Madaktari wenzangu: Only "Mass resignation" itawaamsha watawala!

Kwa kuzingatia masharti ya Sheria kuhusu kupata usajili wa muda, Baraza la Madaktari Tanganyika limeridhika kwamba madaktari wote ambao majina yao yameorodheshwa katika Taarifa hii, wamepoteza sifa na kwa sababu hiyo, usajili wao umesitishwa kuanzia tarehe 11 Julai, 2012. Madaktari wote wanaohusika wanatakiwa kurejesha hati za usajili wa muda kwenye Ofisi ya Msajili wa Madaktari kabla ya tarehe 17 Julai, 2012.





.


S/NO
JINA
REG. NO.
MUHIMBILI
1​
Dr. Dickson N. Sahini
363​
2​
Dr. Elphas G. Mrita
4902​
3​
Dr. Anastazia E. Komba
4973​
4​
Dr. Anna Lwemunge
5086​
5​
Dr. Mariam Amour
4974​
6​
Dr. Jackline Matowo
5372​
7​
Dr. Baya Kisiwa
4970​
8​
Dr. Lilian B. Komba
4871​
9​
Dr. Pavina Kazaura
5089​
10​
Dr. Herifrid Kimambo
5377​
11​
Dr. Kokuhabwa Mukurasi
5095​
12​
Dr. Evance Godfrey
5059​
13​
Dr. Emmanuel K. Luchagula
4874​
14​
Dr. Florence Mtei
5094​
15​
Dr. Alfonse Moyo
5097​
16​
Dr. Alkwinus Kabwogi
4889​
17​
Dr. Rebeca A. Kalikawe
4962​
18​
Dr. Aida O. Salum
5368​
19​
Dr. Aron Aron
5345​
20​
Dr. Sabza Masoud
4956​
21​
Dr. Ramadhani Kabota
4861​
22​
Dr. Norbert Benjamin
23​
Dr. Victroia Paul
5084​
24​
Dr. Godfery Chuwa
5097​
25​
Dr. Goodluck Mrosso
356​
26​
Dr. Luciana Albert
375​
27​
Dr. Gendagenda Mkombozi
372​
28​
Dr. Lucas Mselle
4919​
29​
Dr. Edna Mwakyembe
365​
30​
Dr. Haruna Rashid
552​
31​
Dr. Sara Lumumanji
5006​
32​
Dr. Paul Zacharia
4858​
33​
Dr. Abza Saka
4981​
34​
Dr. Baraka Maige
5361​
35​
Dr. Wilhelmuss I. Mauka
4979​
36​
Dr. Deogratius Mally
4960​
37​
Dr. Ahmad Fadhil Kombo
4868​
38​
Dr. Iman Bawazir
4799​
39​
Dr. Frank Kagoro
5046​
40​
Dr. Baraka Yessaya
5058​
41​
Dr. Naki Kiroga
5347​
42​
Dr. Bakari A. Gillal
4959​
43​
Dr. Linda August
5343​
44​
Dr. Shah Alkash
342​
45​
Dr. Chihoma Mhaki
358​
46​
Dr. Gloria Leo
337​
47​
Dr. Mohamed M. Ally
48​
Dr. Ahmed Kombo
5389​
49​
Dr. Steven Nandi
5030​
50​
Dr. Moses J. Karashani
5040​
51​
Dr. Innocent Mpuya
5371​
52​
Dr. Octar Javett
5048​
53​
Dr. Juma Mbugi
5018​
54​
Dr. Neema Nalitolela
4966​
55​
Dr. John Nkenda
4963​
56​
Dr. Ngutuni Jackson
5005​
57​
Dr. Malava F. Raphael
4982​
58​
Dr. Masawa Nyamunjeku
5000​
59​
Dr. Shubi Matovelo
4976​
60​
Dr. Winnie Temu
4965​
61​
Dr. Sarah Shiraz
5024​
62​
Dr. Hafsa Hawesi
5369​
63​
Dr. Anthony Kingilo
5330​
64​
Dr. Elikanaar Urio
5336​
65​
Dr. Zainabu Mkinde
5367​
66​
Dr. Shau Hamdan
5071​
67​
Dr. Cristogone Justine
4968​
68​
Dr. Conrade Ngonyani
4865​
69​
Dr. Deo B. Mwanakulya
4873​
70​
Dr. Lucy Laurent
4872​
71​
Dr. Khadija Juma
4969​
72​
Dr. Valentino Koja
5338​
73​
Dr. Aloyce F. Lengasia
4977​
74​
Dr. Zyleen Kasamali
4888​
75​
Dr. Mwajuma Mustapha
4971​
76​
Dr. Mariam Hamad
4859​
77​
Dr. Francis Mwimazi
4967​
78​
Dr. Hassan Barnabas
5364​
79​
Dr. Grace Mmasi
5045​
80​
Dr. Mohamed Mzige
4860​
81​
Dr. Elias Paschal
4961​
82​
Dr. Farida Mtonga
5002​
83​
Dr. Gabriel Mbwete
5337​
84​
Dr. Magdalena Dennis
4910​
85​
Dr. Ahmed Ahmed
4798​
86​
Dr. Joseph Shaban
5408​
87​
Dr. Prudence Premier
5409​
88​
Dr. Malaja Ng'wigulu
5019​
89​
Dr. Biswaro Malima
4975​
90​
Dr. Isaac Mlay
5007​
91​
Dr. Raymond Samwel
5017​
92​
Dr. Michael Kiremeji
5376​
93​
Dr. Viviene Mlawi
5000​
94​
Dr. John Jananga
5380​
95​
Dr. Said Ibrahim
5020​
96​
Dr. Alphonce Simbila
5047​
97​
Dr. Catherine Mlowe
5044​
98​
Dr. Barbara Mwaipola
4964​
99​
Dr. Joel J. James
5129​
100​
Dr. Bright Sangiwa
5053​
101​
Dr. Evance Alexander
4887​
102​
Dr. Martha Nkya
5335​
103​
Dr. Camilla Kinemo
5406​


