Madaktari wauaji Mt. Meru Hospital arusha

Mvumbuzi hukujibu maswali yangu.
Mgonjwa wako ana diagnosis gani?
Tunaweza kukusaidia ushauri kwa nini alipewa/kunyimwa drip na kupewa discharge ili khali wewe unaona anatakiwa kubaki.

Hakuna kipimo chochote alichofanyiwa hapo Mount Meru ila hana HIV kwani tulishamfanyia vipimo vyote selian Hospital. Alikuwa na dysphagia na wakawa wanafikiri ana kifua kikuu kutokana na kila akila ana kohoa na chakula kutoshuka kooni. Kwa hiyo wakasema wana suspect inatokana na ESCC.
 
mvumbuzi yaonekana wewe unaishi kinadharia sana,na ni mtu wa kusikiliza maneno ya mtaani.inaelekea kabla ya kwenda mt meru ulisikia madaktari ni wauaji kwa hiyo chochote alichokifanya daktari ulikiona kinahusiana na mauaji ya mgonjwa wako,you were preoccupied with this wrong idea!
Hapa pia unaanza kuihisi mahakama haitakutendea haki hivyo siku utakayofika mahakamani utaona yote yanayofanyika si haki.
Try to look at the glass as half filled and not half empty.
Nakubaliana na wewe kupitia sauti unaweza kuleta mabadiliko lakini kamwe huwezi kushawishi mabadiliko kwa kutumia lugha za kihuni au kidhalilishaji.
Imagine madaktari wa mt meru waseme liwalo na liwe sasa wanaanza rasmi kuneglect wagonjwa kwa sababu hata wafanye kazi vipi reward wanayopata ni kejeli na dharau,unadhani utakua umeleta mabadiliko chanya au hasi?
Tafakari!


You can never ever convince me with your extremely weak arguments. Hoja zako uwashauri watoto wachanga waliozaliwa leo ambao hawajui system ya nchi hii inavyofanya kazi. Mimi ni mtu mzima na Muhuni hatetei wanyonge ila wahuni ni wale wote wanao-support madaktari wasio zingatia maadili ya kazi zao na hivyo kusababisha mateso na vifo vya wagonjwa. Kwa mtu timamu akiniweka mimi katika mizani hatahitaji interpretor wakueleza nani muhuni na nani muungwana. Na bvious hata kama tungekuwa na kipimo cha kupima tabia lazima percentage za uhuni kwako zingepanda mpaka 90%. Wanasema watu waliofilisika hoja always wana bank kwenye matusi na maneno ya kuwadhalilisha wenzao kwani convincing power inakuwa imefikia ukomo kama ilivyofikia kwako. Cha kufanya hapa mkuu pumzika sio lazima uchangie au kalale inawezekana akili zikacharhe tena ukapata point ila kwa sasa utaanza kutukana kwani hoja zako zinakoelekea sio kuzuri be careful.
 
Alafu mgonjwa alishatibiwa selian na mkapewa transfer kuenda ocean road kilichokufanya umlete mt meru ni nini?kilichokufanya kushindwa kumtibu hospitalini kwako ni nini kama alikuwa anahitaji drip tu?kuna umuhimu wa kuenda kuupgrade elimu yako au na wewe ni nesi?kama unaona umeonewa naomba ukalalamike kwa medical officer in charge ukalalamike

Wewe ni walewale halafu angalia unavyojichanganya kama alipewa transfer kwenda Ocean road mlimpokea wa nini hapo Mt Meru ? Pili umesema amepewa transfer kwenda KCMC which is which mbona hueleweki wewe dokta?
Did you ever seen any of these transfer documents au unaleta ushabiki wa kichovu hapa?

If you're a personal friend to Dr. Israel I didn't expect you to come up with something new otherwise you will be committing a daylight betrayal.

What you're trying to do here is mere fanaticism to defend your fellow Dr.Israel

You better mention even the name of the patient
 
umewahi kujaribu ikawa hivyo au unaextrapolate mazungumzo ya kwenye vijiwe vya kahawa?

Kama Sample size ya evidence niliyo nayo inatosheleza basi ninaruhusiwa ku- extrapolate kwani likelihood kwamba probability kwamba trend itakuwa hivyo inaweza ikawa 95% na confidence level inaweza kuwa 99%
 
Jamani hz ni kashfa.i know dr.israel personally as a friend and a workmate huyo mgonjwa ugonjwa wake (sitausema sababu ya doctor patient confidetiality) hatuwezi kuutibu hapa mt meru na inabidi aende kcmc fr further management.doctor kushauriana na nesi wake si kitu cha ajabu.plz rekebisha hiyo post yako na umuombe msamaha

HAKUNA KUOMBA MSAMAHA WALA KUREKEBISHA THREAD NYIE NDO MNATAKIWA MJIREKEBISHE. Nesi aliyekuwa na Dr. Israeli siku ile ndiye aliyemwaribia kwani kila wakati mgonjwa akiomba jambo yule Nesi alikuwa anamnongoneza Dr. Israel then ndo anamjibu mgonjwa in their own best interest. What is this? Na ikifika hapa nina question competence ya Dr. kwa kiasi kikubwa. Nilitegemea dokta asingemsikiliza yule mama bali atoe decision kama dokta kwani by far has more skills and is more knowledgeable than Nurse.
 
