Madaktari kwanini wamtibu Dr Ulimboka wakati wapo kwenye mgomo?

Acheni jazbar...mtoa mada yuko sahihi madaktari wameawa na rushwa za kila aina. pampja na ufisadi... Ni Daktari yupi wewe umjuaye hana duka la madawa? Dawa wanazuza madukani mwao zinatoka wapi....majority wanakuwa wamezipora katika hospitali zetu za wananchi......theni ukienda hospital unaambiwa hapa dawa hii hakuna nenda famasi ya fulani pal mjini ndo anauza dawa nzuri...kumbe duka ni la kwao.....wanaJF hawa hamwajui? au hamjawahi kuugua mkaambiwa hayo? kama bado subirini....

hujui ulisemalo kaa kimya!
Maduka ya dawa hayaruhusiwi kuuza dawa za serkali.dawa hizo zina nembo ya MSD
 
Jimy P hebu jiulize na kujijibu hili swali la darasa la pili: Je askari anapoumia vitani wenzake humwacha tu ajifie? Ukijibu hilo swali utajua ni kwanini madaktari wanamtibu Dr. Ulimboka.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani wana harakati wapiganie wabunge watibiwe hapa hapa nchini au wabunge wakija Jimboni waelezwe watanzania hatupendi wanavyotumia kodi zetu kutibiwa nje

sasa unajijibu mwenyewe,,,yaan post yako inapingana na comment yako,,,,
 
Acheni jazbar...mtoa mada yuko sahihi madaktari wameawa na rushwa za kila aina. pampja na ufisadi... Ni Daktari yupi wewe umjuaye hana duka la madawa? Dawa wanazuza madukani mwao zinatoka wapi....majority wanakuwa wamezipora katika hospitali zetu za wananchi......theni ukienda hospital unaambiwa hapa dawa hii hakuna nenda famasi ya fulani pal mjini ndo anauza dawa nzuri...kumbe duka ni la kwao.....wanaJF hawa hamwajui? au hamjawahi kuugua mkaambiwa hayo? kama bado subirini....

mwalim analipwa kidogo ndo maana anauza vishet na kuendesha tuition,daktar anaamua kuuza dawa,sasa akiongezewa si ataacha kuiba dawa???kwa mujibu wa maelezo yako,then pamoja na hayo hao madaktar wanaouza dawa wengi wao sidhan kama wanauza za MSD,,,maana hapa unatakiwa ushahidi,,,,tukiacha la mishahara,suala la mazingira ya hosp ni kichefuchefu,nenda muhimbili
 
Tunachozungumzani Suala laKitaifa, kama kweli wangekuwa na Uzalendo na Wanatafuta haki yao wasingeingia tena ofisini, kama ingetokea Serikali ingewazuia wasiingie tena ndani coz ya mgomo ingekuwaje
 
Mgomo wa Madaktari asilimia 60% ya madai yao yametekelezwa sasa lilibaki ni hilo kama Prof anamfundisha Daktari analipwa 2.5 wenyewe itawezekanaje,,
Madaktari wanaiba sana dawa kuna Madaktari nawafahamu hata ukitaka niwataje majina na vituo vyao vya kazi nitawataja wahmehamishwa sababu ya wizi wa dawa za serikali na kupeleka kwenye maduka yao na Katika Ziara ya Ndugu Nape amekuwa akikemea hili hata kama unafikiri coz ya hiyo MSD Wanachukua wana Chakachua wanauza
 
Sidhani kama madaktari hawaelewi kuwa Tanzania ni masikini. Nadhani kinacho wakwaza wengi ni kwamba wao madaktari wanao okoa maisha ya watu wanalipwa kiasi hicho wakati wabunge ambao wengi wao hatuoni utendaji wao wanalipwa kiasi cha kufuru. Je ni fani zingine zote tu ndiyo zielewe umasikini wa Watanzania? Viongozi hawalioni hilo?
 
