IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
Kila Siku humu naona za IT,Finance,Administration ..Za Afya Hazitangazwi? Tumeshachoka Kuwa Mapunda wababa Mizigo ya Mirundikano ya Wagonjwa Wodini..Tena Wagonjwa wenyewe hawana hata asante siku hizi