taarifa zilizo nifikia hivi punde ni kwamba madaktari wa ule mji wa wanaharakati wanapanga kukutana siku ya jumatatu kujadili mgomo wa madaktari unaoendelea nchini.tusubiri tuone na kusikia.
taarifa zilizo nifikia hivi punde ni kwamba madaktari wa ule mji wa wanaharakati wanapanga kukutana siku ya jumatatu kujadili mgomo wa madaktari unaoendelea nchini.tusubiri tuone na kusikia.
Mkuu ndo unatambua leo? Sasa ni mwaka wa 7 tumeuanza bila kuwa na uongozi!:juggle:Twafa, tatizo ni nini, mbona kama hakuna uongozi hivi?