji kuna walakini na wala sioni kigezo cha kumpa ujaji huyo salama muziki wenyewe haujui kazi kutusi watu na kuongea upuzi tu hana hata aibu na huyo rita angewapisha watu wenye taaluma ya muziki akabaki kuwa mmiliki tu wa bss kweni lazima nae awe jaji au ndio mambo ya uuza sura hana uweledi kabisa huyo ni mlevi tu salama mabangi
 
No wonder why!
Washindi wa hako kamradi huwa wanaboronga tu kwa soko, I loved Amanda Walter kwenye BSS I, wakaja kumtoaga. Tangu kipindi iko hata siangaliagi hiyo makitu...
 
Hii kitu nilianza kuiona haina dili toka walivyomtoa Rosemary Mpangala.

Nilijua tu kuna mtu wao wanamuandaa!
 
Mi nilishaamua kuangalia bss kipindi cha auditions nijionee vioja nicheke basi. Huku kwingine sina habari napo kabisa, judgment zao zinanifanya niamini mshindi wao wanamjua.
 
Hebu kuweni fair, yaani Vincent anarudishwa nyumbani na Salma (mpiga-gita)anabaki hata bila kuingizwa danger zone huku mama Rita anasema hakuna kama huyo na master J anakenua meno tu wakati taaluma inanyewa hivi hivi?

Sipendi kuamini kuwa kuna watu wameandalia ushindi siku nyingi lakini mkiendelea na upuuzi huu sisi wapiga kura tutaanza kuwapigia ninyi kura za kukosa imani nanyi. Angalia mlivyombeba yule Salma (mhindi) amewashinda kubeba mgongoni mwishoe mmeamua kumbwaga kwa uchungu sana. Huyo hakustahili hata kuingia BSS 21 bora, ni dada anaye temea mate tu kwenye kipanza sauti na sauti ya kuua ngoma za masikio ya watu.

As for Salama Jabir huwa hatumchukulii serious maana inategemea kaamkaje na nani kampa kaneno ka kumzuzua perfomer. Lakini kwa Master J (mtaalam wa muziki) na Madam Rita (Chief Judge) angalieni sana mnahatarisha biashara yenu, maana siku za usoni hakuna atakayetoa udhamini kwa kuwa na upendeleo wa wazi namna hii.

Sikilizeni, mimi simfahamu yeyote katika washiriki lakini nawashauri kuwa hivi nyote watatu kaeni mahala m-playback episode ya Jumapili 07/10 mumsimilize Vincent as compared to the others Wavulana kwa wasichana (mtaona Kijana ana sauti ya mvuto, kaimba vizuri, good choice of song with a lot of feelings, anatawala steji, anaimba mistari ya kutosha sio kama wengine wanaimba kidogo tu halafu kudance na kuchombeza viungo yaaa!! yeeee!! n.k. Yaani hata ingawa Wababa namkubali lakini kwa episode ya Jumapili alifunikwa na Vincent maana alikuwa na wimbo wa kubore na hakuna cha maana cha kumsifia kwa siku hiyo na ndivyo ilivyokuwa kwa wengine wachache ambao hakika walikuwa off tune na wamewekwa tu danger zote.

Msibweteke na jina la mtu au alifanya vipi mwanzoni, toeni comments za ukweli kufuatana na performance ya siku hiyo! dada mpiga gitaa anaweza kuwa musician kwa kuweza kuchalaza nyuzi lakini kwa sauti na hata kutamka maneno hawezi anaumauma maneno na anaimba sauti isiyo na mvuto tena yenye pitch ya chini sana kila siku na kujificha chini ya kivuli cha usanii. Naye mumsikilize yeye toka episode ya mwanzo mtaliona hili waziwazi na mtaona aibu kwa kumsimamia na kumsalute wakati ni mweupe.

The more you stand for professionalism, truth & fairness, the more we shall support this Epiq BSS-programme & Benchmark production Ltd.:A S embarassed:

BSS-Bongo Star Fake.
 
Hebu kuweni fair, yaani
Vincent anarudishwa nyumbani na Salma (mpiga-gita)anabaki hata bila
kuingizwa danger zone huku mama Rita anasema hakuna kama huyo na master J
anakenua meno tu wakati taaluma inanyewa hivi hivi?

Sipendi kuamini kuwa kuna watu wameandalia ushindi siku nyingi lakini
mkiendelea na upuuzi huu sisi wapiga kura tutaanza kuwapigia ninyi kura
za kukosa imani nanyi. Angalia mlivyombeba yule Salma (mhindi)
amewashinda kubeba mgongoni mwishoe mmeamua kumbwaga kwa uchungu sana.
Huyo hakustahili hata kuingia BSS 21 bora, ni dada anaye temea mate tu
kwenye kipanza sauti na sauti ya kuua ngoma za masikio ya watu.

