Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Information source please isije kuwa hizi ni porojo?????????taarifa ni kuwa madaktari KCMC wamefungiwa ktk ukumbi wa mkutano na wana usalama
Naona nguvu ya dola sasa inatumika
Information source please isije kuwa hizi ni porojo?????????taarifa ni kuwa madaktari KCMC wamefungiwa ktk ukumbi wa mkutano na wana usalama
Naona nguvu ya dola sasa inatumika
Hii yote inatokana kwa sabb viongoz tulio waweka madarakani wanaufinyu wa kufikiri, raisi, waziri mkuu, na spika wote wamekubaliana kuwa posho ya wabunge iongezwe, lakini madaktari serikali haina pesa inawezekana kweli?