Madaktari!

Kijakazi

JF-Expert Member
Jun 26, 2007
6,403
8,891
Hivi ni kwa nini madaktari (afya) wote au wengi wanatumia Dr. kabla ya majina yao hata kama hawana PhD?

Mimi nilifikiri Dr. ni kwa watu waliosomea PhD au labda waliotunukiwa kieheshima na chuo fulani, sasa nashangaaa mara nyingi nakutana na madaktari (afya) wengi wao wakiwa na degree moja tu lakini wanatumia Dr. kwenye majina yao, Je ni sawa, au kuna tofauti na Dr. ya PhD?
 
Kwani kirefu cha Dr. ni nini?

unajua watu wanaosoma kozi za kukata viuno ndo tatizo lao. Wanafikiria one sided. Ameweza kuingia jf ila ameshindwa kugoogle maana ya doctor. Hivi anafikiri kozi zake za unit mbili mbili ni sawa na pathology yenye unit 14? Ukiunganisha unit zote za kozi za miaka mitatu wanayosoma hazifiki hata robo ya unit za kozi ya medicine au bvm.
 
unajua watu wanaosoma kozi za kukata viuno ndo tatizo lao. Wanafikiria one sided. Ameweza kuingia jf ila ameshindwa kugoogle maana ya doctor. Hivi anafikiri kozi zake za unit mbili mbili ni sawa na pathology yenye unit 14? Ukiunganisha unit zote za kozi za miaka mitatu wanayosoma hazifiki hata robo ya unit za kozi ya medicine au bvm.

Sasa na wewe ndio unaongea nini? mimi nimeuliza swali kama ungekuwa kweli umesoma kihivyo ungejibu nilichouliza, hakuna swali la kijinga!

Mimi nauliza kutumia Dr. kabla ya jina la mtu wakati mtu hana PhD, wewe unaleta kebehi, watu inteligent wako simple sana hata siku moja hawana kebehi! Unajifanya unajuaa...

Kuna tofauti kati ya Dr. na Doctor kwani mtu aliyesomea sheria au kitu kingine chochote mpaka Phd haitwi Doctor?
 
Na hiyo maana umeitoa wapi?
Sio mimi nimeitoa wapi, iko hivyo, Dr. iko kwa ajili ya watu wenye PhD tu aidha ya kusomea au ya heshima! kwa hiyo kama mtu anatumia Dr. kujitambulisha ina maana ana PhD na si vinginevyo!
 
Sio mimi nimeitoa wapi, iko hivyo, Dr. iko kwa ajili ya watu wenye PhD tu aidha ya kusomea au ya heshima! kwa hiyo kama mtu anatumia Dr. kujitambulisha ina maana ana PhD na si vinginevyo!

Sawa kama umeamua hivyo, hongera. Kama vipi anzisha maandamano ya kupinga madaktari kutumia title Dr.
 
Sasa ushasema maDAKTARI Alafu unauliza kwa nini wanaitwa dr. muwe mnafikiria kwanza sio kuandika ilimradi umeandika! daktari kwa kiingireza anaitwaje? dr ni kifupi cha nini?
 
Sasa ushasema maDAKTARI Alafu unauliza kwa nini wanaitwa dr. muwe mnafikiria kwanza sio kuandika ilimradi umeandika! daktari kwa kiingireza anaitwaje? dr ni kifupi cha nini?

kiingereza wakitumia Dr. mbele ya jina la mtu ni lazima an PhD, kwa hiyo kama ana Phd ya medicine ndio Dr. inatumika mbele ya jina lake lakini kama hana PhD ana degree tu ya kawaida ndio wanatumia M.D (kumaanisha Medical Doctor) KUNA TOFAUTI, kwa ukiona M.D kaandikwa kwa Dr. ujue lazima ana PhD! kwa mfano Ulimboka (M.D) lakini kama ana PhD wataandika Dr. (M.D) Ulimboka!
 
unajua watu wanaosoma kozi za kukata viuno ndo tatizo lao. Wanafikiria one sided. Ameweza kuingia jf ila ameshindwa kugoogle maana ya doctor. Hivi anafikiri kozi zake za unit mbili mbili ni sawa na pathology yenye unit 14? Ukiunganisha unit zote za kozi za miaka mitatu wanayosoma hazifiki hata robo ya unit za kozi ya medicine au bvm.

kumbe ww na huyu mtoto hauna tofauti yeyote! badala umjibu kubwa zima sijui holder wa md/bvm/amo unampa mipasho ya taarabu! amekuambia hamjui mzee yusufu au, ndio maana mpo nchini mmekalia majungu ugonjwa kidogo tu ni lazima India kweli nyie ethiks zenu zero.BVM /DVM ovyo walipa kodi waliowafundisha wanafuga ngombe lakini soko hamna kisa magonjwa yanayoweza kuzuilika.Laiti ningekuwa ni mimi hata hyo sifa ya kuitwa daktari hapa bongo nisingeitamani! Mwanaume /msomi wa shoka anajisifia kwa kazi na si migomo migomo ya kibinafsi eti sisi muhimu , muhimu kwa lipi?
 
unaweza fananisha degree ya Medical doctor na phD ya sanaa!

hata mi nashangaa! Anataka kumfananisha dr chitage na dr nchimbi! Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa! Hivi hajiulizi hizi phd za sanaa zimeanza lini na medical practice imeanza lini. Dr za phd ni ulimbukeni wa kiafrika kutaka kuitwa hivyo ndo maana wako tayari kwenda kununua hata elimu. Hivi unadhani huko walikoendelea wenye phd wangeamua kujiita dr wangekuwa wangapi? Wanaona ni upuuzi tu! Ndo maamma ikaitwa dr of philosophy!
 