KCMC
1​
Dr. Malkiadi P. Mbota
5208​
2​
Dr. Wilfred j. Meza
4900​
3​
Dr. Shomari O. Masenga
4983​
4​
Dr. Jamila J. Shemweta
5009​
5​
Dr. Godbless E. Massawe
5026​
6​
Dr. Rahel T. Mwavika
4879​
7​
Dr. Eliakimu P. Kapyolo
5032​
8​
Dr. Godfrey N. Barabona
5051​
9​
Dr. Aristides K. Raphael
4984​
11​
Dr. Emmanuel M. Manyonyi
5077​
12​
Dr. Herielly O. Msuya
5118​
14​
Dr. Noel J. Makundi
5142​
15​
Dr. Maxigama Y. Ndosi
5107​
16​
Dr. Patrick A. Karua
5137​
17​
Dr. George C. Mgalega
5155​
18​
Dr. Juma Adinan Juma
5151​
19​
Dr. Kenneth J. Mlay
5158​
20​
Dr. Njengo B. Mbanga
5145​
21​
Dr. Yesige A. Mutajwaa
5171​
22​
Dr. Mbazi D. Shemwetta
5139​
23​
Dr. Mwanaidi S. Mkwizu
5141​
24​
Dr. Peter E. Ng'wamkai
5109​
25​
Dr. Tumaini D. Ndibwire
5131​
26​
Dr. Lucas D. Ngamtwa
5161​
27​
Dr. Goodluck J. Ulomi
5143​
28​
Dr. Juma M. Nahonyo
5150​
29​
Dr. Emmanuel S. Masatu
4899​
30​
Dr. Angela E. Pallangyo
5110​
31​
Dr. Casto E. Mlay
5182​
32​
Dr. Birjna A. Hirani
5152​
33​
Dr. Anette J. Kessy
5178​
34​
Dr. Ester P. Lazaro
5190​
35​
Dr. Mugisha N. Nkoronko
5115​
36​
Dr. Sofia A. Ottaru
5146​
37​
Dr. Raya Y. Mussa
5132​
38​
Dr. Regina Y. Msanga
5148​
39​
Dr. Delfina R. Msanga
5147​
40​
Dr. Allen G. Kangarawe
5138​
41​
Dr. Sia C. Kiwia
5198​
42​
Dr. Peter E. Kipiki
5144​
43​
Dr. Avelina R. Kimaryo
5177​
44​
Dr. Peter F. Mwandiga
5075​
45​
Dr. Daimon B. Mwasamila,
5210​
46​
Dr. Emmanuel D. Lema
5185​
47​
Dr. Karungi J. Karoma
5130​
48​
Dr. Fortunatus m. Ibreck
5199​
49​
Dr. Sadiq S. Dawood
5121​
50​
Dr. Witness M. Mchwampaka
5186​
51​
Dr. Azza A. Naif
5111​
52​
Dr. Malkiadi P. Mbota
5208​
53​
Dr. Mariam T. Johari
5013​
54​
Dr. Daniel M. Chochole
5162​
55​
Dr. Oliver T. Masoy
5197​
56​
Dr. Gerald C. Robi
4927​
57​
Dr. Erasto S. Odindo
5229​
58​
Dr. Kasirye J. Collins
5243​
59​
Dr. George D. Dilunga
5239​
60​
Dr. Emmanuel S. Maro
5240​
61​
Dr. Irene R. Haule
5242​
62​