JF ni medium muafaka ya watu kushare experiences zao ktk maisha kama mtoa hoja alivyofanya. Swala la kusema angeenda kutoa taarifa linaonyesha jinsi analytical skills zako zilivyo ndogo ktk agenda husika.

Kama ungekuwa positive ktk hili basi ungelifanyia kazi na si kutetea kutowajibika.

Nimefuatilia exchange zako kinachonishangaza ni kwamba zaidi ya swala ku-smear mtu au taasisi hakuna kitu positive ulichopata ktk hiyo thread juu ya huduma hapo Mount Meru hususani kutoka kwa huyo dk husika. Why are you defensive?

Unaonekana kutokubaliana na mtoa hoja je ulikuwepo wakati hiyo incident inatokea?

Nadhani mtoa hoja alikuwa na nia njema tu ya kuweka wazi kilicho transpire. Swala la kusema ana smear mtu au taasisi ni moja kati weakness kubwa sana kwa watu wasioweza kujibu hoja za msingi.


You're very right. Nakushukuru kwamba umeona huyo jamaa anavyokuwa defensive bila kujaribu kutatua tatizo. Sijaona mahali aliposema hili suala tutalishughulikia kuonyesha kuguswa na tatizo lenyewe. Yeye haelewi anachoongea na hajui anafanya kazi mbaya ya upambe ambao hausaidii kubadili hali pale hospitalini. Wanatakiwa wachukue hatua na siyo kuwa defend wenzao.
 
Heshima kwako Mvumbuzi,

Mkuu leo nimepita Mt Meru Hospital nimedodosa habari ulizozileta jamvini nimegundua mambo yafuatayo.

Dr Israel simwajiriwa wa Mt Meru Hospital yuko kwaajili ya mazoezi [Internship].

Mkuu Dr Israel ni mchapakazi na hodari sana hana sifa mbaya ,mambo uliyoandika yana lengo la kumharibia.Nimeuliza watu wengi tena vitengo tofauti eg Maabara,X-Rays na Paramedical ilikujiridhisha na uchunguzi wangu usiokuwa rasmi.

Naomba kuwasilisha.


Kama si mwajiriwa basi ana bahati mbaya na mgonjwa wetu ila nazidi kusisitiza sina lengo la kumharibia huyu bwana mdogo yaani Dk. Israeli Kassago. Nafikiri hii lawama ni learning experience ambayo inaweza ikawa input nzuri sana ikam-shape akawa ana excellent medical professional. Next time ninaamini atafanya decision professionally na independently na siyo kwa utashi wa Manesi ambao lengo lao ni kupitisha siku wapate mshahara na kitu kidogo kutoka kwa mgonjwa. Manesi wa namna hii wanatakiwa watafutiwe kazi nyingine na si za kutibu wagonjwa kwani ukipata definition ya nursing ndo utajua nina maana gani.Pia nashawishika kusema most of Nurses hawajui kwa nini wamekuwa kwenye hiyo kazi au hawaitaki au walikosa opportunities au qualifications za kusomea fani nyingine na kujikuta dumped katika u-nurse.
 
Mvumbuzi kazi yako ni kutafuta makosa kwenye comment za watu na unakwepa kujibu maswali.kwanini mgonjwa hamkumpeleka ocean road?alafu unaandika eti mgonjwa aliomba aongezewe drip,toka lini mgonjwa akajua more thn his doctor nini kinahitajika kufanyika kwake?mtu mwenye dysphagia tunamwambia either aende kcmc au selian for biopsy ili tujue uvimbe histologicaly ukoje then aende ocean road sasa wewe umetoka selian na mkaambiwa muende ocean road ukaamua kumleta kwetu.also umesema mgonjwa shida yake ni chakula tu,mgonjwa wa naamna hiyo hatukai naye wodini unless awe anashindwa kupitisha hata liquids na drip siyo substitute ya chakula.tena dr.israel aliconsider kumuwekea gastric feeding tube bahati mbaya theater yetu inarekebishwa.kuwa na shukran kwamba mgonjwa wako alitibiwa.simtetei mtu coz i just know him personally,angekuwa anafanya madudu ningekuunga mkono ila he is a hardworker anayezingatia medical ethics
 
