nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Hospitali ya Wilaya ya Temeke mkoa wa Dar es salaam !
Kwa takribani wiki Tatu za mgomo wa madaktari wa Tanzania , hospitali hiyo ilikua ikiendelea na HUDUMA, hadi ilifikia hatua ya madiwani wa manispaa ya Temeke kuwatunuku Tuzo maalumu kwakujali afya za wagonjwa kuliko maslahi ya kipato cha madaktari hao.
Mchana huu, Tangazo limetolewa na kuungwa mkono na madaktari wote wa hapo kuingia katika Mgomo kuunga mkono harakati za wenzao.
SOURCE,
MIMI mwenyewe nilikuwapo eneo la tukio muda wa saa 7 mchana leo.
Kwa takribani wiki Tatu za mgomo wa madaktari wa Tanzania , hospitali hiyo ilikua ikiendelea na HUDUMA, hadi ilifikia hatua ya madiwani wa manispaa ya Temeke kuwatunuku Tuzo maalumu kwakujali afya za wagonjwa kuliko maslahi ya kipato cha madaktari hao.
Mchana huu, Tangazo limetolewa na kuungwa mkono na madaktari wote wa hapo kuingia katika Mgomo kuunga mkono harakati za wenzao.
SOURCE,
MIMI mwenyewe nilikuwapo eneo la tukio muda wa saa 7 mchana leo.