meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
wamesema kamwe hawatatoroka kwenda nchi nyingine kisa mazingira mabaya ya kazi hapa nchini.kamwe hawatakimbilia botswana,malawi,lesotho au rwanda.wamesema watapigania maslahi yao hapa hapa tanzania ili yaboreshwe na kuwasaidia watanzania wenzao.viva madaktari kwa kuwa wazalendo.