Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
Mke wa jirani yangu kalazimika kumwachisha mtoto kunyonya akiwa na umri wa miezi mitatu kwa sababu anakwenda shule. Maziwa yanazidi kutiririka na kumletea homa. Je atumie dawa gani ili kuyakausha? Madaktari saidia.