Mdaktari wanahitaji Mshahara wa Milioni 3.5, Katika nchi Maskini ni Vigumu kulipwa mshahara huu, Nadhani wafanye Analysis kama inawezekana kwani kwa sasa anayetoka Chuoni analipwa Kuanzia Laki Tisa, Na Serikali imewaongezea Posho walizokuwa wanahitaji isipokuwa la kulipwa mshahara huo na nadhani imefika wakati kama unaona kazi unayofanya hailipi badilisha kazi au usisomee kitu ambacho halilipi, nawashauri wote wanaosoma Udaktari na Wanaotarajia kusomea kama unadhani hailipi au Ukimaliza Chuo lazima uajiriwe na Serikali usisome au acha unachosome somea kitu kingine,

Nadhani imefika wakati tujue kuwa Professional nyingine ni muhimu pia kama wanavyodhani Madaktari wao ni muhimu zaidi halafu Board ya mikopo inatoa asimilimi 100% kwa wanafunzi wanaosomea Udaktari hizi ni Kodi za Watanzania ambazo lazima muwatumikie,

Idara ya afya ni miongoni mwa idara zinazooongoza kwa Rushwa Tanzania,

Madakri wamegoma kuwatibu Watanzania lakini Dr Ulimboka kafika wameacha Mgomo wameenda kumshughulikia wanaacha watanzania wanaendelea kufa

Madaktari mnachelewa ofisini, mnapokea Rushwa haya yote hamsemi mtayerekebisha vipi,

Umefika wakati Serikali kutumia Sheria za Utumishi la sivyo itafika sehemu Watumishi wote wa Serikali wahitaji Milion 3.5

Viongozi wenye dhamana fanyeni maamuzi magumu whether is wrong or Right,
Mhe EL Alishawahi kusema Msiogope kufanya Maamuzi whether is wrong or Right.

Mhe Waziri mkuu kila kitu lazima mseme Top Leaders kwani huko mikoani hakuna viongozi au Wilayani.
Watekeleze wajibu wao na Fanya Maamuzi kama kiongozi Mkuu wa serikali lazima mbadilike ili nchi iende.
Hao wanaotaka kushika nchi watanzania wanafikiri hawatacheka na mtu anayekwenda kinyume na Sheria Na taratibu za Kazi na ndivyo itakuwa hivyo

Hapo nilipoweka NYEKUNDU ndipo kwenye matatizo na ubongo wako, kichwa maji we!
 
Mwanafalsafa-
Wabunge wanalipwa 2.5M, Kwa uhakika muulize mbunge wa Jimbo lako atakupa na Payslip,,
 
Mimi nafikiri hili la madaktari kudai mishahara ya kuanzia Tshs 3.5m kwa kila daktari anayemaliza chuo si sahihi na haliwezi kuwa justified kwa namna yoyote ile. Kama serikali itakubaliana na dai hili hii itafanya wafanyakazi wa fani nyingine nao wadai mishahara yao iongezwe, hivyo kuzua tatizo jingine badala ya katatua. Isitoshe kuwapa madaktari Tshs 3.5m haina maana madaktari wataacha kupokea rushwa, kutibu wagonjwa wa upendeleo/kujuana, na wala haimaanishi kwamba wataongeza ufanisi,kupunguza utoro au kuchelewa kazini. Kwa BOT,TRA,TPA etc kupewa mishahara mikubwa hii haipo kwenye madai yao.
 
Tanzania siyo nchi masikini,ila watanzania waliowengi ndio maskini. Kwa utajiri wa nchi yetu inawezekana kabisa kuwalipa wafanyakazi wake wote vizuri wakiwemo madaktari, waalimu na fani nyingine. Shida ninayoiona ni utajiri wa watanzania kutowanufauisha wenye nchi. Acheni madaktari wagome, waalimu wagome,polisi wagome na kila mtu agome kama ishara ya kuchoshwa na hali hii na wanaopasa kuwajibika wawajibike
 
Mdaktari wanahitaji Mshahara wa Milioni 3.5, Katika nchi Maskini ni Vigumu kulipwa mshahara huu, Nadhani wafanye Analysis kama inawezekana kwani kwa sasa anayetoka Chuoni analipwa Kuanzia Laki Tisa, Na Serikali imewaongezea Posho walizokuwa wanahitaji isipokuwa la kulipwa mshahara huo na nadhani imefika wakati kama unaona kazi unayofanya hailipi badilisha kazi au usisomee kitu ambacho halilipi, nawashauri wote wanaosoma Udaktari na Wanaotarajia kusomea kama unadhani hailipi au Ukimaliza Chuo lazima uajiriwe na Serikali usisome au acha unachosome somea kitu kingine,

Nadhani imefika wakati tujue kuwa Professional nyingine ni muhimu pia kama wanavyodhani Madaktari wao ni muhimu zaidi halafu Board ya mikopo inatoa asimilimi 100% kwa wanafunzi wanaosomea Udaktari hizi ni Kodi za Watanzania ambazo lazima muwatumikie,

