Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Serikali imechelewa sana kufanya hayo maamuzi wakawafukuza kipindi kile sasa hivi tumeshawazoea madokta wa Wa Cuba,Kichina na Kihindi Ching Chong Wu
Kwani walidai 13m au 3.5m ?
Kwa kauli hii hapo kwenye RED serikali imeonyesha udhaifu mkubwa na failure ya wazi na tutarajie waki behave kama Al-asaad wa Syria na Ghaddafi dhidi ya raia wake simply because watu wanataka haki yao na hutaki kuwapa kisa HUTAKI TU!.LIWALO NA LIWE ni vita kali kati ya Madaktari na Serikali...
LIWALO NA LIWE ni vita kali kati ya Madaktari na Serikali...
Kwa mujibu wa chanzo muhimu katika wizara ya afya, Serikali imejiandaa kuchukua hatu kali kwa madaktari wote waliogoma ifikapo kesho Ikiwa ''Ni pamoja kuwafukuza kazi na utumishi'' baada ya juhudi za Serikali na za Kimahakama ''KUTOHESHIMIWA''.
Pamoja na hatua hizo pia taratibu za kuandaa madktari mbadala toka taasisi nyingine za Serikali ikiwa ni pamoja na uwezekano wakupata msaada wa dharura wa Madaktari toka mojawapo ya Nchi za Afrika Mashariki, zinaendelea vizuri. Aidha ulinzi nao unaendelea na utaendelea kuimarishwa katika sehemu na maeneo mbalimbali.
Kauli hii bila shaka ina underline tamko la Serikali leo Bungeni kuwa '' LIWALO NA LIWE''
Wacha kuota ndoto za jioni wewe! Suluhu nini kila Dr mmoja serikali imlipe milioni 13 kwa mwezi?
Mkuu inaonekana ujui nguvu ya dola weye!
Wacha kuota ndoto za jioni wewe! Suluhu nini kila Dr mmoja serikali imlipe milioni 13 kwa mwezi?
Dr.Chichi kumbe bado hujaona tofauti ya mgomo uliopita na huu wa sasa! Ule wa mwanzo hakukua na amri ya serikali, hivyo serikali ingewafukuza kazi ingebidi iwalipe, which is another burden to the gvt. Safari hii imecheza tricky ambayo wengi wenu hamjaijua, ukifukuzwa hupati chochote maana umedharau amri halali ya mahakama, chezeya dola weye!
Halafu mkuu mjifunze kusoma alama za nyakati. Safari hii hamna back-up ya wananchi, watu wengi hawako upande wenu kwa sababu mmekuwa too demanding and not considerate!
Kwa hiyo, hao wa dharura ndio watakaokubali kufanya kazi kwenye mazingira duni (hakuna vitendea kazi, mishahara duni nk) au wataajiriwa madaktari duni pia, ambao wamekosa pa kwenda na hivyo kuiweka sekta ya afya rehani?Kwa mujibu wa chanzo muhimu katika wizara ya afya, Serikali imejiandaa kuchukua hatu kali kwa madaktari wote waliogoma ifikapo kesho Ikiwa ''Ni pamoja kuwafukuza kazi na utumishi'' baada ya juhudi za Serikali na za Kimahakama ''KUTOHESHIMIWA''. Pamoja na hatua hizo pia taratibu za kuandaa madktari mbadala toka taasisi nyingine za Serikali ikiwa ni pamoja na uwezekano wakupata msaada wa dharura wa Madaktari toka mojawapo ya Nchi za Afrika Mashariki, zinaendelea vizuri. Aidha ulinzi nao unaendelea na utaendelea kuimarishwa katika sehemu na maeneo mbalimbali. Kauli hii bila shaka ina underline tamko la Serikali leo Bungeni kuwa '' LIWALO NA LIWE''
Kumbuka kuwa Tanzania ina maelfu ya Madaktari ambao bado wanategemea serikali kama ndiyo mwajiri wao. Kila daktari, wa kila ngazi, ana shida tofauti na mwengine. Wengine watastafu mwisho wa mwezi huu, wengine mwezi ujao, wengine mwaka ujao n.k. Wengine wana watoto wanaowasomesha, n.k. Kila daktari atafanya maamuzi yake yeye mwenyewe. Ninachoweza kusema ni kuwa serikali ikikaza uzi madaktari wote watarudi kazini.
Kumbuka kuwa Tanzania ina maelfu ya Madaktari ambao bado wanategemea serikali kama ndiyo mwajiri wao. Kila daktari, wa kila ngazi, ana shida tofauti na mwengine. Wengine watastafu mwisho wa mwezi huu, wengine mwezi ujao, wengine mwaka ujao n.k. Wengine wana watoto wanaowasomesha, n.k. Kila daktari atafanya maamuzi yake yeye mwenyewe. Ninachoweza kusema ni kuwa serikali ikikaza uzi madaktari wote watarudi kazini.
This is erroneous reasoning/fallacy! Mtoto wako akikuomba umnunulie uniform huwezi kuanza kuorodhesha watoto wote wasio na uniform ndipo umnunulie. Kama ingekuwa hivi, hakuna tatizo ambalo lingepata ufumbuzi wowote mahali popote duniani. Hakuna mfanyakazi angepanda cheo au hata kuboreshewa maslahi yake. Ingekuwa pia kutaka kujenga hospitali moja Dar es Salaam mfano, mtu angesubiri kwanza mikoa mingine iwe na shida kama hiyo. Sasa si dunia ingekweisha kabla hata hatua moja ya maendeleo haijapatikana? Solution ni kila kitu kuangaliwa kulingana na umuhimu wake!ritz upo sahihi lets say kila dr anapata milioni 13 likimalizika hilo litachochewa la walimu kila mmoja kulipwa milioni saba baada ya hapo polisi ni suala lililopo wazi kuna mkakati wa makusudi kabisa wa kisiasa lakini kwa mtaji wa vifo vya watanzania
Wacha kuota ndoto za jioni wewe! Suluhu nini kila Dr mmoja serikali imlipe milioni 13 kwa mwezi?