Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Kama kuna karani wa sensa asijisumbue kwani anaweza kuwa katika wakati mbaya.
Wadau hapa wameamua kutohesabiwa kwa kuwa serikali imefikia hatua ya kuwaita sio raia kuwa ni wakimbizi katika nchi yao wenyewe, mpango unafanyika watu kwenda kwenye ubalozi wa Canada kuomba hifadhi.
Wadau hapa wameamua kutohesabiwa kwa kuwa serikali imefikia hatua ya kuwaita sio raia kuwa ni wakimbizi katika nchi yao wenyewe, mpango unafanyika watu kwenda kwenye ubalozi wa Canada kuomba hifadhi.