Medical Dictionary
Find Words, Definitions, Spellings & More for Free. Get ReferenceBoss!
www.ReferenceBoss.com
doc·tor (d
obreve.gif
k
prime.gif
t
schwa.gif
r)n.1. A person, especially a physician, dentist, or veterinarian, trained in the healing arts and licensed to practice.
2. a. A person who has earned the highest academic degree awarded by a college or university in a specified discipline.
b. A person awarded an honorary degree by a college or university.

3. Abbr. Dr. Used as a title and form of address for a person holding the degree of doctor.
4. Roman Catholic Church An eminent theologian.
5. A practitioner of folk medicine or folk magic.
6. A rig or device contrived for remedying an emergency situation or for doing a special task.
7. Any of several brightly colored artificial flies used in fly fishing.

v. doc·tored, doc·tor·ing, doc·tors Informal
v.tr.1. Informal To give medical treatment to: "[He] does more than practice medicine. He doctors people. There's a difference" (Charles Kuralt).
2. To repair, especially in a makeshift manner; rig.
3. a. To falsify or change in such a way as to make favorable to oneself: doctored the evidence.
b. To add ingredients so as to improve or conceal the taste, appearance, or quality of: doctor the soup with a dash of sherry. See Synonyms at adulterate.
c. To alter or modify for a specific end: doctored my standard speech for the small-town audience.
d. Baseball To deface or apply a substance to (the ball): was ejected because he doctored the ball with a piece of sandpaper.


 
kumbe ww na huyu mtoto hauna tofauti yeyote! badala umjibu kubwa zima sijui holder wa md/bvm/amo unampa mipasho ya taarabu! amekuambia hamjui mzee yusufu au, ndio maana mpo nchini mmekalia majungu ugonjwa kidogo tu ni lazima India kweli nyie ethiks zenu zero.BVM /DVM ovyo walipa kodi waliowafundisha wanafuga ngombe lakini soko hamna kisa magonjwa yanayoweza kuzuilika.Laiti ningekuwa ni mimi hata hyo sifa ya kuitwa daktari hapa bongo nisingeitamani! Mwanaume /msomi wa shoka anajisifia kwa kazi na si migomo migomo ya kibinafsi eti sisi muhimu , muhimu kwa lipi?

umemchamba vizuri japo hoja yako imekaa kinafkinafki
 
kumbe ww na huyu mtoto hauna tofauti yeyote! Badala umjibu kubwa zima sijui holder wa md/bvm/amo unampa mipasho ya taarabu! Amekuambia hamjui mzee yusufu au, ndio maana mpo nchini mmekalia majungu ugonjwa kidogo tu ni lazima india kweli nyie ethiks zenu zero.bvm /dvm ovyo walipa kodi waliowafundisha wanafuga ngombe lakini soko hamna kisa magonjwa yanayoweza kuzuilika.laiti ningekuwa ni mimi hata hyo sifa ya kuitwa daktari hapa bongo nisingeitamani! Mwanaume /msomi wa shoka anajisifia kwa kazi na si migomo migomo ya kibinafsi eti sisi muhimu , muhimu kwa lipi?


umemwambia ukweli. Labda umuhimu wao ni kuchukua visichana vya secondary jangwani . Na kwenda jolly club kuchukua malaya. Madokta wa bongo ******* tu hawana lolote.
 
Medical Dictionary
Find Words, Definitions, Spellings & More for Free. Get ReferenceBoss!
www.ReferenceBoss.com
doc·tor (d
obreve.gif
k
prime.gif
t
schwa.gif
r)n.1. A person, especially a physician, dentist, or veterinarian, trained in the healing arts and licensed to practice.
2. a. A person who has earned the highest academic degree awarded by a college or university in a specified discipline.
b. A person awarded an honorary degree by a college or university.

3. Abbr. Dr. Used as a title and form of address for a person holding the degree of doctor.
4. Roman Catholic Church An eminent theologian.
5. A practitioner of folk medicine or folk magic.
6. A rig or device contrived for remedying an emergency situation or for doing a special task.
7. Any of several brightly colored artificial flies used in fly fishing.

v. doc·tored, doc·tor·ing, doc·tors Informal
v.tr.1. Informal To give medical treatment to: "[He] does more than practice medicine. He doctors people. There's a difference" (Charles Kuralt).
2. To repair, especially in a makeshift manner; rig.
3. a. To falsify or change in such a way as to make favorable to oneself: doctored the evidence.
b. To add ingredients so as to improve or conceal the taste, appearance, or quality of: doctor the soup with a dash of sherry. See Synonyms at adulterate.
c. To alter or modify for a specific end: doctored my standard speech for the small-town audience.
d. Baseball To deface or apply a substance to (the ball): was ejected because he doctored the ball with a piece of sandpaper.



afadhali mkuu, maana kuna mtu kasema medical practioner haitwi Doctor
 
Back
Top Bottom