Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,970
Nje ya mada kidogo mkuu, samahani kama nitakuwa nimekukwaza lakini hivi ndivyo mawazo yangu yanavyonituma, sijawahi kuona jina la Mggid Mjengwa hapa jamvini ukishiri kwenye mijadala mbalimbali zaidi ya wewe kuleta topic zako tu na huchangii nje ya thread zako, je kila member akiwa achangii thread za wenzake za maana unadhani kutakuwa na maana yoyote kwa wewe kupost kitu hapa?
Nampa hongera Mzee Mwanakijiji licha ya kuwa Mwandishi nguli lakini anachangia mijadala mingi katika thread nyingi sana za maana.
Huu ni ushauri wangu wa bure kwako.
Nampa hongera Mzee Mwanakijiji licha ya kuwa Mwandishi nguli lakini anachangia mijadala mingi katika thread nyingi sana za maana.
Huu ni ushauri wangu wa bure kwako.