Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,195
pinda amenitia kinyaa!
ktk hili sakata, madaktari watashindwa.... Huwezi kucheza na serikali ukabaki salama.
Nawahurumia wale wenzangu na mimi wanaofuata mkumbo na mwishowe kupoteza ajira.
Rudini kazini.....otherwise ...very soon mtagundua kuwa mlikuwa mnapoteza muda na imeshakula kwenu.
Ktk hili sakata, Madaktari watashindwa.... Huwezi kucheza na Serikali ukabaki salama.
Nawahurumia wale wenzangu na mimi wanaofuata mkumbo na mwishowe kupoteza ajira.
RUDINI KAZINI.....otherwise ...Very soon mtagundua kuwa mlikuwa mnapoteza muda na imeshakula kwenu.
mnacheza na madaktari nyie? mtawafanya sehemu ya kuandikaklorokwini waandike panado mkafie makwenu. unaenda unaumwa wanakuambia hauumwi. bora wawasikilize kuokoa watu wasio na hatia. wakilazimishwa wanaweza kwenda kazini lakini wakawa wanafanya kazi isivyo, je pinda ataenda kumwambia doctor kwanini ameandika dawa isiyo?. nawaunga mkono madokta. naomba wasikilizwe. mia
Ina uwezo wa kuwashurtisha madaktari kibabe warudi makazini
Mimi naunga mkono asilimia 100, mgomo wa Mdaktari. SErikali imezoea kutumia nguvu kila haki inapodaiwa. Na hii yote ni katika kurudisha nyuma harakati za kudai haki, ndio maana wanatumia vitisho. Kuwafukuza kazi madaktari wote ni ngumu sana kwani hata hao madaktari wa Jeshi ni wachache na ieleweke kuwa si kwamba Wanajeshi hawana kazi. nao pia wapo katika Hospitali zao wanatibu wagonjwa, hivyo maringo na kutamba kwa Serikali kuwa itawatumia Wanajeshi siyo suluhisho la matatizo.
Pia ieleweke kuwa hata Hospitali za jeshi madaktari bingwa wengine wanatoka hospitali za Serikali, hivyo kote kuna uhaba wa Madaktari.
Mh. Pinda acha Jazba tafuta suluhisho kama lilivyopatikana katika kuongeza Posho za Wabunge, mbona hamkuwa na jazba???????
MIZAMBWA
INANIUMA SANA
...Hivi mtu mzima anashurutishwaje kibabe? tena mwenye elimu yake?, ni aibu sana kwa madaktari kufyata mkia kama mbwa koko, wasomi gani hawa wasiojiamini?nazidi kuwa na mashaka na uweredi wao, isijekuwa tuna makanjanja tu kwa jina na cheti cha udaktari....
Serikali za hizo nchi hazikuangushwa na ma dr vilaza, ziliangushwa na wananchi.
For your info, Wa tz wanawashangaa ma dr wanaogoma, majority hawakubaliani na madai yao ya kipuuzi.
Serikali ishindwe? waulize magwanda na wanafunzi wa mlimani.
Kukutana ni madaktari waliofanya dharau jana, Waziri Mkuu kawangoja hawakutokea, walitaka wabembelezwe? Mwanachi ataekuwa nyuma ya hawa na kuwaunga mkono huyo haitakii mema Tanzania.
PM amewasubiri kwa muda wa kutosha pale Karimjee jana, hawakutokea ili wasikilizwe.
Inavyoonesha, hawa ma Dr walikuwa wanadanganyana na kufanya uhuni tu kwenye vikao vyao.
Tatizo serikali yetu imeona suluhu siku hizi ni kutumia mabavu, mbona posho za wabunge hawakutumia mabavu?
Ktk hili sakata, Madaktari watashindwa.... Huwezi kucheza na Serikali ukabaki salama.
Nawahurumia wale wenzangu na mimi wanaofuata mkumbo na mwishowe kupoteza ajira.
RUDINI KAZINI.....otherwise ...Very soon mtagundua kuwa mlikuwa mnapoteza muda na imeshakula kwenu.