Kaka umeniuliza nina uhakika gani na hizo transfer.umejikanyaga mwenyewe ndugu yangu,umeandika walisuspect ana escc(esophageal squamous cell carcinoma).mgonjwa kama huyo direct watakuambia uende ocean road coz escc is radiosensitive.nina uhakika mgonjwa wako alikuwa na uwezo wa kumeza liquid foods otherwise usingeandika kuwa mgonjwa ana uwezo wa kutembea coz mtu ambaye angekuwa hypoglycaemic kutokana na kutokula angekuwa weak and bed ridden.also i believe ungeongea na dr.israel personally umueleze malalamiko yako coz kulalamika hapa does not gurantee kwamba ataiona hii thread so point yako kuwa hii ni changamoto kwake is invalid
 
Naogopa kuchangia thread hii (conflict of interest) ila kama kuna mtu wa MoH kwenye ngazi ya maamuzi ayachukue malalamiko haya.Hali ya mbaya na mnaona ushahidi ambao tayari umeanza kumiminika.
 
Dr Chichi with due respect ningeomba upime utetezi wako.Dunia imebadilika na watu wanajua haki zao.Kama mgonjwa ni terminally ill au ana ugonjwa ambao outcome yake ni doubtful close relatives wanakuwa counseled na kama hilo likifanyaika hakuna tena mikakanganyiko.Binafsi nimeshuhudia madudu mengi.Amini kuwa wachangiaji wana hoja na kwa pamoja tuzifanyie kazi.
 
I am tempted to write an "eassy" on this topic lakini nimegundua kwamba mleta mada has just decided to report, proceed and finally judge all Dr. of Mt. Meru hospital and expect all of us just to agree with his/her motion... SI SAHIHI!!!

Mvumbuzi umeleta hoja, umeulizwa very basic but relevant questions umeshindwa kujibu, ukipewa isight ya wataalam unakuja juu and judging anyone else as a person with attitude, but you have some serious attitude my friend!!

Your case is excellent ili kusaidia improvement ya quality of service, wizara pamoja na wadau wameanzisha special assignement weneywe wanaita "CONTINUOUS QUALITY IMPROVEMENT" - kwa ajili ya health care delivery points of services, you case would be a very nice avenue ya kuonyesha wapi tunakosea

Binafsi najua issue ziko sehemu nne,

  1. hao wauguzi na daktari - hawatoi full information kwa wagonjwa na wasaidizi wa wagonjwa
  2. Wewe au wagonjwa mara nyingi tunakaa kimya and we only speak out of frustration, which means tayari mood siyo yenyewe
  3. we dont know system ya utoaji tiba na hatuulizi na hatuambiwi
  4. Kibaya zaidi ni jinsi tunavyoshindwa kuelewa hali ya kila mmoja wakati wa kuuguliwa haiwezi kuwa best environment kama sherehe vile ambapo kila mtu atafanya unachoexpect
Ushauri wangu: Ripoti kesi hii, upate undani, uone nini kilitokea nk. utajifunza mengi sana

PS: Haya majibu ya kusema hakupimwa ila hana ukimwi tulipima selian sidhani kama yanaonyesha kuwa unajali, HIV haiui kinachoua ni magonjwa nyemelezi ndugu yangu... CHANGE YOU ATTITUDE TO SAVE LIVES!!
 
Kaka umeniuliza nina uhakika gani na hizo transfer.umejikanyaga mwenyewe ndugu yangu,umeandika walisuspect ana escc(esophageal squamous cell carcinoma).mgonjwa kama huyo direct watakuambia uende ocean road coz escc is radiosensitive.nina uhakika mgonjwa wako alikuwa na uwezo wa kumeza liquid foods otherwise usingeandika kuwa mgonjwa ana uwezo wa kutembea coz mtu ambaye angekuwa hypoglycaemic kutokana na kutokula angekuwa weak and bed ridden.also i believe ungeongea na dr.israel personally umueleze malalamiko yako coz kulalamika hapa does not gurantee kwamba ataiona hii thread so point yako kuwa hii ni changamoto kwake is invalid