Dr. Godfrey A. Kisuma
5246​
63​
Dr. Frank M. Sudai
5231​
64​
Dr. Annette A. Marandu
5196​
65​
Dr. Joseph E. Soka
66​
Dr. Hans Mpimilwa
MBEYA REFFERAL
1​
Dr. Msafiri Lewanga
5069​
2​
Dr. Regan Rajuu
5224​
3​
Dr. Alex Mwakyandile
5311​
4​
Dr. Osmundi Dyegula
4954​
5​
Dr. Ireene Kato
5012​
6​
Dr. Lutaragula Masili
5067​
7​
Dr. Nindwa Maduhu
5209​
8​
Dr. Noel Dominic Swai
4952​
9​
Dr. Masanja Erasto Kasoga
5100​
10​
Dr. Mwanahamisi Japhary
4768​
11​
Dr. Nuru Mwambola
5100​
12​
Dr. Jane Maganga
5174​
13​
Dr. Karim Mohamed
4767​
14​
Dr. Joyce T. Massaro
5195​
15​
Dr. Kanjanja A. Amas
5213​
16​
Dr. Joseph Msemwa
5116​
17​
Dr. Jonas Lulandara
4851​
18​
Dr. Kulwa Itambula Joseph
5173​
19​
Dr. Josephat Mapunda
4890​
20​
Dr. Joseph Antony Legembo
5392​
21​
Dr. Saili Mbukwa
5381​
22​
Dr. Samwel Cherubini Mkumbe
5395​
23​
Dr. Serephine J. Mrosso
4950​
24​
Dr. Agapiti Hipoliti Chuwa
4903​
25​
Dr. Deusdedit Kalaso
4986​
26​
Dr. Ano A. Maseta
5437​
27​
Dr. Alinanuswe Kasililika
4953​
28​
Dr. Anicetus Rwebangira
5123​
29​
Dr. David Hamisi Mvunta
5172​
30​
Dr. Ally Mbwana Mhando
5327​
31​
Dr. Aminiel E. Ngomuo
5068​
32​
Dr. Emmanuel Obasy Mwakibinga
5010​
33​
Dr. Erica A. Balama
4687​
34​
Dr. Fred Frank
5281​
35​
Dr. Emmanuel Bahemana
5070​
36​
Dr. Elisonguo E. Kimambo
5282​
37​
Dr. Furaha Mwakafwila
5108​
38​
Dr. Emmanuel J. Itambu
4685​
39​
Dr. Beniedy A. Chitama
5205​
40​
Dr. Gwakisa John
5023​
41​
Dr. Charrido Chalo
42​
Dr. Winfrida Halinga
5435​
43​
Dr. Wistone I Ngaiza
5441​
44​
Dr. Honsia E. Moshi
5288​
45​
Dr. Lewanga Msafiri
5069​
46​
Dr. Peter Frank Saria
5202​
47​
Dr. Ngwilo Mwakyusa
5317​
48​
Dr. Adison Mpyambala
4955​
49​
Dr. Ilekizemba G. Khalfanis
4420​
50​
Dr. Angela T. Mlole
5013​
51​
Dr. Rajab Mramba
5245​
52​
Dr. Lusajo Raphael Mwakajoka
5441​
53​
Dr. Musa Gabriel
377​
54​
Dr. Bogias Fidelis Mwamgunda
378​
55​
Dr. Raymond Mwalonde
5230​


