Waseme tu hili Jeshi sio la kuliamini kabisa hili bora mtu ujulinde mwenyewe tu.
skuizi wanauwana wenyewe kwa wenyewe! wamemuua mwenzao morogoro wanasema kajinyona! shame on them! siwapendi hawa jamaa! yani kule mpakani kutokee vita hata ya masaa 4 tu! alafu hawa mafala wapelekwa kama chambo wafe wote.