Kwanza labda nichangie kwa kusema kuwa Madaktari wazuri na waadilifu serikalini ni wachache mno na ni kutokana na mfumo wetu mbovu wa kiuchumi na kisiasa, ni Hospitali gani hapa Tanzania isiyo mahili kwa Rushwa? Muhimbili kumeoza wala sihitaji kuelezea, Ocean road binafsi nimetoa rushwa kwa daktari mahiri tu na bado mgonjwa wangu akafa, KCMC nako nimeshuhudia rushwa kwa bingwa mzimaaa na ndipo mgonjwa akapewa Respirator machine baada ya kutoka Operation room, (fikiria nini kilitokea kwani machine hiyo ilizimwa toka kwa mgonjwa mwingine) Ukweli rushwa na hospitali zetu ni kama uji na mgonjwa na kama humpendi mgonjwa wako basi acha kuwapa chochote/CCD uone moto utakavyokuwakia, Mifano hai ninayo mingi lakini tuachane na hilo turudi kwenye hoja zako nilipoweka red, Nafikiri wewe ni daktari na ningependa nikuulize kama upo Monduli na umegundua mgonjwa wako ana Ca basi unataka kutuaminisha kuwa hawezi kuwa referred KCMC? Mbona Temeke hupeleka wagonjwa wao wa Cancer Muhimbili kwanza halafu Muhimbili ndio huwapeleka Ocean road,(Naamini unajua kwa nini huwa hivyo) tafadhali acha uongo kuwa mkweli na hata huyo naye Dr Israel mie namwona na makosa mawili tu ambayo ni ya kitaaluma/Medical ethics, moja kama kweli mgonjwa alikuwa na kansa je kwa nini Dr Israel ashindwe kutoa Palliative care hapo Mt Meru mpaka hapo nduguze watakapokuwa tayari kumhamishia KCMC au Ocean road? hivi kweli hujui kuwa Daktari hapaswi kumtoa mgonjwa wadini mpaka hapo mgonjwa atakaposema amepata nafuu? au ndio yaleyale ya kunyanyasa wagonjwa na kusahau kuwa muda wote madaktari mnapaswa kunyenyekea wagonjwa wenu pasipo kuonyesha dalili yoyote ya ku solicit rushwa, Pili Dr Israel haku- handle vizuri mgonjwa wake kwa kutokumuambia ukweli mgonjwa na nduguze..truth telling, kama alikuwa anafanya non voluntary Euthanasia then is fine vinginevyo alipaswa kukaa na mgonjwa/nduguze na awape elimu tosha na nafikiri wangemuelewa na ndugu Mvumbuzi asingeliweka hapa complain zake na kuwaita wauaji, Dr Chichi jaribuni kwenda na wakati la sivyo si mbali sana mtajikuta mnashitakiwa kila mara kwa kushindwa kutimiza wajibu wenu ulioandikwa vizuri tu ndani ya medical ethics, mnatakiwa mshukuru watu kama Mvumbuzi ni wengi japo mie naona ilikuwa ni haki kabisa huyo Dr Israel kushtakiwa pamoja na kwamba bado ni intern bado ingefundisha na wengine kuwajibika kwa wagonjwa ipasavyo
 
Dr Chichi with due respect ningeomba upime utetezi wako.Dunia imebadilika na watu wanajua haki zao.Kama mgonjwa ni terminally ill au ana ugonjwa ambao outcome yake ni doubtful close relatives wanakuwa counseled na kama hilo likifanyaika hakuna tena mikakanganyiko.Binafsi nimeshuhudia madudu mengi.Amini kuwa wachangiaji wana hoja na kwa pamoja tuzifanyie kazi.

kaka madudu kweli yapo and if the only way to solve them is by exposing thm then by all means lts do it.nakubali watu cku hz wameelimika na wanazijua haki zao but from a medical point of view the management of this patient remains as it is.for his disease the only place ya msaada ni orc.as a doctor nakubaliana na wachangiaji coz changes will make my work easier and i welcome them but ndugu yetu mvumbuzi thread yake ni ya jazba and not constructive @ all.ingekuwa huyo mgonjwa ws not managed well believe me hata mimi ningemsupport mvumbuzi regardless of the fact that i work here
 
Mvumbuzi kazi yako ni kutafuta makosa kwenye comment za watu na unakwepa kujibu maswali.kwanini mgonjwa hamkumpeleka ocean road?alafu unaandika eti mgonjwa aliomba aongezewe drip,toka lini mgonjwa akajua more thn his doctor nini kinahitajika kufanyika kwake?mtu mwenye dysphagia tunamwambia either aende kcmc au selian for biopsy ili tujue uvimbe histologicaly ukoje then aende ocean road sasa wewe umetoka selian na mkaambiwa muende ocean road ukaamua kumleta kwetu.also umesema mgonjwa shida yake ni chakula tu,mgonjwa wa naamna hiyo hatukai naye wodini unless awe anashindwa kupitisha hata liquids na drip siyo substitute ya chakula.tena dr.israel aliconsider kumuwekea gastric feeding tube bahati mbaya theater yetu inarekebishwa.kuwa na shukran kwamba mgonjwa wako alitibiwa.simtetei mtu coz i just know him personally,angekuwa anafanya madudu ningekuunga mkono ila he is a hardworker anayezingatia medical ethics

Dr inaonyesha ni jinsi gani imekuwa vigumu kwako ku-act professionally kwa jinsi unavyoendeleza malumbano yasiyo na tija.