BUGANDO MEDICAL CENTRE
1​
Dr. Lukansola Makubula
4863​
2​
Dr. Amos Stanley
4876​
3​
Dr. George B. Rweyemera
4913​
4​
Dr. Peter J. Kitenyi
4925​
5​
Dr. Florian Mutasingwa
4918​
6​
Dr. Mwanaisha Seugendo
4905​
7​
Dr. Derick David
4884​
8​
Dr. Baraka R. Mkinze
4883​
9​
Dr. Emanuel Alphonce
4911​
10​
Dr. Paulina M. Manyiri
4891​
11​
Dr. Wilhelmina J. Mbwana
4924​
12​
Dr. Jacqueline B. Iraba
4941​
13​
Dr. Dismas Stephen
4934​
14​
Dr. Deo Donald Kisaka
4989​
14​
Dr. James J. Gesimba
5008​
16​
Dr. Athuman M. Mambo
4988​
17​
Dr. Hadija M. Bushahu
5015​
18​
Dr. Cosmas H. Mbulwa
4942​
19​
Dr. Raymond M. Wilson
5041​
20​
Dr. Elizabeth N. Kwiyolecha
5065​
21​
Dr. Flavian Simula
5165​
22​
Dr. George Adriano
5035​
23​
Dr. Enock J. Simeon
5079​
24​
Dr. Devotha J. Mbabala
5153​
25​
Dr. Hellen Munaku
5135​
26​
Dr. Kilemo J. Mzobora
5192​
27​
Dr. Shija F. Mahenda
5164​
28​
Dr. Frank Mayaya
5136​
29​
Dr. John N. Akwitende
5223​
30​
Dr. Dorice L. Shangali
5193​
31​
Dr. Albert J. M. Mnyanzilu
364​
32​
Dr. Amina J. Yusuph
5102​
33​
Dr. Immaculate Henry
5188​
34​
Dr. Deus R. Luhanga
5258​
35​
Dr. Noreen Jandwa
5279​
36​
Dr. Flora Willy Rumoka
5299​
37​
Dr. Gabriel C. Makenga
5303​
38​
Dr. Joel L. Maduhu
5307​
39​
Dr. Joan J. Nguma
5298​
40​
Dr. Museveni N. Justine
5349​
41​
Dr. Emanuel Nhonoli
4847​
42​
Dr. Ally Akrabi Munir
4773​
43​
Dr. Regina Mtayangulwa
4753​
AMANA
1​
Dr. Fredrick Tembo
5265​
2​
Dr. Daudi Hassan
5267​
3​
Dr. Tumaini Bryon
5247​
4​
Dr. Tenga Yerko
4886​
5​
Dr. Majala Maulidi
4870​
6​
Dr. Elice Mweluka
4877​
7​
Dr. Kibona Samwel
5296​
8​
Dr. Abdulrahan Amin
5037​
9​
Dr. Alexander Kailembo
366​
10​
Dr. Mwanaasha Malewenga
5448​
11​
Dr. Valeria Ndomba
5390​
12​
Dr. Anna Sanga
5016​
13​
Dr. Luoga Prospelia
4850​
14​
Dr. Georgia Kamese
5052​
15​
Dr. Ally Mbikilwa
5450​
16​
Dr. Peter Kyabaroti
5016​
17​
Dr. Mamelita Basike
5402​
18​
Dr. Mariam Msimbe
5191​
19​
Dr. Khadija Msami
5300​
20​
Dr. mosses Wamoa
5038​
21​
Dr. Jasinta Lugila
5363​
22​
Dr. hellen Machagge
5249​
23​
Dr. Anna Asenga
5265​
24​
Dr. Salum Mruma
5268​
25​
Dr. Neema Ntamanwa
5291​
26​
Dr. Fatuma Kibao
5316​
TEMEKE
1​
Dr. Godbless Charles
5168​
2​
Dr. Henry Jason Tarimo
4632​
3​
Dr. Clephace G. Mtana
4907​
4​
Dr. Daniel Joseph Mganyizi
4992​
5​
Dr. Elisha Otieno Osati
5336​
6​
Dr. Tony Mitala Luwukya
5455​
7​
Dr. Emmanuel G. Badya
4912​
8​
Dr. Phillipo S. Muhochi
4993​
9​
Dr. Alen Oden Kitalu
4994​
10​
Dr. Frexon Liseki Kiandiko
5180​
11​
Dr. Rose Sikazwe
5214​
12​
Dr. Nevelin Hezron
5216​
13​
Dr. Daniel A. Mashamba
5212​
14​
Dr. Hadija M. Kimwaki
5260​
15​
Dr. Lucas James Maiga
5400​
16​
Dr. Odiwa C. Ombati
5452​
17​
Dr. Thomas D. Kapela
4906​


