measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,406
Madaktari nchini Kenya wameanzisha mgomo ikiwa leo ni siku ya pili wakidai nyongeza ya mishahara na maboresho ya mazingira ya kazi ikiwema vitendea kazi in government hospitals. Hawatarudi kazini until yamemizwa hayo. Source TBC, Citizen and KBC News!
My take: Madaktari wa Tanzania nyie mnasemaje? Au mambo yenu shwari?
My take: Madaktari wa Tanzania nyie mnasemaje? Au mambo yenu shwari?