Madaktari wenzangu: Only "Mass resignation" itawaamsha watawala!

Lkn mimi ninachokiona wanaorudisha mapambano nyuma ni wale wanaopenda kujipendekeza kwa wakubwa hasa wale ambao hawawezi kazi za mikono hasa kwa Surgical specialties kwani wanaona sehemu ya kujifichia ni serikalini maana hawawezi kupata ajira kwingine.
 
Wakiweza hiyo watakuwa wameiweza serikali,
Ku-import ma-doctor ni kitu ambacho ni kigumu sana, mie hapa nikirudi bongo nikarudi hapa na minyoo za bongo, kumpata dokta wa tropical inakuwa shughuri pevu. Sasa hao ma-doctor wa tropical watawatoa wapi? labda kenya.
 
Serikali kwenye corridors inatamba imeshinda vita na madaktari ...lakini hii ni hatari sana ...itajeuka vita kama ile ya Mahatma Ghadhi na India ..silent protest.....,ni ngumu mno kumeza kuwa madaktari kiongozi wao mkuu ..katekwa kateswa anapigania maisha yake.....Msaidizi wake anatishiwa sana...na mwisho anapigana mahakamani ..asifungwe...........

LAKINI RAIS KWENYE HOTUBA YAKE UKIANGALIA KWA MAKINI ALIJI CONTRADICT SUALA LA DR MPOKI.....ANASEMA ...." madaktari wamegoma pamoja na kiongozi wao[mpoki]..kuukaana mgomo huo ...,na kusema hajawatuma .."
Huyu ni mkuu wa nchi ..ina maana tayari yeye kama kiongozi mkuu nchini na akiwa na taarifa zisizo shaka anajuwa kuwa Dr Mpoki hakuwashawishi madaktari kugoma......Sasa kama ni hivyo njia nzuri kwa serikali wapeleke madaktari wote mahakamani badala ya kuwatisha viongozi wao..
MADAKTARI WAKI KAA KIMYA SAFARI HII WATAONEWA MAISHA YAO YOTE NA HII ITASHUSHA MORALI HATA KWA VIJANA KUWA MADAKTARI.....THIS IS BELOW THE BELT.....UJANJA UJANJA...
 
Analysis za kitaaluma kama hizi wanasiasa wa Bongo hawazielewi, wamezowea negotiations hata kwa vifaa na huduma extremely muhimu, angalia mfano mtu anaruhusu chakula kibovu kuingia sokoni, au Tanesco kununua majenereta 3rd hand.
Wanasiasa wa Tz wanatibiwa India, so nyie madaktari mkiungana mtasaidia afya kuboreka nchini, vinginevyo kwa hali iliyopo hata mafua yataua watu sana.
Mnategemea nn kama rais anakwenda Loliondo kunywa dawa at Tshs 500/=, atanunua CT SCAN ya say, 50,000K?
 
Ningependa kutoa pole kwa yale yaliyotokea na yanayoendeleakutokea katika nchini na nje ya nchi kuhusu sisi(madaktari).Pole kwa kumuuguzamwenzetu Ulimboka Steven(Dkt), Kushtakiwa kwa MAT, Kuhojiwa kwa Rais wetu NamalaMkopi(Dkt), Kufukuzwa kwa madaktari walio mafunzoni (Intern doctors), vitisho kwa wakuu wa idara n.k.

Mwaka huu Vyuo vikuu na shirikishi vya afya na tibavinategemea kutoa wahitimu kama ifuatavyo:

-MUHAS (150), KCMC(80), WBUCHS(50), HKMU(55), IMTU(45) naUDOM(0).
Kati ya hawa wapo wageni(foreigners) watakaorudi ktk nchizao, wapo ambao watakwenda kufanya internship katika hospitali za binafsi, nawapo wataenda kufanya kazi katika asasi zisizo za kiserikali(NGO)-kwaniinternship si lazima kufanya, ila hadi pale utakapoamua kufanya kazi katikahospitali. Kinachonishangaza serikali inasema inategemea madaktari 700 kutokavyuoni, inawatoa wapi?