ST. FRANCIS IFAKARA
1​
Dr. Greyson Mpinga
5403​
2​
Dr. Kasanzu Masanja
5262​
3​
Dr. Haitham Mohamed
5450​
4​
Dr. Massanja Dotto
5263​
5​
Dr. Nicholaus Sayana
4937​
6​
Dr. Kahibi Bernard
5055​
7​
Dr. Emmanuel Kimario
5098​
8​
Dr. Rebeca Majige
5064​
9​
Dr. Allen Kissanga
5321​
10​
Dr. James Zakaria
5326​
11​
Dr. Kurenje Mbura
5264​
12​
Dr. Nyambura Moremi
4920​
13​
Dr. Donald Kenedy
5056​
14​
Dr. Elipokea Sarakikya
5314​
15​
Dr. Magreth Kagashe
4894​
16​
Dr. John Mrina
4843​
17​
Dr. Sebastian Pima
5053​
M/ NYAMALA
1​
Dr. Veronica Lyandala
4908​
2​
Dr. Goodluck Mlimbila
4938​
3​
Dr. Geofrey Seusi
4923​
4​
Dr. Zena Suleiman
5087​
5​
Dr. Fadhil Mlimbila
5225​
6​
Dr. Wilfred Rutahoile
4882​
7​
Dr. Ikupa Mwasubi
5076​
8​
Dr. Janeth Mandepu
5025​
9​
Dr. Paul Swakala,
4928​
10​
Dr. Mwandu Makani
4929​
11​
Dr. Vivian Rugarabamu
5033​
12​
Dr. Mufida Mshimba
5133​
13​
Dr. Didas Patris
5069​
14​
Dr. Adelina Rutashobya
5112​
15​
Dr. Kunge Klint
5235​
16​
Dr. Pius Ezekiel
5272​
17​
Dr. Daniel Hubert
5290​
18​
Dr. Petro Sewa
5271​
19​
Dr. Diana Damian
5331​
20​
Dr. Egbert Eslone
5340​
21​
Dr. Meshack Ole Sabaya
5432​
22​
Dr. Manyere J. Kapongo
5428​
23​
Dr. Joseph Mkenda
5429​
24​
Dr. Wendy Robert
5430​
25​
Dr. Eshmedi Mathayo
26​
Dr. Jualako Nassoro
4775​
SEKOU TOURE HOSPITAL
1​
Dr. Akili Msei
5412​
2​
Dr. Patrick Mhagama
5415​
3​
Dr. Vitalis Ruyimba
5422​
4​
Dr. Robert Onesmo
5418​
5​
Dr. Catherine Moshi
5463​
6​
Dr. Musyangi Tekele
5445​
7​
Dr. George Ngimba
5420​
8​
Dr. Elias Ndongo
5275​
9​
Dr. Belkumas.H. Mbawala
5454​
10​
Dr. Ezekiel Kambona
4948​
11​
Dr. Zakayo Ilomo
5444​
12​
Dr. Yahaya Nasoro
4781​
13​
Dr. Rehema Mwabaya
5459​
14​
Dr. Grace Bash
5464​
HYDOM HOSPITAL
1​
Dr. Edwad Lengai
4990​
2​
Rommy andrew
5389​
3​
David Mgaya
4854​
4​
Innocent mtenga
5049​
5​
Edward Joseph
5011​
6​
Israel Alexseko
4901​
7​
Angelo Joachim
5042​
8​
Deogratius Baruba
4991​
9​
Johnson Joachim
5034​
10​
Evarist Kentgen
5043​
11​
Gabriel M. Soko
4915​
DODOMA REGIONAL HOSPITAL
1​
Gustavus Deusdedith
5385​
2​
Cassian G. Mkuwa
5384​

