VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Kama kweli Serikali ina nia ya dhati ya kuboresha mazingira ya kazi ya Udaktari kama alivyosema Rais Kikwete jana,wale Madaktari wanaovutiwa na malipo ya Serikalini na warudi kazini.Wafanye hivyo hima ili wajitenge na wanaotaka maboresho.Msichangamane kinafiki.Kila mtu na achague upande umfaao. Haraka!
Walimu je? Nao,waanzie kwa Madaktari.Wagome.Wasikilizie ahadi tamutamu za Wakuu wa Nchi. Tarehe yenu ya kugoma inakaribia.Ni tarehe 9/7/2012,siku ya kufungua Shule.Zamu kwa zamu.Daini haki yenu mkisubiri ahadi zao...
Walimu je? Nao,waanzie kwa Madaktari.Wagome.Wasikilizie ahadi tamutamu za Wakuu wa Nchi. Tarehe yenu ya kugoma inakaribia.Ni tarehe 9/7/2012,siku ya kufungua Shule.Zamu kwa zamu.Daini haki yenu mkisubiri ahadi zao...