Idara ya afya ni miongoni mwa idara zinazooongoza kwa Rushwa Tanzania,

Madakri wamegoma kuwatibu Watanzania lakini Dr Ulimboka kafika wameacha Mgomo wameenda kumshughulikia wanaacha watanzania wanaendelea kufa

Madaktari mnachelewa ofisini, mnapokea Rushwa haya yote hamsemi mtayerekebisha vipi,

Umefika wakati Serikali kutumia Sheria za Utumishi la sivyo itafika sehemu Watumishi wote wa Serikali wahitaji Milion 3.5

Viongozi wenye dhamana fanyeni maamuzi magumu whether is wrong or Right,
Mhe EL Alishawahi kusema Msiogope kufanya Maamuzi whether is wrong or Right.

Mhe Waziri mkuu kila kitu lazima mseme Top Leaders kwani huko mikoani hakuna viongozi au Wilayani.
Watekeleze wajibu wao na Fanya Maamuzi kama kiongozi Mkuu wa serikali lazima mbadilike ili nchi iende.
Hao wanaotaka kushika nchi watanzania wanafikiri hawatacheka na mtu anayekwenda kinyume na Sheria Na taratibu za Kazi na ndivyo itakuwa hivyo

Kwa nini JK anaenda kutegesha bakuli nje ya nchi wakati nchi yetu ni tajiri?
 
Hivi Kikosi cha jeshi kikiwa kwenye mapambano na mmoja wao akaumizwa na adui, je wenzake watamuacha ajifie? Si kwamba watamchukua na kumhudumia? Dr. Ulimboka kwa madaktari wenzake ni mpambanaji mwenzao, wanaunda kikosi kimoja. Sasa kaumizwa na adui, lazima wamhudumie. Hawawezi kumuacha tu eti kwa vile hawatoi huduma kwa watu wengine.
 
ngoja tu niwaze jibu la kukupa ndugu maana nimechoka kweli unajua unaniumiza kichwa na jinsi unavyowaza
 
Mdaktari wanahitaji Mshahara wa Milioni 3.5, Katika nchi Maskini ni Vigumu kulipwa mshahara huu, Nadhani wafanye Analysis kama inawezekana kwani kwa sasa anayetoka Chuoni analipwa Kuanzia Laki Tisa, Na Serikali imewaongezea Posho walizokuwa wanahitaji isipokuwa la kulipwa mshahara huo na nadhani imefika wakati kama unaona kazi unayofanya hailipi badilisha kazi au usisomee kitu ambacho halilipi, nawashauri wote wanaosoma Udaktari na Wanaotarajia kusomea kama unadhani hailipi au Ukimaliza Chuo lazima uajiriwe na Serikali usisome au acha unachosome somea kitu kingine,

Nadhani imefika wakati tujue kuwa Professional nyingine ni muhimu pia kama wanavyodhani Madaktari wao ni muhimu zaidi halafu Board ya mikopo inatoa asimilimi 100% kwa wanafunzi wanaosomea Udaktari hizi ni Kodi za Watanzania ambazo lazima muwatumikie,

Idara ya afya ni miongoni mwa idara zinazooongoza kwa Rushwa Tanzania,

Madakri wamegoma kuwatibu Watanzania lakini Dr Ulimboka kafika wameacha Mgomo wameenda kumshughulikia wanaacha watanzania wanaendelea kufa

Madaktari mnachelewa ofisini, mnapokea Rushwa haya yote hamsemi mtayerekebisha vipi,

Umefika wakati Serikali kutumia Sheria za Utumishi la sivyo itafika sehemu Watumishi wote wa Serikali wahitaji Milion 3.5

Viongozi wenye dhamana fanyeni maamuzi magumu whether is wrong or Right,
Mhe EL Alishawahi kusema Msiogope kufanya Maamuzi whether is wrong or Right.

Mhe Waziri mkuu kila kitu lazima mseme Top Leaders kwani huko mikoani hakuna viongozi au Wilayani.
Watekeleze wajibu wao na Fanya Maamuzi kama kiongozi Mkuu wa serikali lazima mbadilike ili nchi iende.
Hao wanaotaka kushika nchi watanzania wanafikiri hawatacheka na mtu anayekwenda kinyume na Sheria Na taratibu za Kazi na ndivyo itakuwa hivyo



naunga mkono hoja mia kwa mia.................!
 
Back
Top Bottom