Imetolewa na:

Dkt Donan Mmbando
MWENYEKITI- BARAZA LA MADAKTARI TANGANYIKA


11 Julai, 2012.
 
Matthew 7:5

You hypocrite, first take the plank out of your own eye, and then you will see clearly to remove the speck from your brother's eye.

 
wengine wanakenua na kupump madr waache kazi kwa sababu wao wako nje huko wanao uhakika wa kutibiwa. sie wengine hata kusafiri hivi sasa twaingiwa hofu maana ukipata ajali waeza kujiozea zako na kufa a slow painful death huku ukijiona na nduguzo wakikutazama na kuanza matanga ilhali ukiwa hai. mi sijui kila mtu akianza kudai 'haki' yake sijui itakua taifa la namna gani maana nchi maskini kila mtu huona anaonewa! specialsist mzima unalalamikia gloves wewe specialist mzima unakosa ela ya kujinunulia gloves?? acheni huo ubahili! hivi mnajua sie huku maofisini tunanunua karatasi kwa pesa zetu mfukoni na vitu vingine kibao?? wakati mwengine tunasafiri kikazi bila hela na serikali inalimbikiza bila kulipa! hivi mnadhani ni nyie tu wenye matatizo!
 
Tulipokuwa tunasema hatuungi mkono mgomo, hatukuwa na maana kwamba tunawachukia madakatari wetu na kupuuza madai yenu, la hasha. Tuliangalia mambo mengi sana. Watu tujifunze kutambua aina ya viongozi tulionao. Kwa kiingereza tunasema 'they dont mind'. Tujifunze kutoka katika familia zetu yaani wanawake tulio nao. Wengine waume zao wakichelewa kurudi nyumbani au wasipokula chakula na familia wanasikitika sana na kujaribu kuwadadisi waume zao na kuwaomba waache tabia hiyo na kwamba kama kuna tatizo nyumbani waseme watalirekebisha. Wanawake wengine hicho kitu hakipo, ule usile nyumbani wanaona sawa tu. Urudi saa 10 usiku wanaona sawa tu. Hivi kweli mtu anafunga safari kwenda kuhudhuria mkutano wa uzazi wa mpango uingereza, halafu mnasema mna RAIS! What is He going to add there. Rais anatakiwa adeal na Micro issues siyo macro issues.
madaktari jipangeni upya, kama shida mmepata sana. Acheni wamalize muda wao, tujipange tuwaondoe madarakani 2012
 
