jchofachogenda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 537
- 123
Baadhi ya madaktari ambao wapo kwenye mgomo wanafanya mahojiano katika katika radio ya East Africa kipindi cha Super mix kinachoongozwa na Zembwela muda huu.Kwa mwenye nafasi afungue hiyo radio asikilize sababu zao za kugoma.Pia wanaruhusu maswali kuwauliza madaktari kwa njia ya simu na Sms.