Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Wakuu,
Kuna madaktari kule Kenya wamegoma kwa sababu ya kutaka kuongezwa mishahara na kuboresha sehemu zao za kazi. Kuna mtu alinitonya kua kuna baadhi ya hizi service jobs ambazo si halali kugoma.Je hii imekaa vp?
Kuna madaktari kule Kenya wamegoma kwa sababu ya kutaka kuongezwa mishahara na kuboresha sehemu zao za kazi. Kuna mtu alinitonya kua kuna baadhi ya hizi service jobs ambazo si halali kugoma.Je hii imekaa vp?
Medical practitioners and interns protest along Harambee Avenue, Nairobi on March 3,2011. They called for the government to improve their working conditions and reviews their remuneration.