mkuu natumia cm,i wish niipeleke huu ujumbe na kule fb! Pia natamani ma Dr na wananchi wote wa tz waione,waisome!labda itasaidia.drs wote MASS RESIGNATION ndo njia iliyobaki...naunga mkono hoja!
 
wengine wanakenua na kupump madr waache kazi kwa sababu wao wako nje huko wanao uhakika wa kutibiwa. sie wengine hata kusafiri hivi sasa twaingiwa hofu maana ukipata ajali waeza kujiozea zako na kufa a slow painful death huku ukijiona na nduguzo wakikutazama na kuanza matanga ilhali ukiwa hai. mi sijui kila mtu akianza kudai 'haki' yake sijui itakua taifa la namna gani maana nchi maskini kila mtu huona anaonewa! specialsist mzima unalalamikia gloves wewe specialist mzima unakosa ela ya kujinunulia gloves?? acheni huo ubahili! hivi mnajua sie huku maofisini tunanunua karatasi kwa pesa zetu mfukoni na vitu vingine kibao?? wakati mwengine tunasafiri kikazi bila hela na serikali inalimbikiza bila kulipa! hivi mnadhani ni nyie tu wenye matatizo!

Kweli ww ni kilaza!ss km mmeridhika na hiyo hali ya kujinunulia makaratasi mnataka drs wawasaidiaje?...yaani unaona ni haki dr anunue gloves kwa pesa yake ilihali hata huo mshahara hautoshi?ni haki yao kudai wanachodai,km ww umeridhika just mute!
 
kwenye orodha ilo jina namba 29 hapo muhimbili niaja niaje wakuu? kcmc namba 46
 
mkuu natumia cm,i wish niipeleke huu ujumbe na kule fb! Pia natamani ma Dr na wananchi wote wa tz waione,waisome!labda itasaidia.drs wote MASS RESIGNATION ndo njia iliyobaki...naunga mkono hoja!

Mkuu Christine mass resignation haitafanya kazi, believe me. Wao pia wana matabaka katika maisha, kuna wengine wana biashara zao, wengine ndugu zao wanajiweza na wanaweza kukaa bila kazi hata mwaka na wapo wengine wametoka katika maisha duni na familia masikini mno. Wakubali kwamba wameshindwa warudi kazini na wawatetee wenzao wenye matatizo, waanze upya. Mwaka 2015 siyo mbali wawasaidie watanzania kupata rais bora
 
Last edited by a moderator:
I think this is a brilliant idea, and mass resignation will be a solution to the doctors problems and to the healthy sector. I pray that it works out, also for the sake of Dr. Ulimboka
 
Kweli ww ni kilaza!ss km mmeridhika na hiyo hali ya kujinunulia makaratasi mnataka drs wawasaidiaje?...yaani unaona ni haki dr anunue gloves kwa pesa yake ilihali hata huo mshahara hautoshi?ni haki yao kudai wanachodai,km ww umeridhika just mute!
wakati na-doctarate kuna mate wangu mmoja aliambiwa na prof wake atengeze vitabu 16 vya thesis..mind u tulikua tunapewa stipend per se bila ela ya stationary, nadhani ungekua wewe na umaskini wako uliojikita kwene DNA wa kuendekeza dhiki ungekataa na kusema hujapewa hela ya stationary!! sasa ndio mentality hii mnayoiendekeza huku..dr anayeanza kazi anaanza na 900k + specialists mzima anaona tabu kujinunulia gloves!!, sasa sijui elimu yenu imewasaidia nini? mi naona bora muache tu kazi muende huko peponi kwen kila kitu, hamna faida kwa taifa hili. your unlearning curve and lack of reality is staggering!
 