Sijui kama tulimpata vizuri Mvumbuzi kwamba Dk. Israeli Kassago alikuwa ampatie hiyo drip lakini Nurse akaingilia kati kwa maana ya kumzuia (kumbuka kitendo hiki kilikuwa kinashuhudiwa na Mvumbuzi ambaye ni ndugu wa mgonjwa na ambaye kwa wakati huo alikuwa anaamini kuwa hiyo tiba ingemsadia sana mgonjwa). Huenda wote, the Nurse au the Dr walikuwa sahihi lakini baada ya hicho kitendo hakuna maelezo kwa mgonjwa/mwangalizi mtu anaondoka tu kama anatoka washroom (ukiachia mbali swala la barua ya discharge (i hope ni referral pia) kusubiriwa kwa two hrs hivi bila feedback)


Kwa kujiweka ktk position ya the Dk. Israeli Kassago inakufanya uonekana unprofessional zaidi kuliko the Dr in question. Maswali yako kwanini mgonjwa hakupelekwa Ocean road etc yanatia shaka sana kimaadili. Hapa knowingly or otherwise ni kwamba una -suggest kuwa ilikuwa ni makosa kumpokea mgonjwa hapo MMH in the first place irrespective ya hali yake na kwamba ungekuwa ndiyo incharge usingempokea (Ina-sound kwamba kwako hicho ni kigezo tosha cha kum-treat mgonjwa anyhow - I hope not).

Kauli kama toka lini mgonjwa akajua kuliko daktari (kwenye bold hapo juu) inaonyesha altitude yako inavyopingana na profession ya udaktari. Nafikiri ni ktk hali kutetea umeona utetee anyhow mpaka unakuwa oblivious. Unafahamu fika kuna consultations kati ya Dr na mgonjwa na kama Dr anajua zaidi ya mgonjwa kama unavyodai wewe, si wangekuwa wanaprescribe tu bila ku-consult.

Mimi nafikiri la kujifunza hapa ni kwamba kuna haja ya Drs kuboresha mawasiliano na mgonjwa/ndugu kuhusiana na development za mgonjwa husika (kuna mchangiaji mmoja alizungumzia swala la customer service). Nina hakika kabisa kama siku husika Dk. Israeli Kassago angewashirikisha mgonjwa na ndugu ktk maamuzi aliyofanya hili swala tusingekuwa tunalijadili hapa na kama inavyosemekana kuwa ni Dr Mchapakazi etc etc basi kungekuwa na maelewano mazuri tu kwa sababu angewapa maelezo ya kitaalamu.


All in all tuchukue the positive side of hiyo post kama nilivyoainisha hapo juu na vile vile tu-appreaciate the fact kwamba kuna watu when (perception) offended huwa hawawezi kukaa kimya. Kwa hiyo pamoja na kumtetea Dr elewa kwamba that day huenda aliteleza na kwa bahati akakutana na Mvumbuzi na siyo ku-justfy misconduct ya Dr kwa kuuliza maswali yasiyo na mashiko.
 
