Mkuu JouneGwalu, tunawaheshimu sana madaktari ila kwa wengine wetu mimi nikiwemo, tunathamini zaidi uhai wa binadamu yoyote na uhai wa Mtanzania ndio unatakiwa uthaminiwe na Mtanzania mwingine yoyote achilia mbali yule aliyekula kiapo cha to "save lives" no matter what!.
Wengi wanasupport madakitari na hata mimi binafsi nakiri madai yao ni genuine but there are many routes to Rome, hiyo njia waliotumia kuleta siasa na kutaka kutumia human shield ya innocent Tanzanians kama bakora ya kuichapia serikali, is a wrong way!. Yes wadai haki zao but not at the expence of poor ordinary innocent Tanzanians!.
Mkuu JouneGwalu, tunawaheshimu sana madaktari ila kwa wengine wetu mimi nikiwemo, tunathamini zaidi uhai wa binadamu yoyote na uhai wa Mtanzania ndio unatakiwa uthaminiwe na Mtanzania mwingine yoyote achilia mbali yule aliyekula kiapo cha to "save lives" no matter what!.
Wengi wanasupport madakitari na hata mimi binafsi nakiri madai yao ni genuine but there are many routes to Rome, hiyo njia waliotumia kuleta siasa na kutaka kutumia human shield ya innocent Tanzanians kama bakora ya kuichapia serikali, is a wrong way!. Yes wadai haki zao but not at the expence of poor ordinary innocent Tanzanians!.
mgonjwa wa akili mara nyingine huna haja ya kuambiwa ili umjue kwani anajionesha kwa matendo yake.....hizi siasa maji taka hakika zinaiangamiza TZ.......hakika miafrika ndivyo tulivyo.......where is that guy with this important signature?Madaktari waliopata gahwa na juisi ya tende Ikulu, watawaita tu wenzao na kuwaambia tukubali yaishe na zitakazobaki ni porojo nyingi, unafikiri kuna nini zaidi? umewaona wamekaa kimya.
Kikwete kasitisha mkutano na wazee kuona matokeo ya maongezi yake na madaktari yatazaa nini. Na akiwaita wazee kuongea nao ujuwe ni maamuzi.
Nakuhakikishia kisa cha madaktari kugoma na kususa kimefikia "where the buck stops". Na itakuwa ni historia kama ilivyokuwa kwa magwanda, walipotoka Ikulu, mpaka leo wameufyata.
Jk hawezi sarakasi hizi