Actions speak louder than words...
Kuna watu wanasema wajinga wanapokuwa na tatizo husahau tatizo la Msingi na kudhani kwamba kwa yeye kupata tatizo ahurumiwe zaidi kuliko wengine
Natamani sana ningekuwa mmoja wa watu waliompiga Ulimboka, kwa nini nitaeleza.
Natamani sana kuwaona Mama Nkya na Kijobisimba wanaadhirika kwa kupokea hivyo vijisenti na kumuona Ulimboka ni shujaa na kutetea uhai wake wakati yeye kasababisha maelfu ya Watanzania kufariki kwa kuwaongoza wenzake kwenye mgomo wa Madaktari
Ulimboka mikono yake na mikono ya Madaktari wenzake aliowaongoza kugoma inatoka damu pamoja na roho zao. wametoa na wanaendelea kutoa damu za watu wasio kuwa na hatia maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma.
Wameamua kudai kuongezewa mishahara na marupurupu kwa kutoa roho za watu leo mnasema Ulimboka ni shujaa??? ni kweli ni shujaa wa kutoa roho za watu nami nasema atarudi akiw kwenye jeneza watamfukia kama nilimzika Babu yangu na Mjomba wangu ambao walikufa kwa sababu ya kutopata huduma baada ya kupata ajali kisha???? ULIMBOKA kawaongoza wenzake kugoma na wanakwenda kutibu kwenye Hosoitali za watu binafsi kwenye watu fedha Mama zetu, dada zetu, shangazi zetu, na ndugu zetu. sasa leo watu wasiokuwa na akili timamu wanasema eti Ulimboka ahurumiwe kwa lipi?
mh,bhbm lugha uanyoitumia si nzuri,nakuheshim sana' mr Liwalo
Haya uliyosema yaonyesha sio mtu unayeelewa hali halisi ilivyo. Kila la heri huko mbali uliko ila kwa heshima na taadhima acha "sarcasms"Mmh jamani, kwani majeraha yake hayawezi kutibika hapa Tanzania? Hizo pesa zilizochangishwa zitumike katika shughuli nyinginezo za kuboresha sekta ya afya kwa manufaa ya MTz. Si ndio lengo
serikali imeaibishwa sana katika hili
Kuna watu wanasema wajinga wanapokuwa na tatizo husahau tatizo la Msingi na kudhani kwamba kwa yeye kupata tatizo ahurumiwe zaidi kuliko wengine
Natamani sana ningekuwa mmoja wa watu waliompiga Ulimboka, kwa nini nitaeleza.
Natamani sana kuwaona Mama Nkya na Kijobisimba wanaadhirika kwa kupokea hivyo vijisenti na kumuona Ulimboka ni shujaa na kutetea uhai wake wakati yeye kasababisha maelfu ya Watanzania kufariki kwa kuwaongoza wenzake kwenye mgomo wa Madaktari
Ulimboka mikono yake na mikono ya Madaktari wenzake aliowaongoza kugoma inatoka damu pamoja na roho zao. wametoa na wanaendelea kutoa damu za watu wasio kuwa na hatia maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma.
Wameamua kudai kuongezewa mishahara na marupurupu kwa kutoa roho za watu leo mnasema Ulimboka ni shujaa??? ni kweli ni shujaa wa kutoa roho za watu nami nasema atarudi akiw kwenye jeneza watamfukia kama nilimzika Babu yangu na Mjomba wangu ambao walikufa kwa sababu ya kutopata huduma baada ya kupata ajali kisha???? ULIMBOKA kawaongoza wenzake kugoma na wanakwenda kutibu kwenye Hosoitali za watu binafsi kwenye watu fedha Mama zetu, dada zetu, shangazi zetu, na ndugu zetu. sasa leo watu wasiokuwa na akili timamu wanasema eti Ulimboka ahurumiwe kwa lipi?
Haya uliyosema yaonyesha sio mtu unayeelewa hali halisi ilivyo. Kila la heri huko mbali uliko ila kwa heshima na taadhima acha "sarcasms"