Kwanza labda nichangie kwa kusema kuwa Madaktari wazuri na waadilifu serikalini ni wachache mno na ni kutokana na mfumo wetu mbovu wa kiuchumi na kisiasa, ni Hospitali gani hapa Tanzania isiyo mahili kwa Rushwa? Muhimbili kumeoza wala sihitaji kuelezea, Ocean road binafsi nimetoa rushwa kwa daktari mahiri tu na bado mgonjwa wangu akafa, KCMC nako nimeshuhudia rushwa kwa bingwa mzimaaa na ndipo mgonjwa akapewa Respirator machine baada ya kutoka Operation room, (fikiria nini kilitokea kwani machine hiyo ilizimwa toka kwa mgonjwa mwingine) Ukweli rushwa na hospitali zetu ni kama uji na mgonjwa na kama humpendi mgonjwa wako basi acha kuwapa chochote/CCD uone moto utakavyokuwakia, Mifano hai ninayo mingi lakini tuachane na hilo turudi kwenye hoja zako nilipoweka red, Nafikiri wewe ni daktari na ningependa nikuulize kama upo Monduli na umegundua mgonjwa wako ana Ca basi unataka kutuaminisha kuwa hawezi kuwa referred KCMC? Mbona Temeke hupeleka wagonjwa wao wa Cancer Muhimbili kwanza halafu Muhimbili ndio huwapeleka Ocean road,(Naamini unajua kwa nini huwa hivyo) tafadhali acha uongo kuwa mkweli na hata huyo naye Dr Israel mie namwona na makosa mawili tu ambayo ni ya kitaaluma/Medical ethics, moja kama kweli mgonjwa alikuwa na kansa je kwa nini Dr Israel ashindwe kutoa Palliative care hapo Mt Meru mpaka hapo nduguze watakapokuwa tayari kumhamishia KCMC au Ocean road? hivi kweli hujui kuwa Daktari hapaswi kumtoa mgonjwa wadini mpaka hapo mgonjwa atakaposema amepata nafuu? au ndio yaleyale ya kunyanyasa wagonjwa na kusahau kuwa muda wote madaktari mnapaswa kunyenyekea wagonjwa wenu pasipo kuonyesha dalili yoyote ya ku solicit rushwa, Pili Dr Israel haku- handle vizuri mgonjwa wake kwa kutokumuambia ukweli mgonjwa na nduguze..truth telling, kama alikuwa anafanya non voluntary Euthanasia then is fine vinginevyo alipaswa kukaa na mgonjwa/nduguze na awape elimu tosha na nafikiri wangemuelewa na ndugu Mvumbuzi asingeliweka hapa complain zake na kuwaita wauaji, Dr Chichi jaribuni kwenda na wakati la sivyo si mbali sana mtajikuta mnashitakiwa kila mara kwa kushindwa kutimiza wajibu wenu ulioandikwa vizuri tu ndani ya medical ethics, mnatakiwa mshukuru watu kama Mvumbuzi ni wengi japo mie naona ilikuwa ni haki kabisa huyo Dr Israel kushtakiwa pamoja na kwamba bado ni intern bado ingefundisha na wengine kuwajibika kwa wagonjwa ipasavyo

ndugu yangu,temeke humpeleka mgonjwa muhimbili fr further pathological invesitigation ambayo kwetu sisi its either selian or kcmc.mgonjwa anayekuwa na pathological evidence ya cancer anaweza akapitia kwetu coz tukimrefer sisi as a goverment hospital its cheaper than coming from a private hospital.na kuhusu kumdischarge mgonjwa namsikiliza mgonjwa ila indication inatokana na physical examination ntakayofanya.kuna mgonjwa anakuambia amezidiwa wakati vipimo vyote vinaonesha yuko fit au kuna mwingine anakuambia yupo fit ila on the contrary he is seriously sick.kaka palliative care inatolewa kwa yule anayehitaji not every case.kwa ugonjwa wake tunawaambia wamlishe vitu laini or liquid food.angekuwa hawezi kupitisha hata maji asingepewa discharge.unamuweka mgonjwa kama huyo wodini mpaka ndugu anapopata hela akiondoka anaondoka na magonjwa mengine aliyoyapata hapa hospitali.as a doctor its critical to reduce the period of stay in the hospital as much as possible for your patient to prevent hospital acquired infections.pia kumbuka in africa infrstructure ni duni so mgonjwa anayeweza kuenda nyumbani kama huyu inabd umdischarge kupunguza msongamano coz sisi ni regional hospital we recieve thousands of patients.nadhani walishindwa kuelewana coz mi mwenyewe wodini kwangu nilikuwa na wagonjwa kama hao wa3.i counselled them wakaenda selian for biopsy wakatuletea majibu na tukawadirect orc directly.kumbukeni na sisi ni binadamu,we have feelings we just cant decide to kill someone.inatuuma but what can we do?nimshike mkono mvumbuzi na kumpeleka mpaka ocean road?
 