MAONI:
Inawezekana katika kila jambo la nchi hii siasa(propaganda)imeingizwa, lakini si katika fani ya udaktari, hii ni fani(Profession) nainapaswa kuheshimiwa kama ilivyo. Si ajabu kiongozi kufika pale Hospitali yaTaifa na kukosa kipimo na kuambiwa kwenda Aga Khan au Regency, utamsikiaakisema “kwani havipo hapa” ukimweleza kuwa ni vibovu utasikia “wanapaswakuwakumbuka”..hii ni moja ya kauli ya kiongozi mmoja mkubwa serikalini!

-Si ajabu kumkutaSpecialist akifatilia damu kule Bloodbank,
-Si ajabu kumkuta Specialist analalamika hawezikuendelea na upasuaji kwani gloves zimembana sana(Sio saizi yake) nakushindwa kutumia vifaa vizuri,

Si ajabu kumkuta Specialist akisubiri hadi nguo za upasuajieti nguo hakuna!
Si ajabu kumkuta Specialist amejifunga shirt kichwani kamakofia, Si ajabu kumkuta specialist amevaa gauze kama mask!!
Si ajabu kumkuta Daktari amejihatarisha(being exposed) na damulakini hakuna Post Exposure Prophylaxis(PEP)

Hii ni katika hopitali ya Taifa, sasa jiulize kama hospitaliya Taifa hali ni hii, katika hospitali nyingine hali ikoje??

Kwa specialist, resident, registrar, interns wenye tabia ya kulalamika na kudaimabadiliko, ni mabadiliko yapi mnayoyadai ili hali muda wa mabadiliko hamsimamiimara katika kudai haki yenu??

Sitegemei madaktari wote kudai haki yao (kwani najua wasalitiwapo tu) lakini zaidi ya yote ni hawa wanaokuwa vuguvugu na wanafiki!!


KAMA WAZAZI/WALEZI
:

Mnawafundisha nini hawa wadogo wenu na watoto wenu, kuhusu kudai haki yako ya kikazI, “I know it is wisdom that takes courage to sit down and listen but it is the same wisdom which takes courage to stand for your right”.

KAMA VIONGOZI/WALIMU:
Unapokuwa ukipita round na wanafunzi wako(medical students,interns, registrar, residents), unajisikia nini pale wagonjwa wanapokufiakatika round, kwa sababu tu ya kukosa huduma ambayo ungeweza kutoa kwa mgonjwana kuwa chahu kwa wanafunzi wako? Wanafunzi wanakuonaje wakati ukisema, “in other countries they could have done soand so” wakati muda wa kudai hivyo vifaa na dawa hizo ndio huu? Wanafunziwako wankuonaje wewe kama specialistwakati wenzako wako katika mgomo wewe unapita round, tena wanafunzi wako wakiwana vitambulisho tu bila makoti, wewe ukiwa na koti?

KAMA WASTAAFU NAMADAKTARI BINGWA WATARAJIWA:
Wakati wadogo/watoto wetu(intern doctors) waakiwa wameachiwamzigo huu, najiuliza kwa mfano tunapokuwa katika MWR, Discussion Panel huwatunapima uwiano wa wagonjwa na treatment options:
Leo hii tukipima Option ya MASS RESIGNATION inashindikana?

-Neurosurgeons(4),
-Orthopeadicsurgeons(15),
-Pediatricians(30),
-ObGynaecologists(45),
-Physicians(60)regardless of subspeciality ie Neurolgist, Gastroenterologist,etc.
-Psychiatrist(30)-notpsychologist,
-Surgeons (40)-regardlessof subspecialty like Cardiothoracic, Plastic surgeons etc,
-Otorhinolaryngologist(20),
- Anaesthiologist 25(notanaeshetist),
-Opthamologist 30(notoptician,optometrist)…HII NI IDADI KWATANZANIA NZIMA.

Hofu kwetu kama specialists na hawa residents ni kwamba mafao, lakini tujiulize leo kama Profesa anapewa mafao ya 50,000/=Tshs kwamwezi hii ndiyo inayokufanya usigome au kuamua kuresign? Kweli?

-Cha kushangaza kuna megabrains nyingi sana za kutegemewa lakini wanaact kama hawajui hili, naamini specialists, Residents, registrar nainterns pamoja na medical students tulikuwa na APGAR SCORE ya 10 – 10!! Sasa inakuwaje microbrains ifanye hivi kwa megabrains.

