Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

Haka kaserikali kalishakuwaga kwenye 'auto pilot' long time kitambo.
 
Kufukuzwa madaktari siyo dawa, ila ni funzo. Hakuna haja ya wao kuendelea kuitwa watumishi wa umma wakati hawautumikii umma. 'Fukuza woooteee, kuanza upya si ujinga' Mjomba aliimba. Sifurahii kupigwa Dr. Ulimboka, ila ni funzo kwao na njia ya wananchi kuonesha uchungu wanaoupata kwa mgomo wao. Madaktari hawapaswi kutumia wagonjwa kama kiboko cha kuichapia serikali kwa madai yao hata kama yanamsingi kiasi gani. Sasa je, wamegoma kumuudumia Dr. Ulimboka alipopata matatizo yanayowapata watanzania wengi.

Nakubaliana na unamuzi wa madakatari kufukuzwa wote wanaogoma, na hata wakitaka kujuizuru wote sawa. Serikali ijipange hata kwa gharama kubwa kuwaleta madaktari kutoka majeshi ya nchi marafiki na mashirika km red cross kusaidia wakati suluhu ikitafutwa ya kudumu.

Sitashangaa ukiniambia kuwa wewe unafanya kazi sehemu nyeti kama ikulu au mshauri wa rais. Hongera kwa kazi njema mnayoifanya
 
Nilishasema na naendelea kusema Watanzania/Tanganyika tusipoelekeza hasira zetu pahala sahihi tutaendelea kuumizwa, hii ndio nafasi ya ku vent hasira zetu na concern zote tulizonazo. Jamani time is now, Dr Ulimboka katuonyesha jinsi ya kudai haki na maslahi ya madaktari na Watanzania kwa ujumla.....lets follow suit
Mimi naamini ukombozi wa Mtanzania/Tanganyika utapatikana kwa roho za ujasiri watu kama Dr Ulimboka Kamanda Godbless Lema na wengine wote waliopoteza maisha au wanaoweka maisha yao hatarini ili tupate kushuhudia na kuikomboa nchi yetu

Mnawadanganya sana madaktari wasioujua mchezo wenu. Mob psychology is very very dangerous but I am sure they will regret
 
mkuu dhaifuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi kwa mwendo huu miaka ijayo mbeleni wenetu watasomea udaktari kweli? Labda kama watakukuwa na uhakika wa ajira za Botswana
Hili ni moja ya udhaifu katika Muungano. Tunahitaji kuwa na Serikali ya Tanganyikana waziri wa afya atakaye shughulikia matatizo ya madaktari wa Tanganyika ndio maana unaona migomo hii ni Tanzania Bara(Tanganyika)
 
Taarifa ambazo zimethibitishwa zinatabanaisha kuwa madaktari wanaandaa mass resignation.

Mass resignation ni nzuri sana. Nashauri madaktari wajiuzuru kabla hawajafukuzwa wote ili waende jangwani tufanye uwanja wa tahariri ili serikali ione hasira yetu watanzania.
 
Umenifanya nikumbuke mwarobaini; maana ndio mti shamba pekee ninaosikia unatibu magonjwa mengi. Na ilivyoota hovyo these days; mbona itakosa majani very soon.

sasa hv tujifunze zaidi tiba asili na dawa za kienyeji kwa mwendo huu twafa woteee maskini!!
 
Kufukuzwa madaktari siyo dawa, ila ni funzo. Hakuna haja ya wao kuendelea kuitwa watumishi wa umma wakati hawautumikii umma. 'Fukuza woooteee, kuanza upya si ujinga' Mjomba aliimba. Sifurahii kupigwa Dr. Ulimboka, ila ni funzo kwao na njia ya wananchi kuonesha uchungu wanaoupata kwa mgomo wao. Madaktari hawapaswi kutumia wagonjwa kama kiboko cha kuichapia serikali kwa madai yao hata kama yanamsingi kiasi gani. Sasa je, wamegoma kumuudumia Dr. Ulimboka alipopata matatizo yanayowapata watanzania wengi.

Nakubaliana na unamuzi wa madakatari kufukuzwa wote wanaogoma, na hata wakitaka kujuizuru wote sawa. Serikali ijipange hata kwa gharama kubwa kuwaleta madaktari kutoka majeshi ya nchi marafiki na mashirika km red cross kusaidia wakati suluhu ikitafutwa ya kudumu.
Mkuu naomba kufahamu umesomea nini ambacho unakimudu katika maisha yako. Yaani mchango wako mkubwa kwa Taifa ni nini?
Hivi unadhani serikali kujipanga kuleta hao madaktari kutoka huko ulikosema itawagharimu kiasi gani? Na ukilinganisha na madai ya madaktari sasa hivi kipi ni rahisi?
Ukiweza kutujibu maswali hayo kwa ufasaha basi tutajua kama kuna ulazima wa kuendelea na mazungumzo haya.
Asante.
 
