Madaktari kuweni waangalifu sana. Safari hii kazi mtakosa. Mliweza kusimama pamoja kwa sababu mlikuwa na uhakika wa mishahara yenu kuikuta Bank. Kila mtu ana shida zake na si kila mtu anaweza kufanya kazi private, hapo ndipo mtakapogeukana na kusambaratika kila mmoja na njia yake. Utashangaa maombi ya kurudi kazini yatavyokuwa mengi. Ikifika suala la kuona watoto wanalala njaa in the name of solidarity forever ndo tutaona mshikamano wenu.
Safari hii laaaazima watawaangukia. Ngoja tuone...
Safari hii laaaazima watawaangukia. Ngoja tuone...