Kwanza labda nichangie kwa kusema kuwa Madaktari wazuri na waadilifu serikalini ni wachache mno na ni kutokana na mfumo wetu mbovu wa kiuchumi na kisiasa, ni Hospitali gani hapa Tanzania isiyo mahili kwa Rushwa? Muhimbili kumeoza wala sihitaji kuelezea, Ocean road binafsi nimetoa rushwa kwa daktari mahiri tu na bado mgonjwa wangu akafa, KCMC nako nimeshuhudia rushwa kwa bingwa mzimaaa na ndipo mgonjwa akapewa Respirator machine baada ya kutoka Operation room, (fikiria nini kilitokea kwani machine hiyo ilizimwa toka kwa mgonjwa mwingine) Ukweli rushwa na hospitali zetu ni kama uji na mgonjwa na kama humpendi mgonjwa wako basi acha kuwapa chochote/CCD uone moto utakavyokuwakia, Mifano hai ninayo mingi lakini tuachane na hilo turudi kwenye hoja zako nilipoweka red, Nafikiri wewe ni daktari na ningependa nikuulize kama upo Monduli na umegundua mgonjwa wako ana Ca basi unataka kutuaminisha kuwa hawezi kuwa referred KCMC? Mbona Temeke hupeleka wagonjwa wao wa Cancer Muhimbili kwanza halafu Muhimbili ndio huwapeleka Ocean road,(Naamini unajua kwa nini huwa hivyo) tafadhali acha uongo kuwa mkweli na hata huyo naye Dr Israel mie namwona na makosa mawili tu ambayo ni ya kitaaluma/Medical ethics, moja kama kweli mgonjwa alikuwa na kansa je kwa nini Dr Israel ashindwe kutoa Palliative care hapo Mt Meru mpaka hapo nduguze watakapokuwa tayari kumhamishia KCMC au Ocean road? hivi kweli hujui kuwa Daktari hapaswi kumtoa mgonjwa wadini mpaka hapo mgonjwa atakaposema amepata nafuu? au ndio yaleyale ya kunyanyasa wagonjwa na kusahau kuwa muda wote madaktari mnapaswa kunyenyekea wagonjwa wenu pasipo kuonyesha dalili yoyote ya ku solicit rushwa, Pili Dr Israel haku- handle vizuri mgonjwa wake kwa kutokumuambia ukweli mgonjwa na nduguze..truth telling, kama alikuwa anafanya non voluntary Euthanasia then is fine vinginevyo alipaswa kukaa na mgonjwa/nduguze na awape elimu tosha na nafikiri wangemuelewa na ndugu Mvumbuzi asingeliweka hapa complain zake na kuwaita wauaji, Dr Chichi jaribuni kwenda na wakati la sivyo si mbali sana mtajikuta mnashitakiwa kila mara kwa kushindwa kutimiza wajibu wenu ulioandikwa vizuri tu ndani ya medical ethics, mnatakiwa mshukuru watu kama Mvumbuzi ni wengi japo mie naona ilikuwa ni haki kabisa huyo Dr Israel kushtakiwa pamoja na kwamba bado ni intern bado ingefundisha na wengine kuwajibika kwa wagonjwa ipasavyo

Mkuu Big Up sana. I couldn't agree more with you!
 
ndugu yangu,temeke humpeleka mgonjwa muhimbili fr further pathological invesitigation ambayo kwetu sisi its either selian or kcmc.mgonjwa anayekuwa na pathological evidence ya cancer anaweza akapitia kwetu coz tukimrefer sisi as a goverment hospital its cheaper than coming from a private hospital.na kuhusu kumdischarge mgonjwa namsikiliza mgonjwa ila indication inatokana na physical examination ntakayofanya.kuna mgonjwa anakuambia amezidiwa wakati vipimo vyote vinaonesha yuko fit au kuna mwingine anakuambia yupo fit ila on the contrary he is seriously sick.kaka palliative care inatolewa kwa yule anayehitaji not every case.kwa ugonjwa wake tunawaambia wamlishe vitu laini or liquid food.angekuwa hawezi kupitisha hata maji asingepewa discharge.unamuweka mgonjwa kama huyo wodini mpaka ndugu anapopata hela akiondoka anaondoka na magonjwa mengine aliyoyapata hapa hospitali.as a doctor its critical to reduce the period of stay in the hospital as much as possible for your patient to prevent hospital acquired infections.pia kumbuka in africa infrstructure ni duni so mgonjwa anayeweza kuenda nyumbani kama huyu inabd umdischarge kupunguza msongamano coz sisi ni regional hospital we recieve thousands of patients.nadhani walishindwa kuelewana coz mi mwenyewe wodini kwangu nilikuwa na wagonjwa kama hao wa3.i counselled them wakaenda selian for biopsy wakatuletea majibu na tukawadirect orc directly.kumbukeni na sisi ni binadamu,we have feelings we just cant decide to kill someone.inatuuma but what can we do?nimshike mkono mvumbuzi na kumpeleka mpaka ocean road?


