maoniyangu
Member
- Jul 9, 2011
- 53
- 4
hiyo mat siyo ya kutegemea kabisa. kwani siku zote wako wapi?? lini wamewahi kutetea maslahi ya madaktari??Tunaomba Medical Association of Tanzania waingilie kati na kuitisha mgomo wa madaktari nchi nzima haraka sana.