Mess
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 661
- 181
Madaktari wanadhalilisha chama tawala na kukifanya kionekane hakifanyi na kutekeleza majukumu yake hivyo napendekeza wote wafukuzwe CCM na CUF na hatuhitaji kula zao kama zile za wafanyakazi tulizozikataa na tukashinda. Kushinda ni wajibu, changamoto hazikosekani.