If this saga gets out of control, all Tanzanians will suffer a great deal.

May God bless our country, and all noble citizens of this beautiful land, once used 2b known as the heaven of peace!! 2gather as one, united we stand!!!
 
Mwenyezi Mungu yupo pamoja nasi Watanzania wote,
Dr S Ulimboka kapona toka mikono dhalimu...!, ndiyo mwanzo wa kuanza upya majadiliano, hiyo tisha toto ya kufuka au kuwarudisha Wizara ya Afya nk, ni njia zisizo na tija ktk kulimaliza tatizo,
Govt Officials huwa hawapendi hoja, huvutiwa sana ubabe kwa kuwatumia Police Force, wanausalama...,
Watanzania tushikamane kuliombea Taifa.

Safari hii, tunaiona Govt imeshikwa pabaya sana..., Hon Speaker kasema leo bungeni suala lipo Mahakamani, Govt haiwezi kutoa Tamko, jana PM kwa mbwembwe za kibabe alisema leo Govt ingetoa tamko..., je ina maana PM na wasaidizi wake jana hawakujua suala lipo Mahakamani, na Bunge halitaweza kutumika kuzungumzia filled case?
Je Hon PM huwa ni mvivu wa kufikiria, yupo mbali kikazi na wasaidizi wake au huwa hana tabia ya kujitayarisha kabla ya kuzungumza...?
Was very serious kama Hon Speaker anaweza kumsahisha Hon PM tena ktk Bunge ambaye yeye ni Mkuu Govt bungeni, ktk suala nyeti kwa Taifa kama hili la Mgomo.
Uweledi wa Hon PM upo wapi ktk hili Tatizo? yawezekana Office yake inaipotosha Govt at all....!
JK yupo Dodoma, hoping labda kesho Govt itakuja na jipya ktk kulitafutia ufumbuzi wa kudumu ktk hili sakata.
TANZANIA TUNAKUPENDA...!:A S cry:
 
Bado tunahitaji kujifunza namna ya kutatua migogoro!!!! Nchi hii inakoelekea ni kubaya!!!!!!

Sawa Baba wa Kiroho. Tuanzishie uzi wa maombi kuiombea nchi hii ili tukiingia Tahariri ya Jangwani tuiangushe salama srkali hii ya kidhuruma. Amina
 
Habari nzuri sana hii,walimu nao wangefanya hivi katikati wazee wa kazi TUCTA nao wakichezesha
kama kiungo, Vasco Da Gama safari zingepungua!
 
taarifa ambazo zimethibitishwa zinatabanaisha kuwa madaktari walio katika uzoefu kazini,intern doctors wameanza kufukuzwa katika hospitali mbalimbali ambapo katika hospitali ya dodoma madaktari 11 kati ya 33 wamefukuzwa na madaktari wote 70 waliokuwepo hospitali ya rufaa mbeya chini ya ulinzi mkali wa polisi wameambiwa waondoke kufikia saa 11 jioni ya leo wakati huo huo mkurugenzi wa hospitali ya bugando amewafukuza madaktari wote 44 na kuwataka warudi wizarani wakati madaktari waliosajiriwa wameamuriwa kufika kesho wawe kazini au la wanafukuzwa.

Wakati huo huo madaktari wakazi waliitwa na senate ya bugando na kulazimishwa kurudi kazini lakini walikataa mbele ya senate hiyo hivyo wakaambiwa watafutiwa udahili wao na wote kwa pamoja wakapiga makofi wakisema wako tayari kwa hilo.

Habari zaidi zinazidi kupasha kuwa hospitali ya mwananyamala wameletewa fomu za kujaza kama wako tayari kuendelea na kazi au la,ila madaktari wamesimamia msimamo wao huo kuwa mgomo uko pale pale.

Katika hatua nyingine chuo cha tiba bugando na kile cha muhimbili viko mbioni kufungwa kutoka na walimu wao ambao ni madaktari kugoma na mazingira kutokuwa rafiki kwa kujifunzia.

Wakati hayo yakiendelea taarifa zinasema hsopitali ya tanga bombo imeingia rasmi kwenye mgomo na ile ya mount meru

habari zaidi madaktari wanajiandaa kwa mass resignation muda wowote
\



fukuza tu hawa wauaji bora tujue hatuna drs...kuanza upya hakuna shida
 
Back
Top Bottom