Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
kuna taarifa nimezipata kuwa madaktari na serikali wataanza mazungumzo ya kina mapema wiki ijayo.hii imekuja baada ya maombi ya madaktari kutaka mazungumzo ya dhati na serikali.
Napenda kuwapongeza madaktari kupitia kamati yao kuruhusu meza ya majadiliano pamoja na machungu ya kutekwa,kuteswa na kuumizwa kwa dr ulimboka.nategemea serikali itakuwa makini ili kumaliza mgogoro huu.
Ikumbukwe kuwa mgomo wa madaktari haujaisha kama tulivyoaminishwa na vyombo vya habari na pia kuna wimbi kubwa la madaktari kukimbia nchi na kutafuta maslahi bora hasa baada ya mgogoro huu wa muda mrefu.
Napenda kuwapongeza madaktari kupitia kamati yao kuruhusu meza ya majadiliano pamoja na machungu ya kutekwa,kuteswa na kuumizwa kwa dr ulimboka.nategemea serikali itakuwa makini ili kumaliza mgogoro huu.
Ikumbukwe kuwa mgomo wa madaktari haujaisha kama tulivyoaminishwa na vyombo vya habari na pia kuna wimbi kubwa la madaktari kukimbia nchi na kutafuta maslahi bora hasa baada ya mgogoro huu wa muda mrefu.