Dr Klinton
Senior Member
- Jan 21, 2012
- 123
- 152
Huu ni ukweli kwa sasa madaktari tumeamua kuanza kufanya semina za ujasiri amali
mdogo mdogo na mkubwa kwani tunaona kuwa kazi tunayoifanya hatuifanyi vizuri kutokana
na mazingira mabovu pia magumu ya kazi ambayo pia hailipi zaidi ya kuhatarisha maisha yetu
truly kazi yetu tunaipenda sana kwani ina job satisfaction ya kutosha hasa pale unapomuona
mgonjwa aliyekuja hajiwezi na sasa amepona baada ya matibabu
lakini kwa hali ilivyo sasa tumeona hii haitoshi na inatubidi tuchukue hatua mbadala
mdogo mdogo na mkubwa kwani tunaona kuwa kazi tunayoifanya hatuifanyi vizuri kutokana
na mazingira mabovu pia magumu ya kazi ambayo pia hailipi zaidi ya kuhatarisha maisha yetu
truly kazi yetu tunaipenda sana kwani ina job satisfaction ya kutosha hasa pale unapomuona
mgonjwa aliyekuja hajiwezi na sasa amepona baada ya matibabu
lakini kwa hali ilivyo sasa tumeona hii haitoshi na inatubidi tuchukue hatua mbadala