Naomba nirudie kusema kuwa uchumi na siasa zetu zimechangia kuchakachua fani yenu ya udaktari, Dr Chichi elewa kuwa hakuna mtanzania yeyote anayependa kulazwa Hospitalini bila kuwa amezidiwa, Hospitali zetu zina hali mbaya kupindukia, zingine zinafikia hata kunuka, vitanda vibovu, mashuka yale ya MSD wala huwezi jua ni rangi gani acha matobo yaliyopo,Hospitali zingine vioo vyote havipo na ni sawa na umelala nje then unaelekea kutetea kuwa mgonjwa hakuwa na indication ya kuendelea kuwa hospitalini? Cancer pt with Dysphagia? eti unasema Palliative treatment inatolewa kwa yule anayehitaji tu, toka lini imekuwa hivyo mkuu? inaelekea kuwa discharge ilitolewa kwa shinikizo la kupata nafasi/kitanda na ku neglect hali ya mgonjwa, nakubaliana na utetezi wako wa "to reduce period of stay in hospital and avoid nasocomial infection" lakini hapo napo inabidi doctor aangalie risk V/S benefit na ndio maana nikasema Udaktari wenu siku hizi umechakachuliwa na hali ya uchumi na siasa kwani Tz wagonjwa wawili/watatu si kitu cha kushangaa, mgonjwa anayetakiwa apewe msaada na Hospitali anatolewa mapema kupisha waliozidiwa...no room for chronic debilitating patient, kumbukeni "primum non nocere" na haihitaji nyie kuwashika mkono wagonjwa kuwapeleka Ocean road, kaa na mgonjwa/ndugu washauri vizuri kwa ufasaha pindi watakapokuelewa tayari hao ni ndugu zako na siku zote mgonjwa wakiTz ukimhudumia vizuri utake usitake atakupa rushwa kama sio asante. sijui tukoje!
 
Huyu mvumbuzi ni kituko kwelikweli!
Yaani yeye ni mtafiti,mwalimu,mwandishi wa habari,daktari,mwanasheria na judge.yaani he knows everything.

Ngoja nikuulize na hili
inachukua mda gani mtu kuendelea kuishi iwapo atakosa chakula?
 
Mvumbuzi kazi yako ni kutafuta makosa kwenye comment za watu na unakwepa kujibu maswali.kwanini mgonjwa hamkumpeleka ocean road?alafu unaandika eti mgonjwa aliomba aongezewe drip,toka lini mgonjwa akajua more thn his doctor nini kinahitajika kufanyika kwake?mtu mwenye dysphagia tunamwambia either aende kcmc au selian for biopsy ili tujue uvimbe histologicaly ukoje then aende ocean road sasa wewe umetoka selian na mkaambiwa muende ocean road ukaamua kumleta kwetu.also umesema mgonjwa shida yake ni chakula tu,mgonjwa wa naamna hiyo hatukai naye wodini unless awe anashindwa kupitisha hata liquids na drip siyo substitute ya chakula.tena dr.israel aliconsider kumuwekea gastric feeding tube bahati mbaya theater yetu inarekebishwa.kuwa na shukran kwamba mgonjwa wako alitibiwa.simtetei mtu coz i just know him personally,angekuwa anafanya madudu ningekuunga mkono ila he is a hardworker anayezingatia medical ethics

Jibu swali:

Hiyo transfer document ya Selian iliyosema mgonjwa apelekwe Ocean road uliiiona au mnayo Mt. Meru?.

Hiyo consideration ya Dr. israel ya kumwekea mgonjwa gastric feeding tube aliifanyia wapi? may be in closed door kwa sababu ndiyo mara ya kwanza unatoa hizi habari.

Nataka niseme wazi kwamba hamkuwahi kuwa troubled na huyu mgonjwa hivi please please achana na hako katabia ka kumsafisha mtu. Halafu sidhani kama ni muafaka kuendelea kulumbana tena ndani ya huu mtandao kwani kuna mambo mengine mengi ya maana ya ku-discuss.

Mimi nilichojaribu kufanya ni kutumia mtandao huu kwa manufaa ya wengine wengi ambao ni ngumu kufikisha kilio chao katika jamii.

Kumfahamu au kutomfahamu Dr. Israeli au yeye kuwa hard worker siyo immunity ya yeye kutofanya mistake kama aliyofanya. Kitu cha muhimu kwangu ni kwamba message yangu imefika na mmeipata. sasa kama imawaudhi au haijawaudhi, imewatendea haki haijawatendea mtajua wenyewe lakini ukweli ndio huo nilio-communicate na unfortunately sitaki kuwa mnafiki kwa kusema mambo ni mazuri wakati ni mabaya. Always huwa nasimamia ukweli na siwezi kuita chungwa limao au a spade a spoon; I call a spade a spade na chungwa ni chungwa.

Kama nimewaudhi au kumuudhi rafiki yako huyu try to do the best kwani ukiendelea kulalamika hapa it wont help kwani kesho nikija Mt. Meru nikikuta mambo yame- improve itakuwa rahisi mno ku- comment otherwise kama appreciation ya your hardwork.

Lakini pia remember that "HARDWORK WITHOUT KNOWLEDGE IS FOOLISHNESS" na hii inanifanya nione kwamba unaweza ukawa hardworker bila kutumia maarifa pia ukawa sawa na mtu ambaye hajafanya kitu aua amefanya tu upuuzi.
 
Back
Top Bottom