Andiko hili limfikie JK alisomee huko huko mkutanoni london, nakala apelekewe pia Anna semambi Makinda na lile genge lake la wachumia tumbo pale dodoma!

Ila ukiangalia sana utaona wananchi wa kawaida ndio wanatakiwa wapigwe msasa kwa mambo kama haya bila hivyo kwa serikali yetu hii ni sawa na kupigia mbuzi gitaa tu.. they don care about us at all
 
Kama madaktari wote wangekuwa na msimamo thabiti, serikali hii ingelainika na kukaa nao huku wakisikilizwa kuwa ni watu wenye taaluma maalumu. Lakini inaeleka sasa kwa vile hata MAT nayo imegeuka kuwa chombo cha kisiasa, sitshangaa kuwa madakatari wamshakuwa fragamnented na kwa hiyo sidhani kama kuna lolote litakalowezekana. Kumbuka komba akitaka kuchekiwa anakwenda India; Kikwete akianguka jukwaani ataondoka na ziara ya ngambo ya kiserikali huku akienda kutibiwa. Hakuna mwanasiasa aliye active anayeweza kwenda kutibiwa Muhimbili isipokuwa tu wale wa upinzani na wale ambao wameshastaafu.
 
andikeni barua nyingine un waingilie kati. Huu ni ukiukwaji wa haki za binaadam na un haikubaliani kabisa. Ilazimisheni un iipeleke serikali kwenye mahakama ya icc
kama hii ni ukkiukaji wa haki za binadamu je kugoma na kuwaua watanzania mkiwa mmevunja sheria ni kutimiza haki za binadamu? Usiseme hayo watu wamepoteza ndugu zao
 
mkuu SANING'O LOSHILU kuna kitu kidogo sana,leo hii wewe unatumia mtandao(internet) inakugharimu nini wewe kuchukua jukumu la kuangalia hata takwimu za Shirika la Afya duniani(WHO)??!! uko radhi kuendelea kubisha(KWA USHABIKI NA SI KWA HOJA) wakati ungetumia muda huo kuthibitisha haya tuyasemayo na kuongeza ufahamu(maana elimu haina mwisho), kwa sababu ya uwepo ya watu kama ninyi ndiyo maana serikali inaendelea kuwadanganya na kwa KUTOTAKA KUJUA KWENU mnaumia na kulalamikia wale wale wanaowapa elimu..POLE
Ila tunatambua wengine mpo kazini hivyo endelea kupotosha umma kwa ushabiki!
 
Mass resignation ya nani doctors??? ambao wanaingia kwenye uwanja wa mapambano wala hawajui mbinu za adui wala silaha ambazo adui anazitumia,poor tz doctors ni wasomi lakini mimi sitakaa niwasahau ktk hili sikutegemea kama mtafanya hivi,mnaburuzwa na serikali hii dhaifu isiyojua inachokifanya,mnatishwa, kiongozi wenu anafikishwa mahakamani,mmesambaratika mnanyang'anywa leseni zeni,kiongozi wenu anawekwa ndani nanyi muko hoi.mlijua mlichokuwa mnakidai kweli?????mlikuwa na umoja kweli au mmesalitiana????shame on you mnamwaibisha sana Dr ulimboka,hivi akisikia mmesalimu amri atajisikiaje si ataona kama alikuwa anapigana vita ya kwake???mmelogwa???poor doctors haya ndio matusi yenu kwa Ulimboka ALIYENG'OLEWA KUCHA,MENO NA KUVUNJWA MBAVU?????
 
Mass resignation is your only way out of this mess. This will cause a total havoc, but is it achievable? And you have to make a perfect timing
 
Back
Top Bottom