If I weigh the option of mass resignation I believe it fits the puzzle, because I believe it won't take even a month for the government to call us back to the discussion table (UNDER OUR TERMS THIS TIME) , and in the mean time(I dare to believe that none of us can perish because of financial crisis).

On the other side the Government cant import other doctors,look at WHO doctor-patient ratio, every country needs one, and for those whothink they will import, ask yourself these questions from which country? Will theybe able to pay them(THIS should be above their home salary), accommodation,transport?

This is a profession(medical terminologies) and not just mere English, I bet they might needtranslators, how many? Will they pay them? Will those doctors work in thisenvironment or they have to come with medical equipments, medicine? For howlong will they have to stay here? Will they gain trust to people(rapport etc)?

Hebu tusimame pamoja katika hili, mengi yanafanyika bila mpango hukumu kusomwa mahakamani wakati huo huo, interns kufukuzwa ..sasa unajiuliza kesi ya nini kama tayari wameshafukuzwa, na Rais kuingilia madaraka ya mahakama (kutoa hukumu wakati jambo hilo hilo kukataliwa bungeni), lakini kuumizwa sana kwa Dkt,UlimbokaSteven.

PLEAD/CALL: LET US STAND TOGETHER NOW MORE THAN EVER, THIS TIME NOT IN TOTAL TOOLS DOWN BUT IN MASSRESIGNATION.
Haya sasa tujipange sawa sawa
 
If I have tears in my eyes, I will cry for myself because of what I see happening...Sijui kama tunajua tunafanya nini? Isipokuwa wahenga wanasema aliyelala usimwamshe maana ukimwamsha utalala wewe.
 
Madktari msiwe kama Wazanzibar, hawataki muungano waombe talaka.. Sio kila siku tunaendeshana kwa jambo ambalo mnaweza kabisa kuweka barua zenu za kujiuzuru. ACHENI kazi, andikeni barua ya kujiuzuru mchezo kwisha na hapo ndipo serikali itashika adabu.. Sipendi kabisa kushabikia haya lakini kama mnaona mshahara hauwatoshi acheni, halafu wakalete hao Wairan sijui waCuba lakini kuwatesa wananchi kwa migomo wakati mnajua fika kwamba hawahusiki ni Ushenzi mkubwa sana ambao binafsi yangu sintoweza kuungana nanyi..

Nitrarudia tena kusema uonvi baina ya bwana na mke hata kama anakuwa abused kiasi gani suluhisho sio kuua mtoto ili mzazi mmoja apate kukubali kusalimu amri.. Hapana, hapana hapana!..I myself, have lost too many close people kwa ujinga huu..
 
Am supporting them,the only way to overlap from the hands of these guys,as a doctors should be strike and stand for their rights.None but themselves should shout out for the benefit of Tanzanian.
 
Kuna kamsemo ka kizungu ambacho kwakuwa madaktari wetu ni wasomi...basi watakuwa wanakaelewa vema sana. Kinasema hivi ..."united we stand, divided we fall". Doctors need to stay together now than ever...

I support mass resignation...but also pleading for this Government to quickly call upon doctors and hold a gentleman discussion over a round table!

Negotiation between the government and doctors is the only solution for this saga...

C'mon wananchi wanakufa jamani...Hata hao madaktari wanaorudi kwa kuogopa vitisho hawafanyi kazi kwa moyo...
 
"This is a profession(medical
terminologies) and not just
mere English, I bet they might
needtranslators, how many?
Will they pay them? Will those
doctors work in
thisenvironment or they have
to come with medical
equipments, medicine? For
howlong will they have to stay
here? Will they gain trust to
people(rapport etc)?"

IT SEEMS TO ME LIKE THE GOVERNMENT IS FIGHTING A LOSING BATTLE IF DOCTORS STICK TO THEIR GUNS
 
acha kutisha serikali wewe ndio una data au serikali? kama hutaki kurudi kazini acha uone kama hujawa cheap labour migomo yenu sasa hivi haina logic hata mtoto mdogo anajua
 
Back
Top Bottom