Madaktari Interns wa Hospitali ya Rufaa Mbeya wameamriwa kuhama haraka iwezekanavyo katika hosteli za hospitali hiyo. Majengo ya hosteli hizo yamezingirwa na askari wa kuzuia ghasia na makachero wa kutosha huku wakiwa na silaha za kivita na nguo zao mwezini. Vijana wamekuwa busy wakihamisha mali zao na kwenda wanakokujua wao. Ingawa kuna askari wengi lakini utulivu umeonekana kwa vijana hawa na mazingira kwa ujumla. Inasemekana ifikapo saa 12 jioni hatakiwi kuonekana mtu katika eneo hilo.
Source: Machi yangu mwenyewe
Source: Machi yangu mwenyewe