Blackman
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 826
- 296
Na wewe utakufa unajiona chuma wewe eh?Safisha ubongo kabla ya kuongea. Kwako wewe daktari ni mtu yeyote unayemuona dispensary, kituo cha afya, na hospitali. Kama 'daktari' wako wa kituo cha afya anakuibia dawa basi na ukome. Toka lini daktari akahusika na mambo ya madawa?
Na wataendelea kuwaua tu mpaka haki zao wazipate!!! Na hata wakipata ripoti watawapa madaktari.
Cheza na kifo wewe