As for Salama Jabir huwa hatumchukulii serious maana inategemea kaamkaje
na nani kampa kaneno ka kumzuzua perfomer. Lakini kwa Master J (mtaalam
wa muziki) na Madam Rita (Chief Judge) angalieni sana mnahatarisha
biashara yenu, maana siku za usoni hakuna atakayetoa udhamini kwa kuwa
na upendeleo wa wazi namna hii.

Sikilizeni, mimi simfahamu yeyote katika washiriki lakini nawashauri
kuwa hivi nyote watatu kaeni mahala m-playback episode ya Jumapili 07/10
mumsimilize Vincent as compared to the others Wavulana kwa wasichana
(mtaona Kijana ana sauti ya mvuto, kaimba vizuri, good choice of song
with a lot of feelings, anatawala steji, anaimba mistari ya kutosha sio
kama wengine wanaimba kidogo tu halafu kudance na kuchombeza viungo
yaaa!! yeeee!! n.k. Yaani hata ingawa Wababa namkubali lakini kwa
episode ya Jumapili alifunikwa na Vincent maana alikuwa na wimbo wa
kubore na hakuna cha maana cha kumsifia kwa siku hiyo na ndivyo
ilivyokuwa kwa wengine wachache ambao hakika walikuwa off tune na
wamewekwa tu danger zote.

Msibweteke na jina la mtu au alifanya vipi mwanzoni, toeni comments za
ukweli kufuatana na performance ya siku hiyo! dada mpiga gitaa anaweza
kuwa musician kwa kuweza kuchalaza nyuzi lakini kwa sauti na hata
kutamka maneno hawezi anaumauma maneno na anaimba sauti isiyo na mvuto
tena yenye pitch ya chini sana kila siku na kujificha chini ya kivuli
cha usanii. Naye mumsikilize yeye toka episode ya mwanzo mtaliona hili
waziwazi na mtaona aibu kwa kumsimamia na kumsalute wakati ni mweupe.

The more you stand for professionalism, truth & fairness, the more
we shall support this Epiq BSS-programme & Benchmark production
Ltd.:A S embarassed:

Nani kakwambi kuwa Joackim Kimario (Master J) anajua muziki? studio yake ya masaki alikuwa anasaidiwa sana na injinia mmoja anaitwa Marlon Linje sijui kwa sasa alipo,wale wengine wote hawajui muziki kama yeye tu!
 
Sina la kuchangia kwa sababu vipindi vya kijinga kama hivyo huwa sina muda navyo sawa na kipindi cha mkasi.
 
hii kitu naona wamewaiga x factor maana na kwenyewe kule mambo sio mambo last time yule ma favorite alikuwa astro & chris rene naona wakawababia wakamchukua yule dada aliyekuwa kwenye audition ya florida
 
Kuhusu Vicent sikubaliani na wewe, kwani kiukweli dogo anajitahidi lakini sio mkali kiviile, yaani alikua wa kawaida sana kama wenzie. Perfomance yake kwa jana ilikua nzuri lakini bado ukimuangalia nahisi bado hatishi.
Hapo kwa kale kahindi upo sahihi 100%. Nilikua najiuliza walitumia vigezo gani kumuweka pale. Yaani eti kale kahindi koko kanaingia 21 bora. Kwanza hakajui kuimba, kanapiga makelele tu na kujaza mate kwa vipaza sauti. Thank God ametoka.
Kuhusu judgement za hawa majaji sijui tatizo ni nini lakini nina wasiwasi na uwezo wao.
 
  • Thanks
Reactions: Sal
Vicent hakustaili kutoka wamemuonea maana hata kwenye danger zone hakuepo kuna kale kavula keupe sijui kanaitwa nani mfupi ana pank alikua danger zone last time yule ndio alitakiwa atoke wamembeba itakua Madam anamtaka
 
Vicent hakustaili kutoka wamemuonea maana hata kwenye danger zone hakuepo kuna kale kavula keupe sijui kanaitwa nani mfupi ana pank alikua danger zone last time yule ndio alitakiwa atoke wamembeba itakua Madam anamtaka

uwe mkweli we ndiye unamtaka yule dogo now unamuonea wivu madam!!:eyebrows:
 
Hivi ivyo vipaji wanavyotafuta mbona tokea BSS imeanza sioni hata mmoja akisikika kwenye Mass-Media??
 
kwa kwel sik hixi hamna kitu kabixaaa, wakal wanatolewa wanbaki vilaza tu, bora maha plus inakaribia kuanza nadhani ndo kitu chenye maana kwa sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom